babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Sijui atakujibu na excuse ipi hapa tena,Taja mtaa ambao uko horrible Dar, ambako watu wanaishi bila barabara, vituo vya Afya, vyoo au UMEME. Kwanini hamtaki kukubaliana na ukweli kwamba faida moja wapo ya siasa ya Ujamaa ni kupunguza pengo kati ya tajiri na masikini. Hatukujenga majumba marefu na " malls" kubwa kama ninyi, ili kuhakikisha raia wa chini wanapata huduma za msingi, ndio sababu Tanzania inaongoza Africa katika " Inclusive index", tungekuwa na Slums, sidhani kama tungeongoza ktk inclusiveness.
Mbona zipo nyingi tu. Shida ni kwamba you guys are good at denial. You've perfected it. Nakumbuka there's a time you guys said slum ni mahali iko na nyumba za mabati madirisha udongo. in that picture above, I can't see a mud house or nyumba ya mabati yet according to Brazilian standards it's a slum. Hata USA kuna slums, according to their standards. What they call ghettos. These places have roads and electricity yet they are still called slums. Ile Kariobangi mnayoitanga slum, 80% za nyumba ni apartment blocks with electricity but you still call it a slum.Taja mtaa ambao uko horrible Dar, ambako watu wanaishi bila barabara, vituo vya Afya, vyoo au UMEME. Kwanini hamtaki kukubaliana na ukweli kwamba faida moja wapo ya siasa ya Ujamaa ni kupunguza pengo kati ya tajiri na masikini. Hatukujenga majumba marefu na " malls" kubwa kama ninyi, ili kuhakikisha raia wa chini wanapata huduma za msingi, ndio sababu Tanzania inaongoza Africa katika " Inclusive index", tungekuwa na Slums, sidhani kama tungeongoza ktk inclusiveness.
Hta ile yao ya mwanza imejengwa na serikaliIf only he knew that East Africa's biggest mall (Two Rivers) is 58% owned by one person (Chris Kirubi) hangeongea hata. These malls they see around Nairobi are owned by Kenyans and Kenyan companies. Hakuna mall hata moja imejengwa na serikali. Kule bongo Yani serikali inafanya kila kitu. Very lazy people
We jamaa inabidi ibadilike ,kila uzi lazima ulete Mishe zako Za kijingaMbona zipo nyingi tu. Shida ni kwamba you guys are good at denial. You've perfected it. Nakumbuka there's a time you guys said slum ni mahali iko na nyumba za mabati madirisha udongo. in that picture above, I can't see a mud house or nyumba ya mabati yet according to Brazilian standards it's a slum. Hata USA kuna slums, according to their standards. What they call ghettos. These places have roads and electricity yet they are still called slums. Ile Kariobangi mnayoitanga slum, 80% za nyumba ni apartment blocks with electricity but you still call it a slum.
Does this Dar neighbourhood look any better than that picture above?
View attachment 1262766
Ni mishe kwa sababu hamtaki kuambiwa ukweliWe jamaa inabidi ibadilike ,kila uzi lazima ulete Mishe zako Za kijinga
Hahaha... then utasikia wakisema serikali ni wananchi. Ujamaa jamani!!Hta ile yao ya mwanza imejengwa na serikali
Ujamaa ni hatari kw usalama nakwambiaHahaha... then utasikia wakisema serikali ni wananchi. Ujamaa jamani!!
Duh! What the F*&^K!!!!! Hio video kuangalia unaburudika hata kuliko kuangalia movie.. Yani kuna nchi zimetuacha na mbali sanaaaaaa!Ukiangalia video ya Singapore utaachwa midomo wazi.