Afisa bank ananiambia namharibia kazi kisa kuchelewesha repayment..is this serious??

Nimefanya kazi bank 3 tofauti kwa miaka 10. Bank 2 za mwanzo sijawah ona au kusikiwa loan officer akiadhibiwa kwa kuwa na portfolio mbaya, ila kwa bank ya mwisho loan officer walikua wanatimuliwa kwa under performance kwa kuwa na portfolios chafu.
 

Kibaya ni pale unapompa ban alaf uka stack la mwezi ujao tena [emoji38][emoji38]
 
Nimefanya kazi bank 3 tofauti kwa miaka 10. Bank 2 za mwanzo sijawah ona au kusikiwa loan officer akiadhibiwa kwa kuwa na portfolio mbaya, ila kwa bank ya mwisho loan officer walikua wanatimuliwa kwa under performance kwa kuwa na portfolios chafu.

Duh hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…