mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,695
6-1Mali vs Angola matokeo yamekaaje?
Ile ya waliokutana. Kwa kuwa sisi tulipokutana nao wametufunga,ndiyo wametuumiza hapo. Kila kitu tuko nao sawa.Rule gani imetumika Niger kusonga sijaelewa maana ana points 4 goal diff 0 hivyo hivyo tz
Mkilingana goal difference wanaangalia mwenye goli nyingi za kufunga .Niger 2-2 na angola.Akafungwa 2-1 hadi hapo katupia 3 wavuni.Na leo moja jumla goli nne katupa wavuni.Sisi mbili tu.Tungekuwa tumemfunga Angola 4-0 tungefungana magoli.Hapo wanakuja nani karuhusu nyingi.Niger karuhusu 3 sisi tumeruhusu 2.Na hapo mkilingana wanakuja nani alifunga goli nyingi kwny mechi moja.Na hapo mkilingana nani aliruhusu magoli mengi mechi moja.Na hapo mkilingana wanakuja je mlipokutana nani alimfunga mwenzake.............Rule gani imetumika Niger kusonga sijaelewa maana ana points 4 goal diff 0 hivyo hivyo tz
Shindwa na regea mfyuuuuuuuuuVichwa vya wendawazimu
kashinda goli 4 sisi mbili mashindano yote.Rule gani imetumika Niger kusonga sijaelewa maana ana points 4 goal diff 0 hivyo hivyo tz