Aisee kama uliwaona kabla ya kurudi wakauliza tunaondokaje wakaambiwa chezesha Dk 3. Huku unakimbilia karibu na getilakuondokea kweli alikaa usawa was kati akapuliza puuuyuuuupyuuu akaangalia Julia askariwakowapi omg babawawatu mbele kutakuwa kumelowa mbaya ilemishenziwest aifaikabisaMtanange Nadhani Unaendelea Sasa ILA Wachezaji Na Marefarii Mawazo Yao Sasa Ni Jinsi Watakavyotoka Mita ( Kukimbia ) Mara Baada Ya Mpambano Kumalizika.
Ndo maana wazungu wanasema maajabu hayataisha Afrika,
Haya maajabu hayapo Africa tuu kote yapo acheni kujidharau bana.
Aisee kama uliwaona kabla ya kurudi wakauliza tunaondokaje wakaambiwa chezesha Dk 3. Huku unakimbilia karibu na getilakuondokea kweli alikaa usawa was kati akapuliza puuuyuuuupyuuu akaangalia Julia askariwakowapi omg babawawatu mbele kutakuwa kumelowa mbaya ilemishenziwest aifaikabisa
Hapo nilipobord,kaedit,sio Gunea bisau,Guinea ikweta