Tetesi: Afisa wa CHADEMA Makao Makuu asema vijana wa Mbowe wanagawana mamilioni ya ruzuku kila mwezi kwa ruhusa ya Mbowe wakati majimbo yako hoi taabani

Tetesi: Afisa wa CHADEMA Makao Makuu asema vijana wa Mbowe wanagawana mamilioni ya ruzuku kila mwezi kwa ruhusa ya Mbowe wakati majimbo yako hoi taabani

Kwa nini hukusema hayo kabla?
Cheap propaganda za kumchafua tu Mbowe

Kama kuna wizi kwa nini hukuripoti polisi au takukuru unaibuka leo ? Mpuuzi wewe
Mbona inafahamika hivyo,Mbowe alishangilia sana kifo cha Magufuli na upotoshaji dhidi ya uraia wa Hayati soon Mungu anaenda kulipa ubaya ubwela waliotenda Kidumu chama Tawala CCM
 
SiHASA.
Screenshot_20240612-103559_1.jpg
 
sisi bwaacha tunasema ni njaa tu. ila chama ni cha mapinduz tu. ndio taasisi inayojielewa
 
WAKATI MAJIMBO NA MIKOA HAMPATI HATA LAKI MOJA YA KUWASAIDIA KWENYE KAMPEINI KUJENGA CHAMA, MAKAO MAKUU TUMEGAWANA ZAIDI YA MILIONI MIA NNE KUTOKA KWENYE RUZUKU

Nawasalimu wakubwa Viongozi na wanachama, Leo nataka niwafumbue macho kidogo juu ya Ruzuku Yenu ambayo inatokana na mchango wa kila mwanachama anayeshiriki kutafuta kura za ubunge na urais

Iko hivi;
Baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 na Uamuzi wa Kamati Kuu kutokuutambua uchaguzi ule na vyote vilivyotokana na uchaguzi ule, tuliamua kususia Ruzuku. Kwa vile watumishi wa Chama na Kanda wanalipwa hivyo kukosa Ruzuku Chama kiliamua kufunga makao makuu pamoja na kanda.

Tulifanya Kikao Ofisini Makao Makuu, na kupewa taarifa ya kuwa kuanzia sasa Chama hakitakuwa na mfanyakazi hata mmoja, hivyo yeyote atakayejisikia kuendelea kujitolea aendelee na yule ambaye hawezi kujitolea akae Nyumbani, Sababu iliyopelekea uamzi huo ni ukosefu wa Ruzuku.

Mimi niliamua kufanya mambo mawili;

1. Nilikubali kuendelea kujitolea bila malipo yoyote yale kwani mimi niliunga mkono hatua za kutokuchukua ruzuku

2. Niandika mpango kazi ambao nilielezea namna Chama kinaweza kupata fedha ya kujiendesha. Mpango huo ulilenga kuingiza milioni mia mbili na arobaini kila mwezi. ( Kwa bahati mbaya haukufanyiwa kazi wala kupewa kipaumbele)

Baada ya kikao hicho, Watumishi waliacha kwenda ofisini, tulibaki wachache sana ambao tuliendelea kujitolea naweza kuwataja kwa majina ila naomba kuyaifadhi.

Kwa kibindi hicho kuanzia November 2020 hadi May 2021, kwa upande wa Viongozi wa wakuu (Secretariat) aliyekuwa anaonekana ofisini mara kwa mara ni mmoja tu Wengine wote walichimba.

Ilipofika May 25, 2021 wote wakarudi kwa sababu ya uzinduzi wa Chadema Digital na Operation Haki ambayo ingeambatana na posho za Operation. Tulizunguka nchi nzima , Mimi binafsi nilizunguka kila sehemu tulikuwa tunalipwa pesa nzuri tu. ( Operation Haki ni Pigo ltakuja)

Digital watu wakaipokea pesa ikaaza kuingia, kwa usiri mkubwa watu kadhaa wakajitenga na kuanza kulipwa upya posho ya kila mwezi. Mimi nikatengwa na hili nisijue nikaambiwe nikiwa nafika ofisini kufanya kazi nisisaini kwenye kitabu cha watendaji badala yake nisaini kitabu cha wageni. Nikajua tayari, hela imeingia. Nikakubali kutokusaini kitabu chochote ila ofisini nitakuwepo na kazi za Chama nitafanya.

Kipindi hicho nikaamua kwenda majimboni kufanya kazi zaidi, nikatembelea majimbo kwa gharama za viongozi wa majimbo . Kwa haraka nilitembelea Singida, Rombo, Mlimba, Morogoro Mjini, Songea Mjini, Tanga mjini, Muheza, Dar es Salaam N.k kote nikaenda kuwajengea watu uwezo, kutengeneza watalaamu wa usajili kupitia mifumo, kuwapa printer na kuwafundisha namna ya kutumia mifumo kuzalisha kadi, na kuelekeza namna ya kutumia mifumo ya Chama. Hapo Ruzuku Bado haijachuliwa ila wanajilipa pesa ambayo mimi na wengine wachache (HQ) tunaizalisha kwa kufanya kazi, wanaozalisha fedha ya Digital husasani mimi Sipo kwenye Hiyo Posho yao, ambao hawaingizi chochote wanajilipa. Wakasahau hata majimbo wanazalisha lakini hawalipwi (Ili la Chadema Digital kuna Pigo litakuja)

Baadhi ya watendaji wakawa wananiuliza mbona haulipwi si umbane Katibu Mkuu akulipe? Mbona wewe ndo unazalisha fedha? Nikawaambia viongozi wa majimbo wilaya nao si wanazalisha kwani wanalipwa? Nami nifanya kazi HQ naishi kama wengine kwenye majimbo, Ninauwezo wa kupata hicho wanachojilipa wakitaka watatoa wasipotaka tutajenga Chama. Naibu Bara alimbana sana Katibu Mkuu ila alizidiwa.


Kibembe kikaanza baada ya Ruzuku Kuchukuliwa!

Naomba tega sikio, utulie usome na uelewe. Secretariat ilipoona Ruzuku imeingia hatua ya kwanza waliwaza kujilipa wao then hatua ya pili iwe ni kwenda Field kujenga Chama. Wakajaribu kujigawia vipande vya fedha wakakwama kwenye vikao vya Kamati Kuu. Kwasababu wajumbe wachache wa Kamati Kuu walikaza sana. Wakarudi tena mara ya pili bado wajumbe wakagoma kuwaruhusu, wakaamua kufanya Robbing (Hapa kuna mchezo mchafu ulifanyika) kwa Mwenyekiti wa Taifa wakakubaliana na wakarudi mara ya tatu Kamati Kuu na wakakubaliwa wajilipe. Wajumbe waliokuwa wanakataa mambo ya kujilipa Ruzuku ni hawa hapa waulize John Heche, Peter Msigwa, Gaston Garubindi, Ezekia Wenje, Godbless Lema ndo walikuwa wanapinga kwa nguvu zote, Wajumbe hawa walijitengenezea ugomvi mkubwa na Secretariat na mkakati wa kuhakikisha hawarudi kwenye CC ulianza kusukwa. ( Hii ya Wajumbe wa CC nitaileta kama Pigo linalojitegemea )

Kiasi gani walijilipa

Ili ujue kiwango gani walijilipa, inabidi ujue hawa watumishi wenu mishahara yao kwa mwezi ni Sh. Ngapi.


1. Manaibu 3.5 M kwa Mwezi
2. Wakurugenzi 2.5M kwa mwezi
3. Watendaji wengine wako kati ya 600,000 hadi 1.5M

Sasa, ili wajilipe Ruzuku ilitengenezwa Fomula yankula hizo hela,

Moja, lilibuniwa jina la mgao wakaliita " Hardship Allowance" yaani malipo ya mazingira magumu waliopitia

Mbili, kila mmoja alitakiwa kujilipa mshahara wake kwa miezi 12. Yaani kama Mshahara ni milioni moja maana yake alilipwa milioni moja mara 12. Nadhani unaninelewa na unaweza kufanya hesabu ukajua kila mmoja alilipwa sh ngapi na ukapata hesabu ni milioni Ngapi zilitumika kujilipa mara tu baada ya Ruzuku kutoka.

Waliojilipa ni Secretariat, Makatibu wa Kanda ( Japo walipigwa pia) na watumishi wachache ambao waliona wanawafaa majina ninayo. Wakati haya yanafanyika, wafanyakazi wa chini waliowengi waliondolewa hawakupewa ( Hili nalo ni pigo Lingine)

Sasa, Mimi waga ni mtata na wanajua utata wangu sikupewa mgao, nikawafuata nakasema tulikubaliana Ruzuku hatuchukui, mmechukua, tulikubaliana watumishi wote wameondolewa kwa sababu hakuna ruzuku sasa mbona ruzuku mmechukua na hamjawaita? Nikasema hata mimi ambaye ndo nipo ofisini siku zote, nafanya kazi, silipwi wanalipwa wengine ambao hata ofisini hawaji na hii Ya Ruzuku mnaniweka pembeni? Nikawaambia Hii Ruzuku mtanilipa kama mlivyojilipa ama mnataka au hamtaki mtalipa. Nipo hapa hapa naona mchezo alafu niwaache! Nikamuandia Waraka Katibu Mkuu nikimtaka anilipe sawa sawa na alivyowalipa wengine. Katibu Mkuu akanilipa. Mimi nikapewa Milioni Tatu kwa kuandikiwa Cheque. Baada ya kuichukua, nikamwambia hii haifiki hata robo ya kile unatakiwa ulipe yote haya walikuwa wanagoma wakijua nitapata ushahidi.

Ndugu yangu mpiga kura naomba Jipe muda utafakali na ufanye jambo sahihi tunakoelekea kutafuta Mwenyekiti wa Chama Taifa, ambaye ataunda Secretariat yake mpya;

1. Fikilia Mtu anayewaza kujilipa milioni 12, 25, 30, 50 n.k na mwisho wa mwezi analipwa vile vile alafu Kamati Tendaji ya Kanda hamna hiyo Taarifa, Mkoa, wilaya, Jimbo n.k hata 500,000 hujawai kuipata. Fikilia alafu fanya maamuzi.

2. Fikilia Kwa nini Enzi za Dr. SLAA pamoja na Ruzuku kuwa ndogo baadhi ya majimbo kama sio yote mlikuwa mnapata Ruzuku. Kwanini sasa hivi hampati?

3. Fikilia Chama ambacho kinataka kuchukua dola, tunaambiana Komaa Kamanda na kweli tunakomaa alafu nyuma ya pazia watu wanachukua fedha nyingi kiasi hizo, Mishahara mikubwa kama hiyo. Je? Hawa wanapambania Chama? Hawa nadhani ndo wale walimuambia Mwl. Nyerere usiondoke hii nchi bado changa.

4. Fikilia watu ambao wanaweza kubuni jina zuri la mgao wa Ruzuku na kuliita "HARDSHIP ALLOWANCE". Hivi mazingira magumu yalikuwa HQ peke yake?

5. Waulizeni Hao wanaosema walienda kimshawishi Mwamba, je? Kwenye Mkoa walipewa Hardship Allowance? Kama walipewa nyie viongozi wa majimbo wilaya mlipata? Wanachama je wanajua haya?

5. Waulizeni wajumbe wa Kamati Kuu, kama ninadanganya. Mimi ni Shahidi nipewa.

6. Muombeni Katibu Mkuu atoke awape majibu. Muulize kama nasema uongo, muulize kama sikusema ndani wakanipuuza nikawaambia nitasema kwa wenye Chama.

Sasa ni Muda wa kuwaambia hiyo Hardship Allowance itafika lini jimboni kwako? Kama hawana majibu, Tuletee Mtu Sahihi wa Kutubadilishia Secretariat naye Sio Mwingine Ni Tundu Lissu. Mwenyekiti Mbowe mimi nampenda lakini hawezi kuwafanya kitu chochote, wajumbe wa CC baadhi walijaribu kufanya mabadiliko hawakuweza Chairman aliwalinda.


Chukua hatua, Nusuru Chama

Remigius Constantine HQ

Haya yalitokwa 2021, unasema leo Sababu una maslahi na Lisu kushindwa, huu huwa unaitwa unafiki, na sio lengo zuri kuhusu Chama!
 
WAKATI MAJIMBO NA MIKOA HAMPATI HATA LAKI MOJA YA KUWASAIDIA KWENYE KAMPEINI KUJENGA CHAMA, MAKAO MAKUU TUMEGAWANA ZAIDI YA MILIONI MIA NNE KUTOKA KWENYE RUZUKU

Nawasalimu wakubwa Viongozi na wanachama, Leo nataka niwafumbue macho kidogo juu ya Ruzuku Yenu ambayo inatokana na mchango wa kila mwanachama anayeshiriki kutafuta kura za ubunge na urais

Iko hivi;
Baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 na Uamuzi wa Kamati Kuu kutokuutambua uchaguzi ule na vyote vilivyotokana na uchaguzi ule, tuliamua kususia Ruzuku. Kwa vile watumishi wa Chama na Kanda wanalipwa hivyo kukosa Ruzuku Chama kiliamua kufunga makao makuu pamoja na kanda.

Tulifanya Kikao Ofisini Makao Makuu, na kupewa taarifa ya kuwa kuanzia sasa Chama hakitakuwa na mfanyakazi hata mmoja, hivyo yeyote atakayejisikia kuendelea kujitolea aendelee na yule ambaye hawezi kujitolea akae Nyumbani, Sababu iliyopelekea uamzi huo ni ukosefu wa Ruzuku.

Mimi niliamua kufanya mambo mawili;

1. Nilikubali kuendelea kujitolea bila malipo yoyote yale kwani mimi niliunga mkono hatua za kutokuchukua ruzuku

2. Niandika mpango kazi ambao nilielezea namna Chama kinaweza kupata fedha ya kujiendesha. Mpango huo ulilenga kuingiza milioni mia mbili na arobaini kila mwezi. ( Kwa bahati mbaya haukufanyiwa kazi wala kupewa kipaumbele)

Baada ya kikao hicho, Watumishi waliacha kwenda ofisini, tulibaki wachache sana ambao tuliendelea kujitolea naweza kuwataja kwa majina ila naomba kuyaifadhi.

Kwa kibindi hicho kuanzia November 2020 hadi May 2021, kwa upande wa Viongozi wa wakuu (Secretariat) aliyekuwa anaonekana ofisini mara kwa mara ni mmoja tu Wengine wote walichimba.

Ilipofika May 25, 2021 wote wakarudi kwa sababu ya uzinduzi wa Chadema Digital na Operation Haki ambayo ingeambatana na posho za Operation. Tulizunguka nchi nzima , Mimi binafsi nilizunguka kila sehemu tulikuwa tunalipwa pesa nzuri tu. ( Operation Haki ni Pigo ltakuja)

Digital watu wakaipokea pesa ikaaza kuingia, kwa usiri mkubwa watu kadhaa wakajitenga na kuanza kulipwa upya posho ya kila mwezi. Mimi nikatengwa na hili nisijue nikaambiwe nikiwa nafika ofisini kufanya kazi nisisaini kwenye kitabu cha watendaji badala yake nisaini kitabu cha wageni. Nikajua tayari, hela imeingia. Nikakubali kutokusaini kitabu chochote ila ofisini nitakuwepo na kazi za Chama nitafanya.

Kipindi hicho nikaamua kwenda majimboni kufanya kazi zaidi, nikatembelea majimbo kwa gharama za viongozi wa majimbo . Kwa haraka nilitembelea Singida, Rombo, Mlimba, Morogoro Mjini, Songea Mjini, Tanga mjini, Muheza, Dar es Salaam N.k kote nikaenda kuwajengea watu uwezo, kutengeneza watalaamu wa usajili kupitia mifumo, kuwapa printer na kuwafundisha namna ya kutumia mifumo kuzalisha kadi, na kuelekeza namna ya kutumia mifumo ya Chama. Hapo Ruzuku Bado haijachuliwa ila wanajilipa pesa ambayo mimi na wengine wachache (HQ) tunaizalisha kwa kufanya kazi, wanaozalisha fedha ya Digital husasani mimi Sipo kwenye Hiyo Posho yao, ambao hawaingizi chochote wanajilipa. Wakasahau hata majimbo wanazalisha lakini hawalipwi (Ili la Chadema Digital kuna Pigo litakuja)

Baadhi ya watendaji wakawa wananiuliza mbona haulipwi si umbane Katibu Mkuu akulipe? Mbona wewe ndo unazalisha fedha? Nikawaambia viongozi wa majimbo wilaya nao si wanazalisha kwani wanalipwa? Nami nifanya kazi HQ naishi kama wengine kwenye majimbo, Ninauwezo wa kupata hicho wanachojilipa wakitaka watatoa wasipotaka tutajenga Chama. Naibu Bara alimbana sana Katibu Mkuu ila alizidiwa.


Kibembe kikaanza baada ya Ruzuku Kuchukuliwa!

Naomba tega sikio, utulie usome na uelewe. Secretariat ilipoona Ruzuku imeingia hatua ya kwanza waliwaza kujilipa wao then hatua ya pili iwe ni kwenda Field kujenga Chama. Wakajaribu kujigawia vipande vya fedha wakakwama kwenye vikao vya Kamati Kuu. Kwasababu wajumbe wachache wa Kamati Kuu walikaza sana. Wakarudi tena mara ya pili bado wajumbe wakagoma kuwaruhusu, wakaamua kufanya Robbing (Hapa kuna mchezo mchafu ulifanyika) kwa Mwenyekiti wa Taifa wakakubaliana na wakarudi mara ya tatu Kamati Kuu na wakakubaliwa wajilipe. Wajumbe waliokuwa wanakataa mambo ya kujilipa Ruzuku ni hawa hapa waulize John Heche, Peter Msigwa, Gaston Garubindi, Ezekia Wenje, Godbless Lema ndo walikuwa wanapinga kwa nguvu zote, Wajumbe hawa walijitengenezea ugomvi mkubwa na Secretariat na mkakati wa kuhakikisha hawarudi kwenye CC ulianza kusukwa. ( Hii ya Wajumbe wa CC nitaileta kama Pigo linalojitegemea )

Kiasi gani walijilipa

Ili ujue kiwango gani walijilipa, inabidi ujue hawa watumishi wenu mishahara yao kwa mwezi ni Sh. Ngapi.


1. Manaibu 3.5 M kwa Mwezi
2. Wakurugenzi 2.5M kwa mwezi
3. Watendaji wengine wako kati ya 600,000 hadi 1.5M

Sasa, ili wajilipe Ruzuku ilitengenezwa Fomula yankula hizo hela,

Moja, lilibuniwa jina la mgao wakaliita " Hardship Allowance" yaani malipo ya mazingira magumu waliopitia

Mbili, kila mmoja alitakiwa kujilipa mshahara wake kwa miezi 12. Yaani kama Mshahara ni milioni moja maana yake alilipwa milioni moja mara 12. Nadhani unaninelewa na unaweza kufanya hesabu ukajua kila mmoja alilipwa sh ngapi na ukapata hesabu ni milioni Ngapi zilitumika kujilipa mara tu baada ya Ruzuku kutoka.

Waliojilipa ni Secretariat, Makatibu wa Kanda ( Japo walipigwa pia) na watumishi wachache ambao waliona wanawafaa majina ninayo. Wakati haya yanafanyika, wafanyakazi wa chini waliowengi waliondolewa hawakupewa ( Hili nalo ni pigo Lingine)

Sasa, Mimi waga ni mtata na wanajua utata wangu sikupewa mgao, nikawafuata nakasema tulikubaliana Ruzuku hatuchukui, mmechukua, tulikubaliana watumishi wote wameondolewa kwa sababu hakuna ruzuku sasa mbona ruzuku mmechukua na hamjawaita? Nikasema hata mimi ambaye ndo nipo ofisini siku zote, nafanya kazi, silipwi wanalipwa wengine ambao hata ofisini hawaji na hii Ya Ruzuku mnaniweka pembeni? Nikawaambia Hii Ruzuku mtanilipa kama mlivyojilipa ama mnataka au hamtaki mtalipa. Nipo hapa hapa naona mchezo alafu niwaache! Nikamuandia Waraka Katibu Mkuu nikimtaka anilipe sawa sawa na alivyowalipa wengine. Katibu Mkuu akanilipa. Mimi nikapewa Milioni Tatu kwa kuandikiwa Cheque. Baada ya kuichukua, nikamwambia hii haifiki hata robo ya kile unatakiwa ulipe yote haya walikuwa wanagoma wakijua nitapata ushahidi.

Ndugu yangu mpiga kura naomba Jipe muda utafakali na ufanye jambo sahihi tunakoelekea kutafuta Mwenyekiti wa Chama Taifa, ambaye ataunda Secretariat yake mpya;

1. Fikilia Mtu anayewaza kujilipa milioni 12, 25, 30, 50 n.k na mwisho wa mwezi analipwa vile vile alafu Kamati Tendaji ya Kanda hamna hiyo Taarifa, Mkoa, wilaya, Jimbo n.k hata 500,000 hujawai kuipata. Fikilia alafu fanya maamuzi.

2. Fikilia Kwa nini Enzi za Dr. SLAA pamoja na Ruzuku kuwa ndogo baadhi ya majimbo kama sio yote mlikuwa mnapata Ruzuku. Kwanini sasa hivi hampati?

3. Fikilia Chama ambacho kinataka kuchukua dola, tunaambiana Komaa Kamanda na kweli tunakomaa alafu nyuma ya pazia watu wanachukua fedha nyingi kiasi hizo, Mishahara mikubwa kama hiyo. Je? Hawa wanapambania Chama? Hawa nadhani ndo wale walimuambia Mwl. Nyerere usiondoke hii nchi bado changa.

4. Fikilia watu ambao wanaweza kubuni jina zuri la mgao wa Ruzuku na kuliita "HARDSHIP ALLOWANCE". Hivi mazingira magumu yalikuwa HQ peke yake?

5. Waulizeni Hao wanaosema walienda kimshawishi Mwamba, je? Kwenye Mkoa walipewa Hardship Allowance? Kama walipewa nyie viongozi wa majimbo wilaya mlipata? Wanachama je wanajua haya?

5. Waulizeni wajumbe wa Kamati Kuu, kama ninadanganya. Mimi ni Shahidi nipewa.

6. Muombeni Katibu Mkuu atoke awape majibu. Muulize kama nasema uongo, muulize kama sikusema ndani wakanipuuza nikawaambia nitasema kwa wenye Chama.

Sasa ni Muda wa kuwaambia hiyo Hardship Allowance itafika lini jimboni kwako? Kama hawana majibu, Tuletee Mtu Sahihi wa Kutubadilishia Secretariat naye Sio Mwingine Ni Tundu Lissu. Mwenyekiti Mbowe mimi nampenda lakini hawezi kuwafanya kitu chochote, wajumbe wa CC baadhi walijaribu kufanya mabadiliko hawakuweza Chairman aliwalinda.


Chukua hatua, Nusuru Chama

Remigius Constantine HQ
CC: Erythrocyte
Lucas Mwashambwa
Pascal Mayalla
Mmawia
 
WAKATI MAJIMBO NA MIKOA HAMPATI HATA LAKI MOJA YA KUWASAIDIA KWENYE KAMPEINI KUJENGA CHAMA, MAKAO MAKUU TUMEGAWANA ZAIDI YA MILIONI MIA NNE KUTOKA KWENYE RUZUKU

Nawasalimu wakubwa Viongozi na wanachama, Leo nataka niwafumbue macho kidogo juu ya Ruzuku Yenu ambayo inatokana na mchango wa kila mwanachama anayeshiriki kutafuta kura za ubunge na urais

Iko hivi;
Baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 na Uamuzi wa Kamati Kuu kutokuutambua uchaguzi ule na vyote vilivyotokana na uchaguzi ule, tuliamua kususia Ruzuku. Kwa vile watumishi wa Chama na Kanda wanalipwa hivyo kukosa Ruzuku Chama kiliamua kufunga makao makuu pamoja na kanda.

Tulifanya Kikao Ofisini Makao Makuu, na kupewa taarifa ya kuwa kuanzia sasa Chama hakitakuwa na mfanyakazi hata mmoja, hivyo yeyote atakayejisikia kuendelea kujitolea aendelee na yule ambaye hawezi kujitolea akae Nyumbani, Sababu iliyopelekea uamzi huo ni ukosefu wa Ruzuku.

Mimi niliamua kufanya mambo mawili;

1. Nilikubali kuendelea kujitolea bila malipo yoyote yale kwani mimi niliunga mkono hatua za kutokuchukua ruzuku

2. Niandika mpango kazi ambao nilielezea namna Chama kinaweza kupata fedha ya kujiendesha. Mpango huo ulilenga kuingiza milioni mia mbili na arobaini kila mwezi. ( Kwa bahati mbaya haukufanyiwa kazi wala kupewa kipaumbele)

Baada ya kikao hicho, Watumishi waliacha kwenda ofisini, tulibaki wachache sana ambao tuliendelea kujitolea naweza kuwataja kwa majina ila naomba kuyaifadhi.

Kwa kibindi hicho kuanzia November 2020 hadi May 2021, kwa upande wa Viongozi wa wakuu (Secretariat) aliyekuwa anaonekana ofisini mara kwa mara ni mmoja tu Wengine wote walichimba.

Ilipofika May 25, 2021 wote wakarudi kwa sababu ya uzinduzi wa Chadema Digital na Operation Haki ambayo ingeambatana na posho za Operation. Tulizunguka nchi nzima , Mimi binafsi nilizunguka kila sehemu tulikuwa tunalipwa pesa nzuri tu. ( Operation Haki ni Pigo ltakuja)

Digital watu wakaipokea pesa ikaaza kuingia, kwa usiri mkubwa watu kadhaa wakajitenga na kuanza kulipwa upya posho ya kila mwezi. Mimi nikatengwa na hili nisijue nikaambiwe nikiwa nafika ofisini kufanya kazi nisisaini kwenye kitabu cha watendaji badala yake nisaini kitabu cha wageni. Nikajua tayari, hela imeingia. Nikakubali kutokusaini kitabu chochote ila ofisini nitakuwepo na kazi za Chama nitafanya.

Kipindi hicho nikaamua kwenda majimboni kufanya kazi zaidi, nikatembelea majimbo kwa gharama za viongozi wa majimbo . Kwa haraka nilitembelea Singida, Rombo, Mlimba, Morogoro Mjini, Songea Mjini, Tanga mjini, Muheza, Dar es Salaam N.k kote nikaenda kuwajengea watu uwezo, kutengeneza watalaamu wa usajili kupitia mifumo, kuwapa printer na kuwafundisha namna ya kutumia mifumo kuzalisha kadi, na kuelekeza namna ya kutumia mifumo ya Chama. Hapo Ruzuku Bado haijachuliwa ila wanajilipa pesa ambayo mimi na wengine wachache (HQ) tunaizalisha kwa kufanya kazi, wanaozalisha fedha ya Digital husasani mimi Sipo kwenye Hiyo Posho yao, ambao hawaingizi chochote wanajilipa. Wakasahau hata majimbo wanazalisha lakini hawalipwi (Ili la Chadema Digital kuna Pigo litakuja)

Baadhi ya watendaji wakawa wananiuliza mbona haulipwi si umbane Katibu Mkuu akulipe? Mbona wewe ndo unazalisha fedha? Nikawaambia viongozi wa majimbo wilaya nao si wanazalisha kwani wanalipwa? Nami nifanya kazi HQ naishi kama wengine kwenye majimbo, Ninauwezo wa kupata hicho wanachojilipa wakitaka watatoa wasipotaka tutajenga Chama. Naibu Bara alimbana sana Katibu Mkuu ila alizidiwa.


Kibembe kikaanza baada ya Ruzuku Kuchukuliwa!

Naomba tega sikio, utulie usome na uelewe. Secretariat ilipoona Ruzuku imeingia hatua ya kwanza waliwaza kujilipa wao then hatua ya pili iwe ni kwenda Field kujenga Chama. Wakajaribu kujigawia vipande vya fedha wakakwama kwenye vikao vya Kamati Kuu. Kwasababu wajumbe wachache wa Kamati Kuu walikaza sana. Wakarudi tena mara ya pili bado wajumbe wakagoma kuwaruhusu, wakaamua kufanya Robbing (Hapa kuna mchezo mchafu ulifanyika) kwa Mwenyekiti wa Taifa wakakubaliana na wakarudi mara ya tatu Kamati Kuu na wakakubaliwa wajilipe. Wajumbe waliokuwa wanakataa mambo ya kujilipa Ruzuku ni hawa hapa waulize John Heche, Peter Msigwa, Gaston Garubindi, Ezekia Wenje, Godbless Lema ndo walikuwa wanapinga kwa nguvu zote, Wajumbe hawa walijitengenezea ugomvi mkubwa na Secretariat na mkakati wa kuhakikisha hawarudi kwenye CC ulianza kusukwa. ( Hii ya Wajumbe wa CC nitaileta kama Pigo linalojitegemea )

Kiasi gani walijilipa

Ili ujue kiwango gani walijilipa, inabidi ujue hawa watumishi wenu mishahara yao kwa mwezi ni Sh. Ngapi.


1. Manaibu 3.5 M kwa Mwezi
2. Wakurugenzi 2.5M kwa mwezi
3. Watendaji wengine wako kati ya 600,000 hadi 1.5M

Sasa, ili wajilipe Ruzuku ilitengenezwa Fomula yankula hizo hela,

Moja, lilibuniwa jina la mgao wakaliita " Hardship Allowance" yaani malipo ya mazingira magumu waliopitia

Mbili, kila mmoja alitakiwa kujilipa mshahara wake kwa miezi 12. Yaani kama Mshahara ni milioni moja maana yake alilipwa milioni moja mara 12. Nadhani unaninelewa na unaweza kufanya hesabu ukajua kila mmoja alilipwa sh ngapi na ukapata hesabu ni milioni Ngapi zilitumika kujilipa mara tu baada ya Ruzuku kutoka.

Waliojilipa ni Secretariat, Makatibu wa Kanda ( Japo walipigwa pia) na watumishi wachache ambao waliona wanawafaa majina ninayo. Wakati haya yanafanyika, wafanyakazi wa chini waliowengi waliondolewa hawakupewa ( Hili nalo ni pigo Lingine)

Sasa, Mimi waga ni mtata na wanajua utata wangu sikupewa mgao, nikawafuata nakasema tulikubaliana Ruzuku hatuchukui, mmechukua, tulikubaliana watumishi wote wameondolewa kwa sababu hakuna ruzuku sasa mbona ruzuku mmechukua na hamjawaita? Nikasema hata mimi ambaye ndo nipo ofisini siku zote, nafanya kazi, silipwi wanalipwa wengine ambao hata ofisini hawaji na hii Ya Ruzuku mnaniweka pembeni? Nikawaambia Hii Ruzuku mtanilipa kama mlivyojilipa ama mnataka au hamtaki mtalipa. Nipo hapa hapa naona mchezo alafu niwaache! Nikamuandia Waraka Katibu Mkuu nikimtaka anilipe sawa sawa na alivyowalipa wengine. Katibu Mkuu akanilipa. Mimi nikapewa Milioni Tatu kwa kuandikiwa Cheque. Baada ya kuichukua, nikamwambia hii haifiki hata robo ya kile unatakiwa ulipe yote haya walikuwa wanagoma wakijua nitapata ushahidi.

Ndugu yangu mpiga kura naomba Jipe muda utafakali na ufanye jambo sahihi tunakoelekea kutafuta Mwenyekiti wa Chama Taifa, ambaye ataunda Secretariat yake mpya;

1. Fikilia Mtu anayewaza kujilipa milioni 12, 25, 30, 50 n.k na mwisho wa mwezi analipwa vile vile alafu Kamati Tendaji ya Kanda hamna hiyo Taarifa, Mkoa, wilaya, Jimbo n.k hata 500,000 hujawai kuipata. Fikilia alafu fanya maamuzi.

2. Fikilia Kwa nini Enzi za Dr. SLAA pamoja na Ruzuku kuwa ndogo baadhi ya majimbo kama sio yote mlikuwa mnapata Ruzuku. Kwanini sasa hivi hampati?

3. Fikilia Chama ambacho kinataka kuchukua dola, tunaambiana Komaa Kamanda na kweli tunakomaa alafu nyuma ya pazia watu wanachukua fedha nyingi kiasi hizo, Mishahara mikubwa kama hiyo. Je? Hawa wanapambania Chama? Hawa nadhani ndo wale walimuambia Mwl. Nyerere usiondoke hii nchi bado changa.

4. Fikilia watu ambao wanaweza kubuni jina zuri la mgao wa Ruzuku na kuliita "HARDSHIP ALLOWANCE". Hivi mazingira magumu yalikuwa HQ peke yake?

5. Waulizeni Hao wanaosema walienda kimshawishi Mwamba, je? Kwenye Mkoa walipewa Hardship Allowance? Kama walipewa nyie viongozi wa majimbo wilaya mlipata? Wanachama je wanajua haya?

5. Waulizeni wajumbe wa Kamati Kuu, kama ninadanganya. Mimi ni Shahidi nipewa.

6. Muombeni Katibu Mkuu atoke awape majibu. Muulize kama nasema uongo, muulize kama sikusema ndani wakanipuuza nikawaambia nitasema kwa wenye Chama.

Sasa ni Muda wa kuwaambia hiyo Hardship Allowance itafika lini jimboni kwako? Kama hawana majibu, Tuletee Mtu Sahihi wa Kutubadilishia Secretariat naye Sio Mwingine Ni Tundu Lissu. Mwenyekiti Mbowe mimi nampenda lakini hawezi kuwafanya kitu chochote, wajumbe wa CC baadhi walijaribu kufanya mabadiliko hawakuweza Chairman aliwalinda.


Chukua hatua, Nusuru Chama

Remigius Constantine HQ
Kwa kweli Mbowe yamemchachia safari hii. Sijui hafa akishinda uenyekiti atakuwa anaenda kwa gia gani kwa wananchi? Mana upinzani ni mkali sana ndani ya chama. Mbowe anamaliza siasa katika ugumu sana. Wale wa upande wa pili kwa sasa ni kicheko tu, huku ACT wazalendo wakipiga jaramba lwa nguvu zote.
 
Mbona CAG amekuwa anatoa hati safi Kila anapoganya ukaguzi hajawahi kusema hvyo unavyotaka kuhaminisha watu uZushi
 
WAKATI MAJIMBO NA MIKOA HAMPATI HATA LAKI MOJA YA KUWASAIDIA KWENYE KAMPEINI KUJENGA CHAMA, MAKAO MAKUU TUMEGAWANA ZAIDI YA MILIONI MIA NNE KUTOKA KWENYE RUZUKU

Nawasalimu wakubwa Viongozi na wanachama, Leo nataka niwafumbue macho kidogo juu ya Ruzuku Yenu ambayo inatokana na mchango wa kila mwanachama anayeshiriki kutafuta kura za ubunge na urais

Iko hivi;
Baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 na Uamuzi wa Kamati Kuu kutokuutambua uchaguzi ule na vyote vilivyotokana na uchaguzi ule, tuliamua kususia Ruzuku. Kwa vile watumishi wa Chama na Kanda wanalipwa hivyo kukosa Ruzuku Chama kiliamua kufunga makao makuu pamoja na kanda.

Tulifanya Kikao Ofisini Makao Makuu, na kupewa taarifa ya kuwa kuanzia sasa Chama hakitakuwa na mfanyakazi hata mmoja, hivyo yeyote atakayejisikia kuendelea kujitolea aendelee na yule ambaye hawezi kujitolea akae Nyumbani, Sababu iliyopelekea uamzi huo ni ukosefu wa Ruzuku.

Mimi niliamua kufanya mambo mawili;

1. Nilikubali kuendelea kujitolea bila malipo yoyote yale kwani mimi niliunga mkono hatua za kutokuchukua ruzuku

2. Niandika mpango kazi ambao nilielezea namna Chama kinaweza kupata fedha ya kujiendesha. Mpango huo ulilenga kuingiza milioni mia mbili na arobaini kila mwezi. ( Kwa bahati mbaya haukufanyiwa kazi wala kupewa kipaumbele)

Baada ya kikao hicho, Watumishi waliacha kwenda ofisini, tulibaki wachache sana ambao tuliendelea kujitolea naweza kuwataja kwa majina ila naomba kuyaifadhi.

Kwa kibindi hicho kuanzia November 2020 hadi May 2021, kwa upande wa Viongozi wa wakuu (Secretariat) aliyekuwa anaonekana ofisini mara kwa mara ni mmoja tu Wengine wote walichimba.

Ilipofika May 25, 2021 wote wakarudi kwa sababu ya uzinduzi wa Chadema Digital na Operation Haki ambayo ingeambatana na posho za Operation. Tulizunguka nchi nzima , Mimi binafsi nilizunguka kila sehemu tulikuwa tunalipwa pesa nzuri tu. ( Operation Haki ni Pigo ltakuja)

Digital watu wakaipokea pesa ikaaza kuingia, kwa usiri mkubwa watu kadhaa wakajitenga na kuanza kulipwa upya posho ya kila mwezi. Mimi nikatengwa na hili nisijue nikaambiwe nikiwa nafika ofisini kufanya kazi nisisaini kwenye kitabu cha watendaji badala yake nisaini kitabu cha wageni. Nikajua tayari, hela imeingia. Nikakubali kutokusaini kitabu chochote ila ofisini nitakuwepo na kazi za Chama nitafanya.

Kipindi hicho nikaamua kwenda majimboni kufanya kazi zaidi, nikatembelea majimbo kwa gharama za viongozi wa majimbo . Kwa haraka nilitembelea Singida, Rombo, Mlimba, Morogoro Mjini, Songea Mjini, Tanga mjini, Muheza, Dar es Salaam N.k kote nikaenda kuwajengea watu uwezo, kutengeneza watalaamu wa usajili kupitia mifumo, kuwapa printer na kuwafundisha namna ya kutumia mifumo kuzalisha kadi, na kuelekeza namna ya kutumia mifumo ya Chama. Hapo Ruzuku Bado haijachuliwa ila wanajilipa pesa ambayo mimi na wengine wachache (HQ) tunaizalisha kwa kufanya kazi, wanaozalisha fedha ya Digital husasani mimi Sipo kwenye Hiyo Posho yao, ambao hawaingizi chochote wanajilipa. Wakasahau hata majimbo wanazalisha lakini hawalipwi (Ili la Chadema Digital kuna Pigo litakuja)

Baadhi ya watendaji wakawa wananiuliza mbona haulipwi si umbane Katibu Mkuu akulipe? Mbona wewe ndo unazalisha fedha? Nikawaambia viongozi wa majimbo wilaya nao si wanazalisha kwani wanalipwa? Nami nifanya kazi HQ naishi kama wengine kwenye majimbo, Ninauwezo wa kupata hicho wanachojilipa wakitaka watatoa wasipotaka tutajenga Chama. Naibu Bara alimbana sana Katibu Mkuu ila alizidiwa.


Kibembe kikaanza baada ya Ruzuku Kuchukuliwa!

Naomba tega sikio, utulie usome na uelewe. Secretariat ilipoona Ruzuku imeingia hatua ya kwanza waliwaza kujilipa wao then hatua ya pili iwe ni kwenda Field kujenga Chama. Wakajaribu kujigawia vipande vya fedha wakakwama kwenye vikao vya Kamati Kuu. Kwasababu wajumbe wachache wa Kamati Kuu walikaza sana. Wakarudi tena mara ya pili bado wajumbe wakagoma kuwaruhusu, wakaamua kufanya Robbing (Hapa kuna mchezo mchafu ulifanyika) kwa Mwenyekiti wa Taifa wakakubaliana na wakarudi mara ya tatu Kamati Kuu na wakakubaliwa wajilipe. Wajumbe waliokuwa wanakataa mambo ya kujilipa Ruzuku ni hawa hapa waulize John Heche, Peter Msigwa, Gaston Garubindi, Ezekia Wenje, Godbless Lema ndo walikuwa wanapinga kwa nguvu zote, Wajumbe hawa walijitengenezea ugomvi mkubwa na Secretariat na mkakati wa kuhakikisha hawarudi kwenye CC ulianza kusukwa. ( Hii ya Wajumbe wa CC nitaileta kama Pigo linalojitegemea )

Kiasi gani walijilipa

Ili ujue kiwango gani walijilipa, inabidi ujue hawa watumishi wenu mishahara yao kwa mwezi ni Sh. Ngapi.


1. Manaibu 3.5 M kwa Mwezi
2. Wakurugenzi 2.5M kwa mwezi
3. Watendaji wengine wako kati ya 600,000 hadi 1.5M

Sasa, ili wajilipe Ruzuku ilitengenezwa Fomula yankula hizo hela,

Moja, lilibuniwa jina la mgao wakaliita " Hardship Allowance" yaani malipo ya mazingira magumu waliopitia

Mbili, kila mmoja alitakiwa kujilipa mshahara wake kwa miezi 12. Yaani kama Mshahara ni milioni moja maana yake alilipwa milioni moja mara 12. Nadhani unaninelewa na unaweza kufanya hesabu ukajua kila mmoja alilipwa sh ngapi na ukapata hesabu ni milioni Ngapi zilitumika kujilipa mara tu baada ya Ruzuku kutoka.

Waliojilipa ni Secretariat, Makatibu wa Kanda ( Japo walipigwa pia) na watumishi wachache ambao waliona wanawafaa majina ninayo. Wakati haya yanafanyika, wafanyakazi wa chini waliowengi waliondolewa hawakupewa ( Hili nalo ni pigo Lingine)

Sasa, Mimi waga ni mtata na wanajua utata wangu sikupewa mgao, nikawafuata nakasema tulikubaliana Ruzuku hatuchukui, mmechukua, tulikubaliana watumishi wote wameondolewa kwa sababu hakuna ruzuku sasa mbona ruzuku mmechukua na hamjawaita? Nikasema hata mimi ambaye ndo nipo ofisini siku zote, nafanya kazi, silipwi wanalipwa wengine ambao hata ofisini hawaji na hii Ya Ruzuku mnaniweka pembeni? Nikawaambia Hii Ruzuku mtanilipa kama mlivyojilipa ama mnataka au hamtaki mtalipa. Nipo hapa hapa naona mchezo alafu niwaache! Nikamuandia Waraka Katibu Mkuu nikimtaka anilipe sawa sawa na alivyowalipa wengine. Katibu Mkuu akanilipa. Mimi nikapewa Milioni Tatu kwa kuandikiwa Cheque. Baada ya kuichukua, nikamwambia hii haifiki hata robo ya kile unatakiwa ulipe yote haya walikuwa wanagoma wakijua nitapata ushahidi.

Ndugu yangu mpiga kura naomba Jipe muda utafakali na ufanye jambo sahihi tunakoelekea kutafuta Mwenyekiti wa Chama Taifa, ambaye ataunda Secretariat yake mpya;

1. Fikilia Mtu anayewaza kujilipa milioni 12, 25, 30, 50 n.k na mwisho wa mwezi analipwa vile vile alafu Kamati Tendaji ya Kanda hamna hiyo Taarifa, Mkoa, wilaya, Jimbo n.k hata 500,000 hujawai kuipata. Fikilia alafu fanya maamuzi.

2. Fikilia Kwa nini Enzi za Dr. SLAA pamoja na Ruzuku kuwa ndogo baadhi ya majimbo kama sio yote mlikuwa mnapata Ruzuku. Kwanini sasa hivi hampati?

3. Fikilia Chama ambacho kinataka kuchukua dola, tunaambiana Komaa Kamanda na kweli tunakomaa alafu nyuma ya pazia watu wanachukua fedha nyingi kiasi hizo, Mishahara mikubwa kama hiyo. Je? Hawa wanapambania Chama? Hawa nadhani ndo wale walimuambia Mwl. Nyerere usiondoke hii nchi bado changa.

4. Fikilia watu ambao wanaweza kubuni jina zuri la mgao wa Ruzuku na kuliita "HARDSHIP ALLOWANCE". Hivi mazingira magumu yalikuwa HQ peke yake?

5. Waulizeni Hao wanaosema walienda kimshawishi Mwamba, je? Kwenye Mkoa walipewa Hardship Allowance? Kama walipewa nyie viongozi wa majimbo wilaya mlipata? Wanachama je wanajua haya?

5. Waulizeni wajumbe wa Kamati Kuu, kama ninadanganya. Mimi ni Shahidi nipewa.

6. Muombeni Katibu Mkuu atoke awape majibu. Muulize kama nasema uongo, muulize kama sikusema ndani wakanipuuza nikawaambia nitasema kwa wenye Chama.

Sasa ni Muda wa kuwaambia hiyo Hardship Allowance itafika lini jimboni kwako? Kama hawana majibu, Tuletee Mtu Sahihi wa Kutubadilishia Secretariat naye Sio Mwingine Ni Tundu Lissu. Mwenyekiti Mbowe mimi nampenda lakini hawezi kuwafanya kitu chochote, wajumbe wa CC baadhi walijaribu kufanya mabadiliko hawakuweza Chairman aliwalinda.


Chukua hatua, Nusuru Chama

Remigius Constantine HQ

Kwa hiyo wananeemeka na matunda ya uviko19. Wakati waliwakana mbele ya kadamnasi kwamba hawawatambui, kwa kuwa waliwafukuza chamani.
 
Kwa nini hukusema hayo kabla?
Cheap propaganda za kumchafua tu Mbowe

Kama kuna wizi kwa nini hukuripoti polisi au takukuru unaibuka leo ? Mpuuzi wewe
Na wewe ulipata Hardship Allowance?
 
Kwa hiyo wananeemeka na matunda ya uviko19. Wakati waliwakana mbele ya kadamnasi kwamba hawawatambui, kwa kuwa waliwafukuza chamani.
Covid 19, ni wabunge wa kuteuliwa. Hawachangii chochote kwenye ruzuku.

Hiyo ruzuku inatokana na kura alizopata Lisu kwenye Urais.

Kinachochangia ruzuku na kupata wabunge wa viti maalum, ni idadi ya kura za mgombea wa Urais na idadi ya wabunge wa kuchaguliwa.
 
Covid 19, ni wabunge wa kuteuliwa. Hawachangii chochote kwenye ruzuku.

Hiyo ruzuku inatokana na kura alizopata Lisu kwenye Urais.

Kinachochangia ruzuku na kupata wabunge wa viti maalum, ni idadi ya kura za mgombea wa Urais na idadi ya wabunge wa kuchaguliwa.

Yaa, kumbe wana mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa. Yule dada wa Nkasi
 
Haahaa ndo maana wale wenyeviti machawa makoo hayawakauki kwa kuropoka Ili mtu wao abaki Ili maslahi Yao waendelee kuyapata, tangu nimeona lile rundo la wale viongozi kwenda kwa mbowe nimewaza vingi Sana, pale hakipiganiwi chama Bali maslahi ya watu
Uhakika mkuu
 
Back
Top Bottom