Wamejawa unafikii balaaa. Wanadhani waki hukumu wengine wao wanakua watakatifu.Kuna wezi humu,Kuna wanaotembea na wake za humu,kuna wanaoingilia wanawake kinyume na maumbile humu,kuna waliouwa humu lakini leo ndio wanatoa hukumu kwa wengine
Mshenzi sana huyo LIKUD, hakuna NATURE inayoruhusu mtu kuua mwenzake kwa msingi wowote ule.Na nimeshangaa kwann hajaleta JF hilo bandiko huyo LIKUD anajua atapopolewaa, akaona aandike huko insta.
Yaan watu wako bias kiasi kwamba hawaoni hata nm wanapigania. Unafiki umewajaa wabongo khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo lishangazi lipuuze lina makasiriko sana, halijawahi kuolewa wala kuzaa kila siku linacheza amapiano kwenye harusi za wenzie,
Mashavu yamechuma kunde basi akikasirika mikunyanzi ya uso inatokeza linatia huruma, lipuuze tu
Unaongea kwa uchungu sana mpita njia anaweza kudhani ulikuwa mmoja wa madem zake ambaye sahivi ni mjane. Siungi mkono kudhulimiwa kwa maisha ya Milembe.Itakuwa ila nimeumia jamani wamemuua kikatili sana no matter what ....hakustaili hayo mi nahisi ni mambo ya kudhulumiana madili labda si unajua watu wa procument kwa madili nae alikuwa na kaubabe flani huenda walipiga dili ila wakazinguana yani roho imeniuma sana
Mbna ni kasheshee hii sasa. LolHawajakosa dawa ila wanaona ugonjwa wenyewe sio hatarishi!
Kuna kesi moja hapa jirani bwana ana basha wake anamzibua mtaro!; mkewe anamsaga mwanamke mwenzie hadi mtaani imekuwa [emoji56][emoji56][emoji15]
Kaniacha hoi huyo member kwa kweli, yaan anashangaza mnooo.Anashabikia mauaji huyo, halafu huwa anajifanya yuko SPIRITUAL sana.
Mtu gani spiritual anashangilia mauaji?? unajua tunadanganywa sana na hawa wahuni wa mitandaoni!
Usikute kuna majini humu yanalaghai watu kwa kujifanya yanamjua mungu kumbe hewala.
Nimemuona na yule ASKOFU WA UFUFUO NA UZIMA yupo humu anashangilia mauaji.
Mungu ibariki Tanzania.
Khaaaah sasa km anahusika na mambo ya Freemasons huo utakatifu wake uko wapiii??Mshenzi sana huyo LIKUD, hakuna NATURE inayoruhusu mtu kuua mwenzake kwa msingi wowote ule.
Jambo la uhakika ni kuwa, UKIUA mtu unatengeneza KARMIC CYCLE ambayo itakurudia kwa kasi sana. Hiyo ndiyo TRUE NATURE, na sio huu ulaghai wa LIKUD wa kuchochea mauaji ya watu wasio na hatia.
LIKUD ni tapeli mjanja mjanja, anawadanganya watu eti atawaunganisha kwenye Freemasonry wakati yeye mwenyewe ni choka mbaya anaishi BUGURUNI MALAPA, hana cha ufreemason wala nini!
LIKUD ni TAPELI.
Shoga katika ubora wakoKupitia hivyo vitabu vya dini je wewe huna laana?
Hujawahi kuzini?
Hujawahi kusengenya?
Hujawahi kutamani mwanamke sio wako?
Huendi kwa waganga wewe?
Hebu tutolee chogo lako hapa
Ibilisi yule, anawalaghai watu kwa FAKE SPIRITUALITY.Khaaaah sasa km anahusika na mambo ya Freemasons huo utakatifu wake uko wapiii??
Kuna hela za siri siri ku promote haya mambo. GGM wamefocus kwenye mining, sio mambo kama hayo. Ingawa wafanyakazi, inawezekana wana jihusisha kama huyu dada.Hao wazungu wa GGM nao ni mapromoter wa ushoga na usagaji , mtu alishakamatwa na kuepelekwa mahakamani kwa skendo za vurugu na huo usagaji halafu bado anaendelea kuwa muajiriwa ,
Stupid
Hii ya watu wenye vipara kuuwawa mwakani ni kweli au?Kwa mauaji?
Hakuna baraka ya kufanya mauaji. Mnatengenza KARMIC CYCLES, ndio maana mnabeba malaana ya umasikini na wengine mnakufa vifo vya ajabu kwa sababu ya laana ya kutafuna nyama za maalbino, vikongwe, na sasa mmehamia kwa wasagaji.
Who knows, mwakani watu wenye vipara wataanza kukatwa viungo na watu wasiojulikana huku serikali ikichochea moto na kuchekelea ili kukwepesha mijadala ya msingi.
Huwezi kubarikiwa kwa kuua watu, utaharibikiwa tu in the due course.
Furahi babe wangu japo tupo msibani[emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oya kuwa makini na huyo mtu maana tunakoendea sasa unaweza na wewe ukaokotwaIbilisi yule, anawalaghai watu kwa FAKE SPIRITUALITY.
Ana mambo fulani fulani ya kiganga, na si ajabu pia ni mshiriki wa kula nyama za albino.
LIKUD anaweza akatuambia kwamba ALBINOS ni VIRUS, hivyo lazima waondolewe na NATURE kupitia kuuwawa! [emoji50][emoji50][emoji50]
Hawa waganga wa kienyeji tuwe nao makini sana, wana manadharia ya ajabu sana, anaweza hata akakutafuna nyama in the name of NATURE.
Kama una kipara jiandae kuuwawa na watu wasiojulikana.Hii ya watu wenye vipara kuuwawa mwakani ni kweli au?
Hilo bazazi LIKUD limepigwa ban kaja na ID nyingine kwa aibu kajifanya upuuzi wake ameutoa Insta, walai vichaa wamejaa mitaani wazima ndio wapo hospital,Ibilisi yule, anawalaghai watu kwa FAKE SPIRITUALITY.
Ana mambo fulani fulani ya kiganga, na si ajabu pia ni mshiriki wa kula nyama za albino.
LIKUD anaweza akatuambia kwamba ALBINOS ni VIRUS, hivyo lazima waondolewe na NATURE kupitia kuuwawa! [emoji50][emoji50][emoji50]
Hawa waganga wa kienyeji tuwe nao makini sana, wana manadharia ya ajabu sana, anaweza hata akakutafuna nyama in the name of NATURE.
Kwa kweli dear, [emoji24][emoji24][emoji24]Furahi babe wangu japo tupo msibani[emoji8]
Lol [emoji23] anasepa na nyayo za kiparaKama una kipara jiandae kuuwawa na watu wasiojulikana.
Kwa akili za hawa watanganyika, watakwambia KIPARA KINALETA UTAJIRI.
Unakamatwa unachunwa ngozi na kutafunwa na mganga wa kienyeji.
Mganga mwenyewe unakuta ni huyu TAPELI LIKUD , Utatafunwa mpaka visigino.
Mimi ni CHUMA CHA PUA, atafariki kabla jogoo hajawiki alfajiri.Oya kuwa makini na huyo mtu maana tunakoendea sasa unaweza na wewe ukaokotwa
🤣🤣🤣Kama una kipara jiandae kuuwawa na watu wasiojulikana.
Kwa akili za hawa watanganyika, watakwambia KIPARA KINALETA UTAJIRI.
Unakamatwa unachunwa ngozi na kutafunwa na mganga wa kienyeji.
Mganga mwenyewe unakuta ni huyu TAPELI LIKUD , Utatafunwa mpaka visigino.