Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Mlio na uwezo huo bongo ni wachache,tulio tunasubili Azam,startimes,Digtek,continental watubebe akina sie kwangu pakavu...

Pole sana ndugu kwangu pakavu yale mashindano kupata kibali cha kuyarusha ni gharama kubwa sana , tuombe Mungu azam TV waoneshe.
 
Hii Afcon siku hizi imekuwa kama bonanza
 
Azam Tv..hii ni kwa uhakika zaidi












Bro, mimi ninayo hapa home. Hawajatujuza lolote. Nimetembelea hata OPERA-MIN kutafuta relation yao na Afcon (kama watarusha), nmepata habar moja humo kuwa hawarushi.

Can you verify more 2me? Pressure kweli kukosa hii daruga
 
Labda TBC1 wanaweza kurusha ingawa sijasikia wakitangaza kama ilivyokuwa kombe la dunia. Na kinachotuponza sisi Tanzania ni kwamba hawa official sponsor (MTN) wa haya mashindano hawapo nchini kwetu lakini kama wangekuwepo kungekuwa na uwezekano mkubwa wa kurushwa.
 
Mlio na uwezo huo bongo ni wachache,tulio tunasubili Azam,startimes,Digtek,continental watubebe akina sie kwangu pakavu...

Acha wewe siku hizi dstv bei rahisi tu sh 99,000 kisembuzi,sh 17,000 kwa mwezi channel zaidi ya 65 Epl nakula,world cup afcon uefa nakula supersport select 1 & 2
 
Acha wewe siku hizi dstv bei rahisi tu sh 99,000 kisembuzi,sh 17,000 kwa mwezi channel zaidi ya 65 Epl nakula,world cup afcon uefa nakula supersport select 1 & 2

Mzee wa kubandua hiyo package ya 17000,unaona EPL bt game za kichovu,huwezi ona big games lakini poa nimekusoma jembeee.
 
King'amuzi cha AZAM, chanel inaitwa FOX SPORTS.

Duh! bado niko kitanzini mkuu.

FOX SPORTS ipo kweli hapa. Lakini haisomi. Sasa cjui ni tatizo la mkoa wetu huku au ikoje?

Msaada zaid nipatueni juu ya issue hii. Asante
 
King'amuzi cha AZAM, chanel inaitwa FOX SPORTS.

Kuna chanel inaitwa RTVGE yenyewe itakuwa live kwa game zote kuanzia kesho saa 19: 00 usiku kupitia azam tv lakin chanel hii inapataka kwa kuingiza freq, 12728H30000. kwa wale walioingiza chanel hii kwenye kisimbuzi cha azamtv atapata uhondo wote wa afcon-2015. Na kwenye ratiba ya vipindi vya kesho kwenye azam two kuanzia saa 18:30-21:00, na saa 21:45-00:00 inaonyesha kuwa kuna kipindi cha mshike mshike ya afcon huwenda na wao watakuwa live hiyo kesho.
 
King'amuzi cha AZAM, chanel inaitwa FOX SPORTS.

FOX SPORTS hawaonyeshi AFCON bhana acha kudanganya watu, labda UBC wanaweza kuwa live na kama kuna mtu aliongeza chanel ya ziada ya RTVGE kupitia azam tv yenyewe itakuwa live kwa game zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…