RaisMarangu
Senior Member
- Oct 18, 2013
- 109
- 24
Wadau kuna mtu aweza kutusaidiakwa nini huyu mama kivea anakuwa na roho ya kuwazungusha wastaafu mpaka shirika linaingia hasara ya kuwapa wazee nauli na nauli yenyewe ni kwa shinikizo la bosimmoja mkarimu ambaye inambidi kila siku kupita reception pale bavaria house na kuhoji kila mteja ndi hapi waajiriwa wanapojifanya wako bizz tatizo likitafutwa mchawi ni huyo mama kivea ,je huyo mama yupo kwa maslahi ya nani na kwa nini wenzake wanamwogopa je ndumba au kawekwa