Afghani rice (Qabuli palao)

Afghani rice (Qabuli palao)

farkhina, niulize ukiloweka mchele kwa 1hour si utakua mwepesi sana? utafaa kupika na kuchambuka vizuri?
 
farkhina, niulize ukiloweka mchele kwa 1hour si utakua mwepesi sana? utafaa kupika na kuchambuka vizuri?

Wala hauwi mwepesi sana coz unapika kwa maji kiasi tu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
, kamuulize bibi yako zamani alikuwa akinipikia tokea kuwa mzee na macho hayaoni vizuri ndio anashindwa kunipikia na nyie wajukuu nyote mumekimbilia mjini
Mmmmh ndo nini hiyo tapo?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
, kamuulize bibi yako zamani alikuwa akinipikia tokea kuwa mzee na macho hayaoni vizuri ndio anashindwa kunipikia na nyie wajukuu nyote mumekimbilia mjini

Hahahahahaha bibi yangu kafa zamani sana hata sijawah kumuona.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
ila.mchele ukilowekwa sana kwa muda kama 1 hr huwa inapoteza ladha jamani..1hr sio mchezo ati tena kama ni mchele mpya uliotoka kuvunwa karibuni unakua rojo kabisaa kama wa vitumbua...
 
ila.mchele ukilowekwa sana kwa muda kama 1 hr huwa inapoteza ladha jamani..1hr sio mchezo ati tena kama ni mchele mpya uliotoka kuvunwa karibuni unakua rojo kabisaa kama wa vitumbua...

Wala hauwi rojo wakati unapika unachemshia maji kdg sana tu..

Na wali sio unakorogwa kama mchuzi kuna style yake ya kukorogwa mwiko wafanya kwa kuweka angle...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
sasa nipe mji nikujuze nini uji wa tapo
Utu uzima dawa ngojea nimuulize Mzizi Mkavu kama na yeye atakuwa anaukumbuka
Sijui babu weee ndio kwanza leo naskia hilo jina.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Bora umsaidie kwani Farkhina kashughulika na vyakula vyengine sijui kama uji wa shurba atakuwa anaujuwa kupika

Shurba na mie tena mbona naijua ila hiyo tapo ndio niko hoi na hilo neno tu sijawah lisikia

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom