NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mkuu
Pole KWA majukumu
Nimepata malalamiko kutoka KWA wakuu wa shule za secondari hapo mkoani Tabora kwamba maandalizi ya mitihani ya mock kidato cha nne na cha pili hayakuridhisha!
Kuna kasoro nyingi kama hizi;-
1.Mitihani ilichapiwa kule Mwanza matokeo yake ikachelewa kufika mashuleni KWA wakati na ililazimika wakuu wa shule wakisubiri kwenye Bus kutoka Mwanza Hadi Tabora Mjini tena walisubiri Hadi usiku KWA baadhi ya mitihani Hadi kupelekea mingine kuahirishwa kufanyika siku husika kutokana na kuchelewa kufika KWA wakati!!wenye hekima wanajiuliza kwanini Mwanza kwani Tabora hakuna stionary zenye viwango Hadi ichaposhwe Mwanza!!?
2.Mitihani mingi kuwa typing errors nyingi ni kana kwamba mchapaji hakupata muda wa kutosha wa kuhariri mitihani kilichopelekea makosa mengi ya uchapaji!!
3.Maelekezo ya waandaaji practicals ya masaa matatu kabla kutumwa KWA wakuu wa shule KWA whatsapp badala ya hard copy kama utaratibu ulivyo yaani Maafisa walipiga picha karatasi ya maelekezo na kumtumia mkuu wa shule halafu akapewa muandaaji !!hicho ni kinyume na utaratibu wa mitihani kisheria na taratibu za mitihani!huo ni uhuni kama uhuni mwingine!
3.Gharama za kulipia uandaaji mitihani kuwa kubwa kuliko fedha zinazoingizwa na serikali mashuleni!kiasi kwamba Shule zinajikuta kwenye madeni makubwa KWA kushindwa kujiendesha KWA kununua vifaa vya kufundishia!!
KWA mfano Form four analipwa 10000/= na form two 8000/= sasa vuta picha form four zaidi ya 100dl darasa na form two 150 zidisha KWA kiwango cha fedha utakuta ni mamilioni shule unatakiwa kulipa Sasa fedha za capitation ni kama milion nne au tatu KWA Mwezi shule itajiendeshaje!!?
Pia Fedha za umiseta ni nyingi mno zinazolipwa ukilinganisha na idadi ya wanafunzi wanaoshiriki ki wilaya au kimkoa!shule zinakosa fedha za kujiendesha!!
Nasikia kwenye halmashauri Maafisa hawataki kusaini cheque za matumizi ya shule Hadi cheque za umiseta na mitihani zisainiwe kwanza!wakuu wasipopeleka cheque hizo kwqnza hawasainiwi cheque zao za matumizi ya shuleni kama manunuzi ya chaki na shajara!!
Fedha za elimu Bure ni kichaka cha Maafisa elimu kujipigia na kulamba asali kama mnavofanya Sasa!!
Uzembe kama huo unaofanyika ndio unavofanya elimu yetu isiwe na tija nchini!
Nimeandika usome ujue mnayoyafanya serikali inaona na sio sawa KWA mstakabali wa ustawi wa Elimu yetu nchini!!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!!
Pole KWA majukumu
Nimepata malalamiko kutoka KWA wakuu wa shule za secondari hapo mkoani Tabora kwamba maandalizi ya mitihani ya mock kidato cha nne na cha pili hayakuridhisha!
Kuna kasoro nyingi kama hizi;-
1.Mitihani ilichapiwa kule Mwanza matokeo yake ikachelewa kufika mashuleni KWA wakati na ililazimika wakuu wa shule wakisubiri kwenye Bus kutoka Mwanza Hadi Tabora Mjini tena walisubiri Hadi usiku KWA baadhi ya mitihani Hadi kupelekea mingine kuahirishwa kufanyika siku husika kutokana na kuchelewa kufika KWA wakati!!wenye hekima wanajiuliza kwanini Mwanza kwani Tabora hakuna stionary zenye viwango Hadi ichaposhwe Mwanza!!?
2.Mitihani mingi kuwa typing errors nyingi ni kana kwamba mchapaji hakupata muda wa kutosha wa kuhariri mitihani kilichopelekea makosa mengi ya uchapaji!!
3.Maelekezo ya waandaaji practicals ya masaa matatu kabla kutumwa KWA wakuu wa shule KWA whatsapp badala ya hard copy kama utaratibu ulivyo yaani Maafisa walipiga picha karatasi ya maelekezo na kumtumia mkuu wa shule halafu akapewa muandaaji !!hicho ni kinyume na utaratibu wa mitihani kisheria na taratibu za mitihani!huo ni uhuni kama uhuni mwingine!
3.Gharama za kulipia uandaaji mitihani kuwa kubwa kuliko fedha zinazoingizwa na serikali mashuleni!kiasi kwamba Shule zinajikuta kwenye madeni makubwa KWA kushindwa kujiendesha KWA kununua vifaa vya kufundishia!!
KWA mfano Form four analipwa 10000/= na form two 8000/= sasa vuta picha form four zaidi ya 100dl darasa na form two 150 zidisha KWA kiwango cha fedha utakuta ni mamilioni shule unatakiwa kulipa Sasa fedha za capitation ni kama milion nne au tatu KWA Mwezi shule itajiendeshaje!!?
Pia Fedha za umiseta ni nyingi mno zinazolipwa ukilinganisha na idadi ya wanafunzi wanaoshiriki ki wilaya au kimkoa!shule zinakosa fedha za kujiendesha!!
Nasikia kwenye halmashauri Maafisa hawataki kusaini cheque za matumizi ya shule Hadi cheque za umiseta na mitihani zisainiwe kwanza!wakuu wasipopeleka cheque hizo kwqnza hawasainiwi cheque zao za matumizi ya shuleni kama manunuzi ya chaki na shajara!!
Fedha za elimu Bure ni kichaka cha Maafisa elimu kujipigia na kulamba asali kama mnavofanya Sasa!!
Uzembe kama huo unaofanyika ndio unavofanya elimu yetu isiwe na tija nchini!
Nimeandika usome ujue mnayoyafanya serikali inaona na sio sawa KWA mstakabali wa ustawi wa Elimu yetu nchini!!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!!