Afisa Ustawi wa Jamii Ubungo: Watu kutoka kanda ya ziwa wanaongoza kutelekezwa na ndugu zao Stendi ya Magufuli

Hahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mjomba ndo unikimbiea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 


Hiyo nauli toka huko kanda za ziwa si angeongeza kuku akafuga akauza mayai?
 
Nakumbuka Kuna jamaa alijipatia mke pale mbez stend last year kutokana na hyohyo hali ya kutelekezwa na rafik yke waliopangana nae aje kutoka kijijini.,

Yule jamaa alienda mbezi kupokea mzgo wke akakutana na huyo Binti katika kuulizia ulizia ya yule Binti ikabidi jamaa ampe msaada wa kwenda nae ghetto coz ana dai hakuwa na ndugu zaid ya huyo rafik yke aliyemzimia simu hapa dar,, end the day jamaa mpka Leo yupo nae yule Binti kashakuwa mke.
 
Tatizo na nyie watu wa dar acheni kutupigia simu na kutuambia tuangalia facebook maisha mmeshatoboa kumbe unakaa stooo huna mbela wala nyuma.
Unapiga picha unagari sijui uko nje ya nyumba kali unaweka na ki caption Asante Mungu kumbe uko nje ya nyumba ya mwanaume mwenzako[emoji1787][emoji1787]
 
Naona wengi wanalalamika kuhusu kupewa taarifa kabla ya mtu kusafiri.Lakini ukweli ni kwamba mnaogopa ndugu zenu kwa sababu chakula cha watu 5 waishio mjini anakula mmoja aliyetoka kijijini.
Suluhisho waambieni waje na viroba vya mahindi na dagaa.
 
Naomba kujua mabasi ya mikoa hiyo yanafika sangapi?Ili nikimaliza kvant yangu hapa argentina manzense nikawinde mana naskia wanawake wa kanda ya ziwa wana matako laini kama supu ya mapupu.
 
Mimi sijaelewa, hivi hawa wanaotafuta ndugu zao ni watoto au ni watu wazima? kama ni watu wazima kwa nini wasiende moja kwa moja kwa ndugu zao ?
Ni watu wazima lakini washamba na wengi wao wanakuwa hawana nauli za kuwafikisha kwa ndugu zao. Pia, mjini ni vigumu kumtafuta ndugu yako kwa kumuelekeza kuwa unakaa mtaa fulani, akakupata (hata kwa kuuliza). Haiwezekani. Kumbuka watu wa mjini hatujuani kwa majina halisi.
 
Hili jambo lipo hata Dodoma na Morogoro, kuna binti aliishia mikononi mwa bodaboda na kupigwa mimba baada ya ndugu yake kupotea hewani pale Msamvu
Inaumiza sana
 
Pole sana, wanapaswa wajifunze
 
Shida ndugu zetu wasukuma kupenda sifa . Yaani mtu akiwa na mjomba dar Kijiji kizima kinapata taabu mwishowe anaamua ajitose hukohuko Dar es salaam kwa Anko wake hata bila kuweka mambo sawa. Mwisho wa picha wanatelekezwa
 
Kwani mikoa ya Kanda ya ziwa ni wasukuma Tu ? Unaambiwa Kuna Kagera na Mara pia. Punguza chuki dhidi ya kabila kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…