Afghanistan: Taliban yapiga marufuku Wanawake kutembelea Hifadhi ya Kitaifa

Afghanistan: Taliban yapiga marufuku Wanawake kutembelea Hifadhi ya Kitaifa

Mpaka Allah anawadharau anataka mpewe kichapo

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni.
Hapo sasa "muwahame katika malazi" haitoshi kuhamwa tu, na kipigo juu.
 
FaizaFoxy ashukuru kuzaliwa Afrika mbali na uzombi wa hii dini, kwamba anaweza hata kubishana na wanaume na asikatwe kichwa.
 
FaizaFoxy ashukuru kuzaliwa Afrika mbali na uzombi wa hii dini, kwamba anaweza hata kubishana na wanaume na asikatwe kichwa.
Likizo zake zote anaenda UK na US au Ufaransa.
Naskia ashaomba sana Uraia wa huko ila kutokana na ujahidina wake wamemkatalia.
Hata kwa kulipwa kila Mwezi Bure hawezi kuishi Afghanistan au Iran anakokusifia humu.
Anajua fika kuwa akienda huko atafunikwa mitambala mweusi toka nyayoni hadi utosini na hataruhusiwa hata kushika simu ya Android.
Huko wanawake ni marufuku kwenda kusoma chuoni, wanaishia la Saba tu na kuisubiri kuolewa mke wa Nne.
Marufuku kufanya kazi yoyote ile ya Siasa wala kuendesha gari.

Ndivyo walivyo hawa watu, unafki kwao ni Sunna.
 
View attachment 2730426
Marufuku hiyo ya Uongozi wa Taliban umehusu Mbuga ya Wanyama ya Band-e-Amir iliyopo katika Jimbo la Bamiyan, ambapo Kaimu Waziri wa Maadili wa Afghanistan, Mohammad Khaled Hanafi amesema Wanawake wamekuwa hawazingatii mavazi ya hijabu wanapokuwa ndani ya mbuga hiyo.

Amewataka viongozi wa dini na Vyombo vya Usalama kuwakataza Wanawake kuingia hadi suluhu ipatikane.

Mbuga ya Band-e-Amir imekuwa kivutio kikubwa cha Watalii na inapendelewa kutembelewa na familia mbalimbali.
View attachment 2730427
Miezi ya hivi karibuni, Taliban pia ilipiga marufuku Wanawake kwenda saluni za kike pamoja na kuziia Wanawake kufanya mitihani ya kitaifa ya kuingia Chuo Kikuu.

=========== =================

Afghanistan: Taliban ban women from visiting popular national park

The Taliban have banned women from visiting the Band-e-Amir national park in the central Bamiyan province.

Afghanistan's acting minister of virtue and vice, Mohammad Khaled Hanafi, said women had not been observing hijab inside the park.

He called on religious clerics and security agencies to forbid women from entering until a solution was found.

Band-e-Amir is a significant tourist attraction, becoming Afghanistan's first national park in 2009.

It is a popular destination for families and the ban on women attending will prevent many from being able to enjoy the park.

Unesco describes the park as a "naturally created group of lakes with special geological formations and structure, as well as natural and unique beauty".

However, Mr Hanafi said going to the park to sightsee "was not obligatory", Afghan agency Tolo News reported.

Religious clerics in Bamiyan said the women who were visiting the park and not following the rules were visitors to the area.

"There are complaints about lack of hijab or bad hijab, these are not Bamiyan residents. They come here from other places," Sayed Nasrullah Waezi, head of the Bamiyan Shia Ulema Council told Tolo news..

Afghan MP Mariam Solaimankhil shared a poem she had written on X, formerly known as Twitter, about the ban and wrote "we'll return, I'm sure of it".

Fereshta Abbasi, of Human Rights Watch, noted women had been banned from visiting the park on Women's Equality Day and wrote it was a "total disrespect to the women of Afghanistan".

Meanwhile Richard Bennett, the UN Special Rapporteur on human rights in Afghanistan, asked why stopping women from visiting Band-e-Amir "is necessary to comply with Sharia and Afghan culture?".

The Taliban have a history of implementing bans on women doing certain activities on what it insists is a temporary basis, including preventing them from attending schools in December 2022.

The ban on visiting the Band-E-Amir national park is the latest in a long list of activities that women have been prevented from doing since the Taliban returned to power in August 2021.

Most recently, the Taliban ordered hair and beauty salons in Afghanistan to shut and in mid-July stopped women from sitting the national university entrance exams.

Source: BBC
Wanawake inatakiwa washinde ndani wakiwa na nguo nyepesi bila kyupi wasubiri huduma toka kwa mume na dada wa kazi.. mwanamke ni ua linatakiwa limwagiliziwe mbegu tu
 
Back
Top Bottom