Afghanistan: Taliban yapiga marufuku Wanawake kutembelea Hifadhi ya Kitaifa

Kwa wenye weled tunajua kuwa wanachokifanya twaaalibaaan ni kubana matumiz


Yale maombi ya pesa ya salun au kutolewa aut yapo likizo kwa muda wakat wajuba tunajipanga


Madelu alivyo wahovyo baada ya kuiga mambo ya maana km haya yey anahangaika na tozo tu
 
Duniani ni duniani, sheria za kidini za kuwafanya wanawake waishi kinyonge haziwezi kupageuza duniani/Afghanistani kuwa mbinguni.
 
marekani ni nchi isiyo na mila na desturi. is a free world. It can not be taken as a model of traditions and customs
 
Mwisho watakuja na sheria ukizaa mwanamke unaenda jela kutumikia kifungo.
 
Hii dini ni chanzo cha huzuni ,mafarakano na maumivu mioyoni mwa watu badala ya kuwa faraja ktk maisha ya watu.
Halafu ukute Mungu hayupo huko,yupo kwenye madhabau ya Mwamposa tu. Mwisho wa siku wadada wa watu wanateswa bure
 
Reactions: K11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…