BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Ripoti ya uchunguzi wa Madaktari imeonesha kuwa Daniel Musyoka, mfanyakazi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) aliyepatikana akiwa amefarki, alinyongwa hadi kufa
Timu ya Madaktari Bingwa watano waliofanyia upasuaji mwili wa Afisa huyo, pia wamepeleka Nairobi baadhi ya vielelezo kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa Kisayansi
Miongoni mwa walioshuhudia uchunguzi huo ni wanafamilia, wapelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI), na maafisa wa IEBC
Hadi kutoweka kwake, Musyoka alikuwa msimamizi wa Uchaguzi katika Eneo Bunge la Embakasi na kisha mwili wake kupatikana eneo la Hifadhi ya Taifa ya Amboseli Jumatatu, Agosti 15.
===========================
An autopsy report has revealed that the slain Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) staff Daniel Musyoka was strangled to death.
A team of five pathologists who were deployed at Oloitokitok Sub-County Hospital Mortuary operated on his body before giving the report.
Among those who witnessed the post mortem were his family members, detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI), and IEBC officials.
The pathologists also carried to Nairobi some components for further forensic investigations.
Musyoka, 53, was assigned to Embakasi East Constituency as the Returning Officer in the Tuesday, August 9 elections.
However, the country was shocked after reports of his disappearance broke on August 11. Musyoka’s body would later be discovered at the Amboseli National Park on Monday, August 15.
His body exhibited signs of torture and was naked at the time of discovery, according to police reports.
Source: Kenyans
Timu ya Madaktari Bingwa watano waliofanyia upasuaji mwili wa Afisa huyo, pia wamepeleka Nairobi baadhi ya vielelezo kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa Kisayansi
Miongoni mwa walioshuhudia uchunguzi huo ni wanafamilia, wapelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI), na maafisa wa IEBC
Hadi kutoweka kwake, Musyoka alikuwa msimamizi wa Uchaguzi katika Eneo Bunge la Embakasi na kisha mwili wake kupatikana eneo la Hifadhi ya Taifa ya Amboseli Jumatatu, Agosti 15.
===========================
An autopsy report has revealed that the slain Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) staff Daniel Musyoka was strangled to death.
A team of five pathologists who were deployed at Oloitokitok Sub-County Hospital Mortuary operated on his body before giving the report.
Among those who witnessed the post mortem were his family members, detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI), and IEBC officials.
The pathologists also carried to Nairobi some components for further forensic investigations.
Musyoka, 53, was assigned to Embakasi East Constituency as the Returning Officer in the Tuesday, August 9 elections.
However, the country was shocked after reports of his disappearance broke on August 11. Musyoka’s body would later be discovered at the Amboseli National Park on Monday, August 15.
His body exhibited signs of torture and was naked at the time of discovery, according to police reports.
Source: Kenyans