Afcon ya Mwaka Huu Ni Ya Mchongo Sana

CAF nao wamenyamaza kimya tu.

Na Kameroon atalisikia tu redioni hilo kombe.

Anawahofia hata Ethiopia..!
 
Cameroon na Senegal wanabebwa kama watoto wachanga vile! Sitashangaa Bingwa akiwa Mali.
 
Hii michezo waarabu ndio wameanzisha.

Unaongea ukiwa wapi? Unawajuwa waarabu wewe? Eti waarabu ndio wameanzisha 😁 kubali kataaa AFCON inaenda kwa waarabu, endelea kuteseka, na ikiwezekana jipige kitanzi. Hao michongo wako dawa inawaijia soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…