Afisa Elimu Msingi Muheza ndugu Saidi Juma Kondo jirekebishe

Afisa Elimu Msingi Muheza ndugu Saidi Juma Kondo jirekebishe

KDS

Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
46
Reaction score
15
Ndugu wana Jamiiforums.

Huyu bwana ni mkurupukaji kwenye maamuzi, na anajihusisha na RUSHWA YA NGONO KWA WALIMU WA KIKE. Ninaadika hapa kumuonya kwani walimu wengi wanalalamika juu yake. Bwana Kondo tenda haki na uangalie mwenendo wako kwani mahusiano mema ni bora kuliko pesa zako. Nakushauri ujirekebishe.
 
Awe na hofu ya Mungu! Kwan pesa zake bila Mungu anajiyabisha na kujilisha bule!!! Ukimwiiiiii huo mbele ake! !!!!!
 
we mwlimu utatafutwa hapa kwa IP address yako...

Ungemkatalia ngono huko, ushaliwa unakuja kumuanika hapa.
 
mmefika huko? mmmh mi simo tuwe na nidhamu siyo fair na sidhani hapa ni mahali husika ungeona hivyo ungefuata utaratibu wa kulitatua tatizo
 
akamuulize DEO wa mbinga kilichomkuta labda anaweza kujifunza kutoka huko. alinyanyasa wenzake akawa anawatia walimu wakike wakimkatalia uhamisho unapelekwa bush huko kusiko na network, Mungu huwa anasikiliza sana malalamiko ya manyanyaso ya watu wa chini . kuna miezi kama mitano sasa kapewa demotion kapangiwa akafundishe shule ya msingi bushi huko pamoja na degree yake na mwl mkuu wake ni wa UPE na jinsi mwl mkuu huyo alivyo na jeuri kampqngia kufundisha darasa la kwanza na la pili.
 
Back
Top Bottom