TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Inacyoonekana kama alitekwa usiku kucha Huyu si unaona kavilia damu Halaf hayo maeneo hakuna majiran walosikia?mi nahisi itakuwa madili yao ya kazini kwao huko itajulikana tu wameshakamatwa wanne
Huyu kauawaa kupitia mambo ya kazi, ila waliotenda tukio walishajua huyu itatamba zaidi homophobia hivyo watu hawatadadisi sana, sitaki kuamini eti kisa hili la Homo hapana nakataa
 
Nimeupenda uandishi huu.
 
Wewe inabid pia umfate huyu mwenzako
 
Mkuu Demu msagaji alikuzidi kupiga mashine kipochi manyoya haya akakuibia demu wako,bora usingesema umetuangusha sana
 
Duuh mwamba ni yeye....hatari tupu kweli malipo ni duniani
 
Afu mbona alikua mrembo tu
Hata mzigo anao.
Hotel ya mtoto Ipo
Midomo mitamu
Mamamamae
Rest Easy Milembe
 
Tangu wezi walivyoanza kuchomwa Moto kwa matairi na petrol imepunguza wizi?

Wewe ukishaua Shoga au msagaji ndio Mungu wako anakupeleka peponi?
Na hadi muda huu polisi inawashikiria watu 4!!ni ujinga tuu!!kupoteza maisha ya mtu kwasababu ya tabia hiyo!!na wala haiwezi kuondoa tatizo hilo,haya wamemuua na wao ikibainika wamehusika wanafia jela!!
 
Kuua si support kabisa Kila mtu anayo haki ya kuishi as long as havunji Sheria, Sasa Hawa sijui LGBT wanajiletea matatizo wenyewe si wafanye kimya kimya tu, wabongo wengi wenyewe vichaa na stress
Hawataki kufanya kimya kimya hii ndio shida yao.
Sisi tulio oa wake hakuna hata siku moja tunasimama hadharani na kubusiana na wake zetu.

Tatizo la Mashoga ni kutaka kuonesha vitendo vyao hadharani kama huyo mdada.
Wabusiane hadharani sisi tuwashangilie na kuwapigia makofi na kuwasifia, na wanataka waozeshwe kwa lazima na vyombo vya umma.

Mbivu na mbichi zitaeleweka tu.
 
Kuua ni hatari sana shida nao nikama wanafanya promo huyo dada kanisikitisha sana kuondoka kinyama
Baadhi ya waswahili hasa kutoka familia masikini wakipata vihela kichele vya mshahala wanaanza kujitutumua na kuonesha umwamba hadharani.
Vitendo vya huyo mdada lazima mwisho wake uwe kama ulivyokuwa au vinginevyo.

Msishindane na hiari ya jamii, mwisho wake ndio mnakuja kulialia humu. Hoo tunapimwa na vidole tunafungwa miaka 30. Si mnajifanya viziwi makusudi. Nyie ndio wa kuumia.

Alikuwa anashindana na watu, sio kila unachotaka lazima ukipate, kuna vitu ni vya watu lazima uviheshimu hata uwe na pesa kiasi gani.
Ujanja mwingi mbele Giza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…