Afisa elimu, mkuranga

Afisa elimu, mkuranga

Aikasa

Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
37
Reaction score
9
Jamani huyu mama, ndio amehamishiwa wilaya ya mkuranga kikazi kuwa afisa elimu. Yeah, amekuja na mikakati yake kwa ajili ya kuinua kiwango cha elimu wilaya ya mkuranga!
Lakini atambue kuna changamoto kadhaa zinazoikabili wilaya hii kwa upande wa wafanyakazi wa wilaya hii:-
1.Mazingira magumu ya kufanya kazi.
2.Idadi ndogo ya walimu kwny shule.
3.Ukosefu wa vifaa vya kujifunzia/kufundishia.
4.Nyumba za walimu.
5.Madai ya walimu
.
.
.
Kama, wewe unajua changamoto nyingine jaribu kufunguka!
 
wilaya hii pia watu wake wengi hawajakwenda shule hivyo limekuwa pango la walanguzi kuchukua rasilimali zote,yaani wafanyakazi wote kila sekta ni wageni wa mikoa mingine,hivyo napenda nimkumbushe huyo mama amwombe mungu afanikishe,watumishi wa wilaya hii wanapokea mishahara tarehe 39,madaraja ya watumishi wote yanapandishwa pale ngoma za kizaramo zinapomalizika,pia nimalizie kwa kusema mkoa wa pwani bado Mkoloni mwarabu hajatoka.
 
Hizo changamoto sio za Mkuranga pekee yake ni za nchi nzima.
 
Yeah, uko sawa kabisa! Amepandisha madaraja walimu tangu mwezi wa 9 mpaka leo watu hawajapokea mshahara waliorekebishiwa! Hii wilaya nadhani nimekuja kimakosa!
 
Yeah, uko sawa kabisa! Amepandisha madaraja walimu tangu mwezi wa 9 mpaka leo watu hawajapokea mshahara waliorekebishiwa! Hii wilaya nadhani nimekuja kimakosa!
yanabadilika
Ha ha ha pole sana Mkuu. Polepole mambo yanabadilika Kaka. Mama yako amepaishwa Aikasa
 
Last edited by a moderator:
Anaitwa mama Ngonyani ana diploma ya ualimu aliwai kufundisha zanaki girls miaka ya 80 hadi 98.tatizo alilonalo anachukia sana walimu wenye degree anapenda sana ligi
 
Anaitwa mama Ngonyani ana diploma ya ualimu aliwai kufundisha zanaki girls miaka ya 80 hadi 98.tatizo alilonalo anachukia sana walimu wenye degree anapenda sana ligi
Unadanganya... au umechanganya Mada. DEO wa Msingi anayezungumzwa hapa ni Bi. Mayassa Hashim. Hakuna DEO mwenye Diploma sasa hivi sifa ni lazima uwe na degree ya kwanza na uzoefu wa miaka kadhaa (Mingi). Namfahamu sana Mama Ngonyani ana huruma sana ila tu ana jazba fulani na hasira za haraka lakini ni mtu mzuri sana ukimjulia giraffe. Cheo cha DEO ni Mkuu wa Idara so huwezi kuwa na diploma halafu ukashiak nafasi hiyo
 
Last edited by a moderator:
Jamani huyu mama, ndio amehamishiwa wilaya ya mkuranga kikazi kuwa afisa elimu. Yeah, amekuja na mikakati yake kwa ajili ya kuinua kiwango cha elimu wilaya ya mkuranga!
Lakini atambue kuna changamoto kadhaa zinazoikabili wilaya hii kwa upande wa wafanyakazi wa wilaya hii:-
1.Mazingira magumu ya kufanya kazi.
2.Idadi ndogo ya walimu kwny shule.
3.Ukosefu wa vifaa vya kujifunzia/kufundishia.
4.Nyumba za walimu.
5.Madai ya walimu
.
.
.
Kama, wewe unajua changamoto nyingine jaribu kufunguka!

6, Utoro wa walimu.
 
6, Utoro wa walimu.
Mkuu kumbe kuna wakati unatoa pointi eehhh? zomba!! Hili la utoro wa Walimu ni tatizo sana.. halafu wanaishia kulalamika tu kwamba serikali haiwajali
 
Last edited by a moderator:
wilaya hii inamazingira magumu kweli, kuna shule ziko visiwani mpaka upande mtumbwi ndo unafika huko ni mwendo wa kuvua samaki tu. afadhali ya shule kama chamgoyi, mkongo, kizomla, kibudi, mbezi muungwana,panzuo, nyamato. kisele.
 
Back
Top Bottom