Na Dar unaweza kuingilia ugomvi usiokuhusu ukauwawa wewe. Dar ni sehemu hatari sana wakati mwingine.Dar ina watu waajabu sana unaweza kufanyiwa unyama wowote mbele ya Kadamnasi na watu wanaendelea na mambo yao tu...
Hii issue ukifuwatilia in deep utakuta mambo ya dhuluma na issue za ardhi haya twende...MAUAJI ya kutisha yametokea eneo la Mbezi Msumi mkoani Dar es Salaam baada ya watu wasiofahamika kudaiwa kuvamia ofisi za Serikali ya Mtaa wa eneo hilo na kisha kumuua Ofisa Mtendaji kwa kumkata na panga..
Pumzika kwa Amani Ba Mdogo ,Mme wa Mamdogo wangu,Umeacha Mwanao bado Mdogo na mwingine akiwa tumboni .inaumaMAUAJI ya kutisha yametokea eneo la Mbezi Msumi mkoani Dar es Salaam baada ya watu wasiofahamika kudaiwa kuvamia ofisi za Serikali ya Mtaa wa eneo hilo na kisha kumuua Ofisa Mtendaji kwa kumkata na panga.
Tukio hilo la mauaji limetokea leo Oktoba 11, 2021 kati ya saa sita hadi saa saba mchana wa leo na inadaiwa ofisa huyo mtendaji wa Serikali ya Mtaa wa Mbezi Msumi ameshambuliwa kwa kukatwa na panga shingoni na watu ambao hawahamiki.
Akizungumza na Michuzi TV pamoja na Michuzi Blog leo Mmoja wa mashuhuda na mwananchi wa eneo hilo(jina limehifadhiwa) amedai wameshangazwa na tukio hilo la mauaji ambalo limefanywa kwa kiongozi huyo.
Alipoulizwa iwapo watu waliofanya tukio wamefahamika, amejibu hawajafahamika kwani baada ya kutekeleza unyama huo walikimbia na haijulikani ni akina nani na wametoka wapi, ingawa anaamini Jeshi la Polisi linajua namna ya kufuatilia tukio hilo na kuupata ukweli.
"Wananchi tumejawa na taharuki baada ya kutokea tukio hili la mauaji , hatuji nini kimesababisha hadi watu hao kufanya unyama huu kwa kiongozi wa Serikali ya Mtaa,tupo hapa tunasubiri kuona nini kinachoendelea,"amesema shuhuda huyo alipokuwa akizungumza na Michuzi TV
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Ramadhan Kingai aliyezungumza na Michuzi TV amethibitisha kupata taarifa hizo za tukio la mauaji na tayari askari polisi tayari wako eneo la tukio."Tumepata taarifa za tukio hilo,tunafuatilia na baadae tutatoa taaria rasmi kwa vyombo vya habari."
Michuzi TV na Michuzi Blog inaendelea kufuatilia tukio hilo kwa karibu ili kuhakikisha umma wa Watanzania unafahamu ukweli wa tukio hilo kupitia Jeshi la Polisi ambalo limeanza kufuatilia.
Poleni sanaPumzika kwa Amani Ba Mdogo ,Mme wa Mamdogo wangu,Umeacha Mwanao bado Mdogo na mwingine akiwa tumboni .inauma
Pole sana Kwake, Nimesikitika na Kuhuzunika zaidi kwani Watanzania hatujawahi kuwa na Roho za aina hii.MAUAJI ya kutisha yametokea eneo la Mbezi Msumi mkoani Dar es Salaam baada ya watu wasiofahamika kudaiwa kuvamia ofisi za Serikali ya Mtaa wa eneo hilo na kisha kumuua Ofisa Mtendaji kwa kumkata na panga.
Tukio hilo la mauaji limetokea leo Oktoba 11, 2021 kati ya saa sita hadi saa saba mchana wa leo na inadaiwa ofisa huyo mtendaji wa Serikali ya Mtaa wa Mbezi Msumi ameshambuliwa kwa kukatwa na panga shingoni na watu ambao hawahamiki.
Akizungumza na Michuzi TV pamoja na Michuzi Blog leo Mmoja wa mashuhuda na mwananchi wa eneo hilo(jina limehifadhiwa) amedai wameshangazwa na tukio hilo la mauaji ambalo limefanywa kwa kiongozi huyo.
Alipoulizwa iwapo watu waliofanya tukio wamefahamika, amejibu hawajafahamika kwani baada ya kutekeleza unyama huo walikimbia na haijulikani ni akina nani na wametoka wapi, ingawa anaamini Jeshi la Polisi linajua namna ya kufuatilia tukio hilo na kuupata ukweli.
"Wananchi tumejawa na taharuki baada ya kutokea tukio hili la mauaji , hatuji nini kimesababisha hadi watu hao kufanya unyama huu kwa kiongozi wa Serikali ya Mtaa,tupo hapa tunasubiri kuona nini kinachoendelea,"amesema shuhuda huyo alipokuwa akizungumza na Michuzi TV
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Ramadhan Kingai aliyezungumza na Michuzi TV amethibitisha kupata taarifa hizo za tukio la mauaji na tayari askari polisi tayari wako eneo la tukio."Tumepata taarifa za tukio hilo,tunafuatilia na baadae tutatoa taaria rasmi kwa vyombo vya habari."
Michuzi TV na Michuzi Blog inaendelea kufuatilia tukio hilo kwa karibu ili kuhakikisha umma wa Watanzania unafahamu ukweli wa tukio hilo kupitia Jeshi la Polisi ambalo limeanza kufuatilia.
Watakuwa jamaa zake na msomali.Timu gaidi watashangilia
Kama alitekeleza kwa 100% walichoitiwa Ikulu malipo ni hayo. Si kila agizo linatekelezeka.Rais ni Mkuu wa Nchi. Hata wewe anaweza kukuita. Utakataa?
Walimchagua?Mm hapa nawalaumu wananchi wa eneo hill niwazembe kwasababu wameshindwa kumlinda mtendaji wao.
Kwani Rais aliwaagiza wakagombane?Kama alitekeleza kwa 100% walichoitiwa Ikulu malipo ni hayo. Si kila agizo linatekelezeka.
Unajua ni nini waliagizwa,au ni miongoni mwao?Kwani Rais aliwaagiza wakagombane?