Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Baada ya kushuhudia match ya ufunguzi wa michuano bora hapo jana kwenye dimba la Benjamín Mkapa
Ufunguzi wa michuano yenye thamani zaidi Africa inayojulikana kwa jina la African Football League (AFL)
Match ambayo iliwakutanisha Big fish wawili ambao walitoshana nguvu na kutoa burudani ya kandanda safi mbele ya Raisi wa FIFA, Raisi wa CAF bila kumsahau Mzee Wenger.
Simba ambao FIFA wanasema ndio icon ya Football kwa ukanda huu wa CECAFA amekuwa mwakilishi pekee Afrika mashariki na kati.
Leo tena ni mechi ya pili ndani ya jiji la Angola katika dimba la Estádio 11 de Novembro.
Mchezo kati ya Petro de Luanda na Mamelodi Sundowns kutoka South Afrika.
Mchezo unatarajiwa kuwa mzuri na wenye ushindani (kwasababu hakuna washuka daraja kwenye hii tournament).
Mechi ni saa 18:30
Ufunguzi wa michuano yenye thamani zaidi Africa inayojulikana kwa jina la African Football League (AFL)
Match ambayo iliwakutanisha Big fish wawili ambao walitoshana nguvu na kutoa burudani ya kandanda safi mbele ya Raisi wa FIFA, Raisi wa CAF bila kumsahau Mzee Wenger.
Simba ambao FIFA wanasema ndio icon ya Football kwa ukanda huu wa CECAFA amekuwa mwakilishi pekee Afrika mashariki na kati.
Leo tena ni mechi ya pili ndani ya jiji la Angola katika dimba la Estádio 11 de Novembro.
Mchezo kati ya Petro de Luanda na Mamelodi Sundowns kutoka South Afrika.
Mchezo unatarajiwa kuwa mzuri na wenye ushindani (kwasababu hakuna washuka daraja kwenye hii tournament).
Mechi ni saa 18:30