Afisa Utawala anahitajika Waja Hospital Geita

Afisa Utawala anahitajika Waja Hospital Geita

Wewe utakuwa haujaishi DAR au kufika kabisa ..kule kuna mzunguko mkubwa sana wa pesa ..yaan hata ukisema uuze nyanya Tu...unatoboa kule..mm natamani Sana nikaishi DAR...sema basi Tu sina connection...unaambiwa 3billion zipo mitaani kwa siku

• Nimesomea kule primary hadi secondary,

• 🤔🤔, Kwa hiyo mliopo Dar mmetoboa maisha??, thread kibao humu zimeandikwa kwa kuisimanga Dar, alafu unasema Dar ukiuza nyanya unatoboa 🤒,

• Huna connection,? tafuta hela za kiazio, nenda kafungue genge la nyanya, Kisha ludi hapa uje utoe ushuhuda kuwa umetoboa maisha.

• Billion za mdomon, zinaweza fika hata billion 9 kwa siku, kwa sababu maneno kama haya huzungumza sana maskini wakiwa kwenye vijiwe wanapiga kahawa..
 
Nimezaliwa Dar..
Nimesoma la kwanza mpaka form four dar..
Wazazi wapo dar inshort ni nyumbani lakini katika swala la kujitafuta kama kijana dar ni sehemu ngumu sana kila kitu utakachotaka kufanya dar kinahitaji pesa nina wanangu kibao tu ambao ni graduates wenzangu wao waliniona mimi mjinga nilipokataa kurudi dar leo hii wananiambia heri wasingeenda wengi wao wanapiga vibarua viwandani wengine wamejishkiza kwa ndugu zao ambao wanasoma vyuo huko wakiamini kesho yao itakuwa nzuri...
Mkoani nilipo nafanya shughuli ambazo hazifiki gharqma ya milioni moja...
1. Nna mradi wa kuku ambao huwa nawachukua vijijin ndani ndani nakuja kuwasukuma kwa jamaa wa semi kwenda dar..
2.Napiga udalali wa simu kwenye maduka ya vijana wenzangu waliofanikiwa kidogo kiuchumi..
Nna plan mpaka mwakani mwezi kama huu kama nikiwa sijapata sehemu ya kujishkiza niwe nimeanza kuagiza simu zangu binafsi toka dar...
 
Nimezaliwa Dar..
Nimesoma la kwanza mpaka form four dar..
Wazazi wapo dar inshort ni nyumbani lakini katika swala la kujitafuta kama kijana dar ni sehemu ngumu sana kila kitu utakachotaka kufanya dar kinahitaji pesa nina wanangu kibao tu ambao ni graduates wenzangu wao waliniona mimi mjinga nilipokataa kurudi dar leo hii wananiambia heri wasingeenda wengi wao wanapiga vibarua viwandani wengine wamejishkiza kwa ndugu zao ambao wanasoma vyuo huko wakiamini kesho yao itakuwa nzuri...
Mkoani nilipo nafanya shughuli ambazo hazifiki gharqma ya milioni moja...
1. Nna mradi wa kuku ambao huwa nawachukua vijijin ndani ndani nakuja kuwasukuma kwa jamaa wa semi kwenda dar..
2.Napiga udalali wa simu kwenye maduka ya vijana wenzangu waliofanikiwa kidogo kiuchumi..
Nna plan mpaka mwakani mwezi kama huu kama nikiwa sijapata sehemu ya kujishkiza niwe nimeanza kuagiza simu zangu binafsi toka dar...
Well said but tuma maombi hapo
 
Jamaa yangu katuma maombi tayari nilimtumia Tangazo,ana Elimu na Uzoefu mnaoutaka,tatizo amezidi ninyi mnataka Bachelor yeye ana Masters kabisa na uzoefu wa zaidi ya miaka 15!!sijui sasa kama mtam-consider
Haina shida
 
Kijijini ni pagumu sana, maana hela hakuna alafu kufatiliana ni kwingi sana
Sasa kama mimi nimeshazoea hapa mjini kupita siku bila kuingiza japo 10k kichwa changu hakitulii kabisa

Afu uniambie niende kijijini unadhano ntakuelewa
 
• Yani nitoke Mbeya, njombe, kahama, alafu niende kutafuta maisha Dar? 🤔🤔..

• Au unaangalia population ya watu?, population ya watu haiwezi kukufanya mtu kuwa Tajiri au kuwa na maisha maisha, maisha maziri mpaka uwe na secret weapon. Tofauti na hapo utabaki kuwa msindikizaji tu milele na milele....


• Kuhusu ushirikina kila sehemu upo, huwezi kuona ushirikina kama unatafuta hela ya kula tu( change). Ndo maana tunasema mtu anaye tafuta pesa kwa nguvu zake bila kutegemea system ya serikali uchawi ni lazima kwenye utafutaji wake.


• Dar ni kazi ipi ya maana ambayo naweza kuifanya mimi mtafutaji?
. Kubeba mzigo ?
. Kuuza maji stendi ?
. Uchuuzi feri?
. Machinga?
. Baba/mama ntilie?
. Kuuza duka la mtu?
. Kusukuma tolori?
. Baharini kuvua samaki?
. Udalali stendi?
. Kupaka kucha rangi?

Kwa sababu najua kabisa mtu unayetoka mkoani huwezi kukwepa hizo kazi hapo! Labda uwe na mnyororo wa ukwasi hapo DSM..
Mbeya ni Jiji au Kijiji?
Kahama ni mjini au Kijijini?
Njombe ni mjini au kijijini?

Tuanzie hapo kwanza kisha tuendelee

Binafsi nikipita eneo lolote lililochangamka kitu cha kwanza kuwaza ni kujiuliza hapa niweke biashara gani ili nitoboe

Kama jana tulienda mkoani huko kucheki mradi fulani hivi

Nikapita eneo nikaona kabisa lina fursa ya biashara ila miundombinu ndo changamoto(Bara bara ni mbovu mno)
 
Back
Top Bottom