Afghanistan: Taliban yapiga marufuku Wanawake kutembelea Hifadhi ya Kitaifa

Wee jamaa wewe😆👆🏿🙌🏿👌🏿
 
Hao washikaji kwenye hiyo hifadhi wanataka waende wanaume tu ili wakabandue wao kwa wao ninj
 
tatizo wanawake wao hawana chura ningejisevia wawiri chapuchapu
 
Na mbingu Yao Allah kawaambia watakuwa nyiongeza kwa waunaume , uku mwanaume akiwa na bikra 72
 
FaizaFoxy kwa nini hukwenda kusoma Afghanistan badala yake ukakimbilia Canada??
 
Hivi hii dini huwaonaje wanawake?
Yakifanywa mashindano ya haki alizopewa mwanamke na mwanamme katika Uislam basi mwanamke atachukuwa medali zote, ya dhahabu, fedha na shaba, Mwanamme ataambulia cheti tu kuwa alishiriki mashindano.


Uislam ni mwema sana.
 
Yakifanywa mashindano ya haki alizopewa mwanamke na mwanamme katika Uislam basi mwanamke atachukuwa medali zote, ya dhahabu, fedha na shaba, Mwanamme ataambulia cheti tu kuwa alishiriki mashindano.


Uislam ni mwema sana.
Mpaka Allah anawadharau anataka mpewe kichapo

Koran 4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…