Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KivipiKuna jamaaa yangu aliniambiaga kazi za afisa mtendaji zipo kisiasa.
Unakumbuka mwaka jana maofisa watendeji kata kote nchini waliitwa ikulu na raisi.Kivipi
Ni kweli, bila shaka hata wananchi hawakumpenda, yaani marehemu hakupiga hata yowe la kuomba msaada?Afisa mtendaji anauawa Mchana tena ofisini kwake lazima kuna kisa nyuma yake hapo
Rais ni Mkuu wa Nchi. Hata wewe anaweza kukuita. Utakataa?Unakumbuka mwaka jana maofisa watendeji kata kote nchini waliitwa ikulu na raisi.
Tofautisha mtendaji wa kata na mwenyekiti wa mtaaKuna jamaaa yangu aliniambiaga kazi za afisa mtendaji zipo kisiasa.
Msumi kuna biashara kubwa za kuuzina viwanja bandia, si ajabu kuwa watu walitapeliwa, ninachokiona hapa ni kulipa vizazi sio rahisi mtu ushambuliwe tu bila sababu kwa kuingiliwa ofisini mchana kweupe, swali tatanishi je huyo mtendaji alikuwa peke yake ofisini?jambo ambalo si la kawaida,kwenye hizo ofisi utakuta kuna watu wengi hadi migambo, je hawa wote walikuwa wapi?Isije kuwa wamezulumiana viwanja . Mtendaji kwenye mauzo ya wote alikula cha juu
Wenzie hamza?Timu gaidi watashangilia
Na wewe wakala wa ibilisi imengiwa na huruma.Pole kwa wafiwa.
Uchunguzi wa kina ufanyike ili kubaini sababu za mauaaji.
tuwe macho na wale wote ambao mara zote husababisha fujo na kutaka kuhatarisha amani ya nchi yetu.
Magenge ya kihuni yachunguzwe.
Hapo ndo utaona utofauti wa mjini na vijijini mtendaji akiingia ofisini kijijini lazima mgambo watakuwa wapo nje.ulinzi shirikishi wameshindwa kumuokoa afisa mtendaji..
Na hajamzungumzia mwenyekiti wa serikali ya mtaa.Tofautisha mtendaji wa kata na mwenyekiti wa mtaa