Afisa Elimu, Wilaya ya Mbinga, alistahili kufukuzwa kazi na sio kupewa Demotion

Afisa Elimu, Wilaya ya Mbinga, alistahili kufukuzwa kazi na sio kupewa Demotion

Kushushwa cheo/mshahara ni adhabu ya juu katika utumishi wa umma na vipo vigezo kadhaa kufikia uamuzi huo. Kufukuzwa labda kosa kwa kosa la jinai.

Labda km vigezo havikufuatwa hapo sawa, tatizo huwa nani amvike paka kengele(kutoa ushahidi bila shaka).

Huyo DEO alichokifanya ni jinai ikithbitika.Sema kilichotokea wenda hapakuwa na ushahidi wa kutosheleza kumtia kwenye hatia ya wizi na dhuruma.
 
Hilo ni kosa la kimaadili na hiyo ni adhabu sitahiki mkuu kwa kuwa kuna watu wengine walishiriki kutenda kosa hata kama kisingizio kwamba walitishiwa maisha na ajira yao wasipotoa hela.

Ingekuwa kazichota mwenyewe hapo sawa
 
Kushushwa cheo/mshahara ni adhabu ya juu katika utumishi wa umma na vipo vigezo kadhaa kufikia uamuzi huo. Kufukuzwa labda kosa kwa kosa la jinai.

Labda km vigezo havikufuatwa hapo sawa, tatizo huwa nani amvike paka kengele(kutoa ushahidi bila shaka).

Ni sawa kabisa mkuu. Pia kuhusu hii kesi naifahamu bado ipo mahakaman na baraza la madiwani muda wowote itatolewa maamuz na sambamba na hilo bado ana adhabu nyingi kutohudhuria any confidential issue concerning the progression so nafikir serikal ipo pazur kwa sakata hili la Mbinga ps.
 
Back
Top Bottom