Sherutete Dc ?Ngoja niongee na Sherutete then nitarudisha mrejesho.
We unaona je?Kwa hiyo death certificate itaandikwa kaliwa na mamba?au wataandika ajali.
Sasa hao wapiga mbizi walidhani huyo mamba kibogoyo sio ? Labda kama wanafuta nguo zakeHaijafahamika vizuri kilichotokea lakini timu ya wapiga mbizi wapo ndani ya ziwa victoria eneo la tukio wanaendelea kumtafuta bado hajapatikana.
Tena wa CDM and UkawA familyDah wangekuwa wanasiasa ingekuwa poa sana
Vyovyote vileTena wa CDM and UkawA family