AFCON (u17)-2017 Gabon: Serengeti boys special thread

Mechi ya ufunguzi inachezwa saa ngapi wakuu kwa saa za bongo
 
Mechi ya kwanza kesho ndiyo itatoa picha halisi ya hawa watoto.Binafsi nawaona Serengeti wakiwafunga Mali 3-1 ingawa hautakuwa mchezo Rais.Mungu ibariki Tanzania.
 
Mechi ya ufunguzi inachezwa saa ngapi wakuu kwa saa za bongo
Ping mechi za ufunguzi zinaanza leo.Saa 1830hrsmechi ya kwanza ya pili 2130hrs saa za bongo.Ssport 9 na azam i think.Muda ni huo huo wa mechi za awali za makundi.Serengeti kesho 1830hrs vs Mali.
 
Ping mechi za ufunguzi zinaanza leo.Saa 1830hrsmechi ya kwanza ya pili 2130hrs saa za bongo.Ssport 9 na azam i think.Muda ni huo huo wa mechi za awali za makundi.Serengeti kesho 1830hrs vs Mali.
Thanks
 
Mechi ya ufunguzi inachezwa saa ngapi wakuu kwa saa za bongo
Corrections.Inaonekana tuna tofauti ya saa 2 Dar na Libreville.Gabon zitakuwa 1530 hrs na 1830hrs maana yake bongo ni 1730hrs na 2030hrs respectively saa za Bongo
 
Half time.... Gabon 0---Guinea 5, tunasubiri second half, kuna dalili record ya Brazil ile ya host country kufungwa goli saba kujitokeza Gabon.
 
Goli la pili la Guinea lilikuwa na utata, limefutwa.... Currently Gabon 0--Guinea 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…