sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Mhusika naye anahusika mkopo ulikuwa umembana.Sijaelewa bado,kwamba nastaafu tarehe 01/04/2024,wao wananistafisha mapema kivipi? NIDA inasemaje? Cheti ya kuzaliwa? Barua ya kuanza kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhusika naye anahusika mkopo ulikuwa umembana.Sijaelewa bado,kwamba nastaafu tarehe 01/04/2024,wao wananistafisha mapema kivipi? NIDA inasemaje? Cheti ya kuzaliwa? Barua ya kuanza kazi?
Unaweza kukuta walisha kamatwaEti atafutwe. Mtumishi wa umma anatafutwa iwapo ameacha kazi. Huyo RC alitakiwa kutoa hiyo taarifa wakati hao watu wawili (mtumishi wa huo mfuko wa mafao na Afisa utumishi wa Halmashauri ya Bariadi) tayari wapo lupango ya polis hapo Bariadi.
Wabongo uwizi na kukata mauno ndicho tunachojuwaCEO wa pssf bado hajajiuzulu??
Wazawa wameiba hapo miaka nenda rudiafu bado mnasema bandari wapewa wazawa. hahaaa nyie hamjui watanzania waliopo maofisi ya selikali. mda wote wanaza wizi tuu na kulogana wapate madili
Alikuwa anadaiwa na hiyo na pension ilijia kwenye akaunti yake iliyopo kwenye hiyo hiyo bank, kwa hiyo pension ikiingia inakatwa automaticMilioni 70 inatokaje bank kwa mara moja?
Alikatwa na bank inayomdai akabaki na milioni 2 soma ueleweMilioni 70 inatokaje bank kwa mara moja?
Pia kuna salary slip inaonyesha kila kitu asee, sema HRs ni watu wapumbavu sn wakiamua hawashindwiSijaelewa bado,kwamba nastaafu tarehe 01/04/2024,wao wananistafisha mapema kivipi? NIDA inasemaje? Cheti ya kuzaliwa? Barua ya kuanza kazi?