Afisa Mtendaji wa mtaa wa Mbezi Msumi ashambuliwa hadi kufa ofisini kwake

Kweli mtz mpe picha habari ataweka mwenyewe. Hata Jeshi la Polisi halijapata chanzo cha mauaji wala mtuhumiwa humu tayari upelelezi umekamilika na kubaini chanzo ni dhuluma ya viwanja, dhuluma ya haki na mapenzi. Halafu watuhumiwa ni wananchi wa mtaa huo! Mbaya zaidi mauaji yanabarikiwa na kufurahiwa sana!!

Watanzania tumefika mbali sana!

RIP mtendaji.
 
inabidi wachunguzwe wafuasi wa gaidi na.1, inawezekana wakahusika.
 
Mm hapa nawalaumu wananchi wa eneo hill niwazembe kwasababu wameshindwa kumlinda mtendaji wao.
 
Wa Tz huwa wanapenda kujidai wajuaji sana wazee wa kutoa hukumu utaskia huyo kadhulumu kiwanja au katembea na mke wa mtu, ukiuliza alidhulum nn?

Hawan majibu zaid ya kuhisi kama muuaji alikua muuza mazao hapohapo watasema alidhulum mazao
Yan akilin kwao huwa hawajui hata mtenda haki anamaadui au pia anae dhulumiwa anaweza kuuwawa
 
Dar ina watu waajabu sana unaweza kufanyiwa unyama wowote mbele ya Kadamnasi na watu wanaendelea na mambo yao tu...
Na Dar unaweza kuingilia ugomvi usiokuhusu ukauwawa wewe. Dar ni sehemu hatari sana wakati mwingine.
 
MAUAJI ya kutisha yametokea eneo la Mbezi Msumi mkoani Dar es Salaam baada ya watu wasiofahamika kudaiwa kuvamia ofisi za Serikali ya Mtaa wa eneo hilo na kisha kumuua Ofisa Mtendaji kwa kumkata na panga..
Hii issue ukifuwatilia in deep utakuta mambo ya dhuluma na issue za ardhi haya twende...
 
Baadhi ya maafisa watendaji hujihusisha na dhuluma za mambo ya kiwanja huku wakijua wamiliki halali inawezekana ikawa ndio chanjo cha unyama.
 
Pumzika kwa Amani Ba Mdogo ,Mme wa Mamdogo wangu,Umeacha Mwanao bado Mdogo na mwingine akiwa tumboni .inauma
 
UKISOMA HII HABARI, UTAJUA TU CHANZO CHA HILI
 
Pole sana Kwake, Nimesikitika na Kuhuzunika zaidi kwani Watanzania hatujawahi kuwa na Roho za aina hii.

Hata hivyo nimalizie tu kutoa Ushauri kwa Viongozi kuwa jitahidini sana kujihusisha katika Madili ya Hatari huku mkijijua kuwa ni Wadhulumati na hamna Siri.

Pia epukeni mno Kutembea na Wake za Watu tena Kibabe na Kijeuri huku pengine hata mkiwaweka ndani Kimakusudi wenye hao Wake.

Ukijijua Wewe si Mnafiki kataa Uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…