Afisa Utumishi Wilaya Songwe ni jipu

Afisa Utumishi Wilaya Songwe ni jipu

Teleza1

Senior Member
Joined
May 16, 2020
Posts
190
Reaction score
198
Afisa utumishi ana nyodo vibaya na kujiona vibaya hivi serikali inawatoaga wapi hawa?

1. Kazi ya kufanya siku 2 au tatu yeye anafanya mwezi mzima.

2. Kuna wafanyakazi hawakuandishwa madaraja kwa sababu ya uzembe wake.

3. Ni mtu ambaye hajali watumishi ana wahudumi anao wajua tu.

4. Kuna jamaaa yangu mmoja anasumbuka takribani miezi 4sasa. Yeye kila siku danadana.

5. Hatulii ofisini kila ukifika hayupo yupo kaenda kupata chakula.

Hivi Serikali inatumia vigezo kuwaaajiri watu wa namna hiii,
 
Nazani maafisa utumishi wako hivyo hivyo tu et
 
Wengi tu wako hivyo.....kuna mwingine huku kusini ukiingia ofisini kwake ameweka miguu juu ya meza
 
Hao ndio wacheleweshaji wa haki za watumishi serikali imeingia kwenye madeni makubwa kisa tu urasimu waliokuwa nao miaka na miaka ku approove mishahara ya watu baada ya kupanda madaraja .

Wizara ya utumishi ilivyokuja na ubunifu wa kuaproove mishahara juu kwa juu ni wa kupongezwa sana
 
Kuna kamoja kapo Brela kachawi kupita kiasi. Kenyewe ndio kanaongoza taasisi mkuu wa hapo ni bogus mmoja hivi sijui serikali inawatoaga wapi
 
Mtaje jina mkuu....
Hawa huwa ni kama miungu watu kwenye Halmashauri....anakwambia kusoma huendi hata kama unaenda kujisomesha mwenyewe....
RIP Hamza!
 
Afisa utumishi ana nyodo vibaya na kujiona vibaya hivi serikali inawatoaga wapi hawa?

1.Kazi ya kufanya siku 2 au tatu yeye anafanya mwezi mzima.

2.vKuna wafanyakazi hawakuandishwa madaraja kwa sababu ya uzembe wake.

3. Ni mtu ambaye hajali watumishi ana wahudumi anao wajua tu.

4. kuna jamaaa yangu mmoja anasumbuka takribani miezi 4sasa. Yeye kila siku danadana.

5. Hatulii ofisini kila ukifika hayupo yupo kaenda kupata chakula.

Hivi serikali inatumia vigezo kuwaaajiri watu wa namna hiii,
Kwani huko hakuna mkuu wa wilaya mpaka uje huku! Au majungu yamekufanya ukimbilie huku.
 
Mtaje jina mkuu....
Hawa huwa ni kama miungu watu kwenye Halmashauri....anakwambia kusoma huendi hata kama unaenda kujisomesha mwenyewe....
RIP Hamza!
Wanazingua sana wanajifanya Miungu watu.
 
Afisa utumishi ana nyodo vibaya na kujiona vibaya hivi serikali inawatoaga wapi hawa?

1.Kazi ya kufanya siku 2 au tatu yeye anafanya mwezi mzima.

2.vKuna wafanyakazi hawakuandishwa madaraja kwa sababu ya uzembe wake.

3. Ni mtu ambaye hajali watumishi ana wahudumi anao wajua tu.

4. kuna jamaaa yangu mmoja anasumbuka takribani miezi 4sasa. Yeye kila siku danadana.

5. Hatulii ofisini kila ukifika hayupo yupo kaenda kupata chakula.

Hivi serikali inatumia vigezo kuwaaajiri watu wa namna hiii,

Mbona wana aminiwa na boss
 
Sielewi nchi yetu huwa Ina Maafisa utumishi wangapi katika halmshauri moja maana Kuna uwezekano tunawalaumu kumbe sio maana Kuna halmshauri una Kuta wapo zaidi ya watatu
 
Back
Top Bottom