Afisa elimu sekondari Songwe huko kwenye semina ya sensa zingatia yafuatayo

Afisa elimu sekondari Songwe huko kwenye semina ya sensa zingatia yafuatayo

Teleza1

Senior Member
Joined
May 16, 2020
Posts
190
Reaction score
198
Huyu mheshimiwa ndio amebaki wilaya ya Songwe baada ya God father wake kupelekwa Tabora.

Watu wa Tabora chukueni tahadhari zote kuwania ameanza kuwahamisha watumishi wake vipenzia aliokuwa anafanya kazi nao mkoa wa Songwe kuwahamishia Tabora.

Muwe makini hawachelewi kujazana maofisi huko wenyewe wa mikoa hiyo. Ila huku tumebaki na jamaa mmoja ambae anajiita kisiki cha mpingo afisa elimu yaaaani yeye ni full ubabe.

Anahamisha wafanyakazi kutoka kituo kimoja kwenda kingine bila kuwalipa stahiki zao. Pia amekuwa akikakataaa kusaini barua za waalimu wanaohitaji kubadilishana vituo, kwa mfano kuna baadhi ya waalimu amekataaa kuwasainia barua zao ingawa wamepata nafasi ya kubadilishana.

Amkekuwa na ukiritimba wa kupitiliza na ubabe kwa anaowaongoza. Pia amekuwa na upendeleo wa wazi kwa watu wanaotoka mikoa ya Njombe na Iringa kwa kuwafavor kwenye kila kitu pamoja nafursa zote yeye ni watu wa mikoa hiyo.

Pia takukuru wafatilie kuna rushwa ya ngono inayoendelea kwenye ofisi kutoka na majina anayopendekeza katika teuzi zake.

Mwisho nimehudhuria semina ya mafunzo ya sensa, mama Semamba amejitahidi kusisitiza juu ya watu kuwa na uadilifu na kutopedelea ndugu zao.

Lakini yeye utashaanga yeye atawajaza ndugu zake mwanzo mwisho wa mikoa tajwa juu hapo. Takukuru fuatilieni haya mambo yakiachwa matunda yake mnayajua
 
Wewe kama ni Mwalimu jitahidi kuandika vizuri, jenga hoja vizuri maana umemzungumzia DSEO na habari ya Sensa, nikukumbushe tu, Mwenyekiti wa kamati ya Sensa ni DC, Mratibu wa Sensa ni DPLO, Wajumbe wa Kamati ya Sensa ni baadhi ya wajumbe wa CMT na KUU, acheni kuwa walozi.

Pia umetaja Mama....kuwa kawatendea haki, sisi hatufanyi kazi na wewe kuwa tunamjua huyo mama.
 
Bado mnateseka nae? Ngedere kama hao mnasumbuka nao hizo halmashauri hazina jamii za watu wababe poleni, mnashindwa kumpelekea Lori akiwa road
 
Sababu haujamtaja jina then nasema acheni jamaa liwanyooshe kisawasawa
 
Wewe kama ni Mwalimu jitahidi kuandika vizuri, jenga hoja vizuri maana umemzungumzia DSEO na habari ya Sensa, nikukumbushe tu, Mwenyekiti wa kamati ya Sensa ni DC, Mratibu wa Sensa ni DPLO, Wajumbe wa Kamati ya Sensa ni baadhi ya wajumbe wa CMT na KUU, acheni kuwa walozi.
Pia umetaja Mama....kuwa kawatendea haki, sisi hatufanyi kazi na wewe kuwa tunamjua huyo mama.
Nilijua pro Deo mtakuja fasta nitamwaga kila kitu wa hapa mi naushahid wa kila kitu jinsi anavyofanya robbying
 
Wewe kama ni Mwalimu jitahidi kuandika vizuri, jenga hoja vizuri maana umemzungumzia DSEO na habari ya Sensa, nikukumbushe tu, Mwenyekiti wa kamati ya Sensa ni DC, Mratibu wa Sensa ni DPLO, Wajumbe wa Kamati ya Sensa ni baadhi ya wajumbe wa CMT na KUU, acheni kuwa walozi.
Pia umetaja Mama....kuwa kawatendea haki, sisi hatufanyi kazi na wewe kuwa tunamjua huyo mama.
Mafunzo ya Sensa yameshaanza?
Hivi Sensa kwa ujumla wake kwa nini isingefanywa na watu walio nje ya mfumo na ikaleta matokeo bora kabisa? Yaani ofisi ya TAKWIMU itangaze nafasi za waratibu, wajumbe wa kamati ya sensa ziombwe na watu ambao jukumu lao litakuwa ni SENSA tu halafu ukifika muda wa kuhesabu watangaze tena nafasi za wahesabuji ambao nao wasiwe kwenye mfumo wa serikali - watoke nje ya serikali. Vijana wenye elimu za mambo ya takwimu na uratibu wangefaa kabisa kufanya kazi hiyo kwa ubora mkubwa.

Msingi wa kutaka watu wa nje ya serikali ni kutoa jaira kwa wengine lakini kubwa zaidi kupata kazi iliyo bora kwa kuwa inafanywa na mtu asiye na majukumu mengine ya kikazi. mfano DPLO hataweza kuzingatia Sensa tu wakati ana madarasa ya kujenga, ana barabara za kurekebisha nk na vyote vinafanyika, havisubiri sensa iishe ndio vifanyike.
 
Wewe kama ni Mwalimu jitahidi kuandika vizuri, jenga hoja vizuri maana umemzungumzia DSEO na habari ya Sensa, nikukumbushe tu, Mwenyekiti wa kamati ya Sensa ni DC, Mratibu wa Sensa ni DPLO, Wajumbe wa Kamati ya Sensa ni baadhi ya wajumbe wa CMT na KUU, acheni kuwa walozi.
Pia umetaja Mama....kuwa kawatendea haki, sisi hatufanyi kazi na wewe kuwa tunamjua huyo mama.
Umejibu vizuri sn
 
Nilidhani hapo uliposema kwa mfano ungeweka ushahidi usio na shaka juu ya kile huyo mtumishi wa serikali anafanya... otherwise jitahidi kutekeleza kazi zako. Acha majungu
 
Nilidhani hapo uliposema kwa mfano ungeweka ushahidi usio na shaka juu ya kile huyo mtumishi wa serikali anafanya... otherwise jitahidi kutekeleza kazi zako. Acha majungu
Majungu nini kaponda alikuwa hivi mwambie yaliyomkuta
 
Mafunzo ya Sensa yameshaanza?
Hivi Sensa kwa ujumla wake kwa nini isingefanywa na watu walio nje ya mfumo na ikaleta matokeo bora kabisa? Yaani ofisi ya TAKWIMU itangaze nafasi za waratibu, wajumbe wa kamati ya sensa ziombwe na watu ambao jukumu lao litakuwa ni SENSA tu halafu ukifika muda wa kuhesabu watangaze tena nafasi za wahesabuji ambao nao wasiwe kwenye mfumo wa serikali - watoke nje ya serikali. Vijana wenye elimu za mambo ya takwimu na uratibu wangefaa kabisa kufanya kazi hiyo kwa ubora mkubwa.

Msingi wa kutaka watu wa nje ya serikali ni kutoa jaira kwa wengine lakini kubwa zaidi kupata kazi iliyo bora kwa kuwa inafanywa na mtu asiye na majukumu mengine ya kikazi. mfano DPLO hataweza kuzingatia Sensa tu wakati ana madarasa ya kujenga, ana barabara za kurekebisha nk na vyote vinafanyika, havisubiri sensa iishe ndio vifanyike.
Sensa iko kwa mujibu wa sheria ya Takwimu, NBS ndio wenye jukumu la Takwimu, lakini katika kila Halmashauri kuna Mwenye dhamana ya Takwimu (Mtakwimu) ambaye anafanya kazi chini ya DPLO . By the way hao ni wasimamiaji tu, ajira za sensa hutolewa
 
Walimu ni punching bag la kila mtu,na mbaya zaidi ni viherehere na makada wa chama, acha awanyonyoe tu
 
Sensa iko kwa mujibu wa sheria ya Takwimu, NBS ndio wenye jukumu la Takwimu, lakini katika kila Halmashauri kuna Mwenye dhamana ya Takwimu (Mtakwimu) ambaye anafanya kazi chini ya DPLO . By the way hao ni wasimamiaji tu, ajira za sensa hutolewa
Mtakwimu wa Halmashauri (ingawa sijui kama kila Halmashauri wapo hawa watu)ni kwa ajili ya takwimu za Halmashauri, kwa kuwa NBS hawapo kila wilaya kumtumia mtakwimu huyo ni kama wanakua wameiajiri Halmashauri kwa kuwa mtakwimu huyo hayupo chini yao NBS moja kwa moja. Bado huyu mtakwimu atatakiwa kuendelea na ukusanyaji na uandaaji wa takwimu nyingine kwa ajili ya Halmashauri yake. Sensa ni zoezi maalumu kabisa, lazima litoe ajira kuanzia wakuu wa ngazi za juu mpaka makarani tuondokane na hii ya watu kupeana peana ajira watu wa mfumo, (yaani hata ajira za muda tu nazohamtaki vijana wapate), ama sivyo kama suala ni kuokoa pesa basi NBS wakae tu Dodoma na kuomba takwimu kutoka kwa maDPLO maana kila mwaka wanapanga bajeti kwa Halmashauri zao kitakwimu (wana takwimu zote za Halmashauri zao). Halafu kuwapa vijana post za juu kwa ajira ya muda ndio kuwajengea uwezo kwenyewe waweze kupata uzoefu na ngazi za kimaamuzi
 
Mtakwimu wa Halmashauri (ingawa sijui kama kila Halmashauri wapo hawa watu)ni kwa ajili ya takwimu za Halmashauri, kwa kuwa NBS hawapo kila wilaya kumtumia mtakwimu huyo ni kama wanakua wameiajiri Halmashauri kwa kuwa mtakwimu huyo hayupo chini yao NBS moja kwa moja. Bado huyu mtakwimu atatakiwa kuendelea na ukusanyaji na uandaaji wa takwimu nyingine kwa ajili ya Halmashauri yake. Sensa ni zoezi maalumu kabisa, lazima litoe ajira kuanzia wakuu wa ngazi za juu mpaka makarani tuondokane na hii ya watu kupeana peana ajira watu wa mfumo, (yaani hata ajira za muda tu nazohamtaki vijana wapate), ama sivyo kama suala ni kuokoa pesa basi NBS wakae tu Dodoma na kuomba takwimu kutoka kwa maDPLO maana kila mwaka wanapanga bajeti kwa Halmashauri zao kitakwimu (wana takwimu zote za Halmashauri zao). Halafu kuwapa vijana post za juu kwa ajira ya muda ndio kuwajengea uwezo kwenyewe waweze kupata uzoefu na ngazi za kimaamuzi
Ikama ya Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji inajumlisha Mtakwimu, kutokuwepo kwa Mtakwimu haimaanishi kazi za Mtakwimu hazifanyiki, Kila mkoa una Manager wa NBS ambao wakon chini ya RAS na wanafanya kazi pamoja na Halmashauri..Mtakwimu wa Halmashauri kutokuwa chini ya NBS haimanishi wakifanya kazi za NBS wanakuwa wameajiriwa, Afisa Masuhuli wa mkoa ni RAS, hawa wote wako chini ya RAS, Serikali ni moja.
 
Majungu nini kaponda alikuwa hivi mwambie yaliyomkuta
We nambie juma kaponda yupo wapi huyu mzee sitakuja kumsahau pale alipotufukuza shule kule mwakaleli kisa kadanganywa na Mwantimwa na Sanga
 
Mafunzo ya Sensa yameshaanza?
Hivi Sensa kwa ujumla wake kwa nini isingefanywa na watu walio nje ya mfumo na ikaleta matokeo bora kabisa? Yaani ofisi ya TAKWIMU itangaze nafasi za waratibu, wajumbe wa kamati ya sensa ziombwe na watu ambao jukumu lao litakuwa ni SENSA tu halafu ukifika muda wa kuhesabu watangaze tena nafasi za wahesabuji ambao nao wasiwe kwenye mfumo wa serikali - watoke nje ya serikali. Vijana wenye elimu za mambo ya takwimu na uratibu wangefaa kabisa kufanya kazi hiyo kwa ubora mkubwa.

Msingi wa kutaka watu wa nje ya serikali ni kutoa jaira kwa wengine lakini kubwa zaidi kupata kazi iliyo bora kwa kuwa inafanywa na mtu asiye na majukumu mengine ya kikazi. mfano DPLO hataweza kuzingatia Sensa tu wakati ana madarasa ya kujenga, ana barabara za kurekebisha nk na vyote vinafanyika, havisubiri sensa iishe ndio vifanyike.
huna akili, akiharibu kazi unamwajibisha vipi mtu asiye wa serikali???
 
Back
Top Bottom