Afisa ugavi wa HAMAS auawa na Israel

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
An IDF drone carried out a targeted attack on a vehicle carrying Hamas's Lebanon supplies director, Ayman Ratma, in the Bekaa Valley of Lebanon on Saturday, the military reported.

Ratma had reportedly helped to direct weapons supplies for Hamas and Jamaa Islamiya in Lebanon.

The army said that he was killed due to his involvement in terrorism against Israel, as well as for planning future attacks against Israeli civilians.

The organization Jamaa Islamiya, a branch of the Muslim Brotherhood in Lebanon, has been involved in several attacks against Israel since the beginning of the war. Several of its people have been killed in recent months in IAF attacks.

In May, the IDF killed a senior commander of Jamaa Islamiya in Lebanon, Shurahbil Ali Alsayed. He was killed in the area of Majdal Anjar in southern Lebanon.
 
Israel taifa lenye weledi wanashindwa kumaliza mgambo wa manispaa ya kinondoni mwezi wa 8 huu kila siku kuleta stori tu mara kauwawa nani kesho tena taarifa mpya wameua huyo huyo israel ni dhaifu sana sivyo kama watu walivyo aminishwa hamas wamewavua nguo!
 
Tulia kijana operation ya kupambana na Ugaidi haijawahi kuwa nyepes mnachoshindwa kuelewa ni kwamba huwez tofautisha wanamgambo wa Hamas na raia wa kawaida ili kupunguza maafa kwa raia unahitajika umakini wa Hali ya juu sana na ndicho anachofanya IDF.

The end of Hamas terrorists is imminent
 
Nethanyau katoka ngiri maji kwa msongo wewe wa kwa mtogole unazungumza na vidole ukiwa kitandani!
 
Nethanyau katoka ngiri maji kwa msongo wewe wa kwa mtogole unazungumza na vidole ukiwa kitandani!
Ni kweli katokwa na ngiri maji ila huyo ndio kiboko wa magaidi, kwani sio kwa kipigo hicho anachokitoa, na dunia imemuacha tu afanye anavyotaka, kwani nayo imechoka, na ushenzi! Huko lebanon nako wanataka kujichanganya,.
 

Hao mgambo wenu wamejificha ndani ya watoto na kina mama, mbona wasipambane kama ambavyo dini yenu huwa imewaamrisha, wafe wakajilie mabikira.
 
Hao mgambo wenu wamejificha ndani ya watoto na kina mama, mbona wasipambane kama ambavyo dini yenu huwa imewaamrisha, wafe wakajilie mabikira.
Rudia kusoma ulichoandika wangekuwa hawapambani hao madhwalimu wauaji wanawake na watoto wasingeomba msaada wa silaha kutoka marekani!
 
Kipigo asingeomba msaada jamaa ni dhaifu sana!
Msaada upi?? Yeye anahitaji ruhusa kutoka kwa mbambe wa dunia US!! tu Kwani wale wa Houthi, na hezbollah waliishia wapi? Pale waliposema ole wake, israel avamie Gaza, hata kuja kusahau, na ndio utakuwa mwisho wake!! Sasa hivi mbona anajipigia tu putin huko naye anaenda kuchoka na vita, NATO, hawataki vita viishe sasa hivi,
 
Rudia kusoma ulichoandika wangekuwa hawapambani hao madhwalimu wauaji wanawake na watoto wasingeomba msaada wa silaha kutoka marekani!

Kupambana na magaidi wa uislamu sio kazi rahisi maana huwa wamejitolea kufa wakawahi wale mabikira wa alla wenu, ila hawa ni magaidi tofauti, wanaogopa kufa na kujificha nyuma ya watoto na wanawake, hivyo nguvu nyingi inabidi itumike.
 
Kupambana na magaidi wa uislamu sio kazi rahisi maana huwa wamejitolea kufa wakawahi wale mabikira wa alla wenu, ila hawa ni magaidi tofauti, wanaogopa kufa na kujificha nyuma ya watoto na wanawake, hivyo nguvu nyingi inabidi itumike.
Umekariri!
 
Rudia kusoma ulichoandika wangekuwa hawapambani hao madhwalimu wauaji wanawake na watoto wasingeomba msaada wa silaha kutoka marekani!
Hakuna Taifa duniani linaloingia vitani pekeake bila msaada wa silaha. Na hii inaonesha jinsi gani nchi ilivyo komaa kidiplomasia. Ndio maana ya washirika waaaminufu.
Amka
 
Hakuna Taifa duniani linaloingia vitani pekeake bila msaada wa silaha. Na hii inaonesha jinsi gani nchi ilivyo komaa kidiplomasia. Ndio maana ya washirika waaaminufu.
Amka
Wazeni kidogo kwa kina kutumia vichwa,Hamas wana ukubwa gani wa kuiombea misaada tena wana mgambo wa city wakamata kodi!
 
Wazeni kidogo kwa kina kutumia vichwa,Hamas wana ukubwa gani wa kuiombea misaada tena wana mgambo wa city wakamata kodi!
Kwa nini usumbue akiba yako. Wakati kunaroom ya kitonga cha silaha. Mkataba umeahid kusaidia unatakiwa kusaidia no matter what. As long as wanashambuliwa kutoka nje ya Taifa. Au wanaingia vitani na taifa lingine.
 
Kwa nini usumbue akiba yako. Wakati kunaroom ya kitonga cha silaha. Mkataba umeahid kusaidia unatakiwa kusaidia no matter what. As long as wanashambuliwa kutoka nje ya Taifa. Au wanaingia vitani na taifa lingine.
Sio vile mlivyo karirishwa israel ni dhaifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…