gidume
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 743
- 915
Katika mihangaiko yetu ya kujikwamua kiuchumi hatimae nimeingia kwenye mikono ya mikopo ambayo kimsingi hali ya uchumi ilivyo haikwepeki.
Bahati nzuri repayments zinafanyika vyema ila mwezi huu kidogo mambo yamekua tyt kiasi kwamba nimedeposit kiasi kidogo cha fedha nje ya maagano yangu na bank na mda umezidi week nzima kabla sijafanikiwa kumaliza repayment nikiwa nategemea kumalizia ndani ya siku hizi mbili..
Maajabu yametokea hapa..
Kwanza akipiga simu kukumbusha rejesho hamna maelewano mazuri hata ukianza na salamu ya mambo anajibu mabaya [emoji38][emoji38].
Kisa nini kwan hujui hujamalizia rejesho.hee vitaa.
Juzi akaniambia nifate barua..he kuuliza barua ya nini eti ya kuvunja mkataba akanijibu lakini I thought wasn’t serious ni ili niwahishe kufanya repayment.
Baada ya kudeposit kiasi cha asilimia 75 kesho yake kanipigia simu “mbona hujamalizia installment.unajua unaniharibia kazi,kwann unapenda kazi yako alaf kazi za wenzako hupendi.
Wenzetu mliokua katika hii field tusaidiane..ivi ni kweli kwamba kudai installment na kuchelewesha kufanyisha installment kunaweza fukuzisha mtu kazi
Izi treatment katika kudai ndo mnaambiwa mfanye hivi au tabia tu ya mtu..tuwekeni wazi kwa sbb kipindi cha kuomba mtukope mnatubembeleza sana [emoji23][emoji23]
Nawasilisha..
Bahati nzuri repayments zinafanyika vyema ila mwezi huu kidogo mambo yamekua tyt kiasi kwamba nimedeposit kiasi kidogo cha fedha nje ya maagano yangu na bank na mda umezidi week nzima kabla sijafanikiwa kumaliza repayment nikiwa nategemea kumalizia ndani ya siku hizi mbili..
Maajabu yametokea hapa..
Kwanza akipiga simu kukumbusha rejesho hamna maelewano mazuri hata ukianza na salamu ya mambo anajibu mabaya [emoji38][emoji38].
Kisa nini kwan hujui hujamalizia rejesho.hee vitaa.
Juzi akaniambia nifate barua..he kuuliza barua ya nini eti ya kuvunja mkataba akanijibu lakini I thought wasn’t serious ni ili niwahishe kufanya repayment.
Baada ya kudeposit kiasi cha asilimia 75 kesho yake kanipigia simu “mbona hujamalizia installment.unajua unaniharibia kazi,kwann unapenda kazi yako alaf kazi za wenzako hupendi.
Wenzetu mliokua katika hii field tusaidiane..ivi ni kweli kwamba kudai installment na kuchelewesha kufanyisha installment kunaweza fukuzisha mtu kazi
Izi treatment katika kudai ndo mnaambiwa mfanye hivi au tabia tu ya mtu..tuwekeni wazi kwa sbb kipindi cha kuomba mtukope mnatubembeleza sana [emoji23][emoji23]
Nawasilisha..