Afghanistan: Mamia wajitokeza ofisi ya kutoa passport baada ya Taliban kutangaza kurejesha huduma

Kujenga tofauti na kuwekeza, Tazara wamejenga sisi ndio tunaendesha shirika tangu kipindi hiko na kuhusu urafiki kiukweli sifaham huko nyuma kilikuwaje ila nafaham walipewa wachina miaka hii na wamefeli. Pia wachina Mao sio sawa na hawa wachina wa leo.

Sizungumzii project za matrilioni hapa sababu hakuna aliewekeza hizo pesa hapa Tanzania. Tuchukue mfano kwenye madini, kuna makampuni ya kichina yanachimba hapa lakini huyajui sababu ya ujanja ujanja wao kwenye uendeshaji. Mazingira mabovu kwa mchina sehemu za kazi hayatokani na ukubwa wa uwekezaji bali utamaduni wao, huko kwao kwenye makampuni makubwa wana kitu kinaitwa " 996" ni unafanyakazi hadi unachanganyikiwa.
 
1. Nineweka ukubwa wa kampuni kubwa Kabisa za mafuta Duniani, 2 ni za kichina ya kwanza na ya pili. Huwezi kuwa kampuni inayoingiza Dola Bilioni 280 ukawa eti unapewa Tenda uchwara.

2. Link zote zinaonesha either percentage ya tenda ama kiasi, sijaweka link hata moja ya tenda ambayo ni Chini ya 1b usd. Zote ni tenda za matrilioni.

3. Nimekujibu huko juu personally nafahamu watu wapo jangwani kwenye mafuta Oman chini ya hizo kampuni za kichina na mishahara ni mizuri tu, Dola 10,000 ama Zaidi.

Na naweza pia kukupa link mbalimbali wafanyakazi tu wa ofisini wengi wanaingiza Dola 5000 Na zaidi (wa jangwani huwa wanapata zaidi ya ofisini)

Je Unahisi hio mishahara inatosha kuwafanya watu wazamie ama ni midogo sana?
 
Urafiki kama neno lilivyo ni Urafiki baina ya China na Tanzania, na unafikiri tulikuwa na Hela ya Kujenga hio reli? Soma Historia ya Tazara hapa
Our History | TAZARA

Na mkuu kampuni gani? Tuanze hapa, hizi kampuni zinazo Lipa laki 2 mishahara? Kampuni inatafutwa hata usajili haujulikani?
 
Ukiileta hiyo link ya hao wafanyakazi wanaolipwa hizo pesa kutakuwa hakuna sababu ya kuendelea kukubishia.
 
Tazara sio uwekezaji ni msaada chief, uwekezaji ni kwamba mhusika anahusika kwenye operations za kampuni.

Si ndio hizo kampuni za kichina unazozitetea, me nimekwambia hapo juu hadi huko kwao China wafanyakazi wanawageuza watumwa kwa kufanya kazi bila kupumzika, sasa hivi serikali yao ndio imeanza kuangalia haki za wafanyakazi, hao watu unategemea wakuheshimu wewe huku.
 
Ukiileta hiyo link ya hao wafanyakazi wanaolipwa hizo pesa kutakuwa hakuna sababu ya kuendelea kukubishia.

UAE Aed 12k mpaka 18k kama Dola 3000 mpaka 5000

Iraq mshahara mdogo ni $1700 mpaka zaidi ya Dola 5000


Pia Angalia hii site ina mishahara mingi ila mpaka ujisajili

 
Kipindi cha korosho awamu iliopita ilijulikana kampuni ya Kenya iliokua inunue korosho ni fake, je ina maana kampuni zote za Kenya ni fake?

Angalia hata Kipindi cha Richmond, si kampuni imesajiliwa kama ya marekani? Sababu Richmond ni kampuni ya kijanja Janja basi Aplle na Google pia ni za kijanja?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…