Kushushwa cheo/mshahara ni adhabu ya juu katika utumishi wa umma na vipo vigezo kadhaa kufikia uamuzi huo. Kufukuzwa labda kosa kwa kosa la jinai.
Labda km vigezo havikufuatwa hapo sawa, tatizo huwa nani amvike paka kengele(kutoa ushahidi bila shaka).