Shukrani kwa jibu lako mkuu,lakini nimeongea kwa experience yangu mwenyewe na mikopo,kwa kifupi sidhani kama kuna mfanyabiashara anayependa achelewe kulipa marejesho ila hili sometimes linatokea kwenye biashara, sasa tatizo unakuta anayekusimamia ana kiherehere kama Mke wa balozi anakupigia Simu kama TALA na ikumbukwe kuwa unapochelewa kulipa unalipia na faini sasa unamuelewesha anayekusimamia mkopo ABC lakini anakuwa hataki kukuelewa anaendelea tu kukupa stress,nilichofanya nikampa ban moja matata na mkopo nikamaliza fresh,sasa nilipokuwa nataka kukopa tena akaanza kumjaza maneno meneja wa Bank ili nisipewe mkopo,lkn meneja kuangalia kwenye system wakakuta ni ucheleweshwaji wa kawaida tu,na akaambiwa chuki binafsi usilete kwenye kazi Mzee nikavuta tena mpunga na nikabadilishiwa msimamizi hadi Leo heshima, mdoa mada namshauri ampe tu ban moja matata na aendelee kurejesha marejesho yake kama kawaida