Africa Cup of Nations (AFCON) 2017, Special thread

Misri haikuwa inashiriki kaka subiri ya mwaka huu uone
 
Mie timu zangu ni:misri,algeria,moroco,tunisia,
all maghreb countries!

Mkuu hebu acha za kizamani hizo.

Sasa all magharibo countries unashabikia kweli.

Mimi naamin huwez kuwa shabiki wa zaid ya timu mbili tena hiyo ya pili itakuwa ikikutana na ile ya kwanza unaikana

Sasa wewe zaidi ya nne hata ushabiki na utani ule udambwi udambwi wa soka unakuwa huna.
 
Naam captain wao hassan ghaly kina mohamed shaban hao wafereji sio mchezo .
Lakini Egypt toka zama zile za national el ahaly ya ukweli kina mohamed el khateeb kina majid abdulghany walikuwa na fullback rabii yasini black hivi kina hany ramzi golini alikuwa thabeet el batal wacha mchezo .
 
Nilianza rasmi kuangalia na kujua mpira final ya Senegal sikumbuki na timu gani ila 2002 nadhani, mpaka penalty zilipigwa siku ile. Ndo ukawa mwanzo wangu wa kuwa mshabiki wa Liverpool na Germany.
 
Africa Cup of Nations 2017: Seven-day countdown to Gabon tournament; Winner will qualify for 2017 Confeds Cup in Russia [HASHTAG]#CitizenWeekend[/HASHTAG] Citizen TV Kenya on Twitter
 
Ingiwa huwa nashabikia Ghana miaka yote ila mwaka huu ninaonyesha Uzalendo kwa kuishabikia moja ya Nchi za Afrika Mashariki yaani Uganda!

Viva Uganda Cranes
 


Swadaqta l'akhy..hao walikua mashine si mchezo..

Misry ilikua inaheshimika mno,soka lao lilikua la kipekee sana Afrika...kwa sasa tunaiona Algeria ikishambulia zaidi mpaka mjerumani alitokwa jasho w/c...ngoja tuone AFCON ya mwaka huu itaamua vipi...
 
Misri haikuwa inashiriki kaka subiri ya mwaka huu uone


Hata mimi navyoona mafarao watafanya wonders, ....kwanza anahasira mno kutoshiriki mashindano, ngoja sasa kazi inaanza, na heshima irudi...

Hawa washkaji weka mbali na watoto, hofu kwangu ni ALGIERS! ila hata yeye atamezwa tu😀
 
Wakuu, mbali na DSTV ni ni kituo gani kingine kitazionyesha!?
 
uganda wawakilishi wa africa masharikiiiiii...
 
Reactions: Lee
Nilianza rasmi kuangalia na kujua mpira final ya Senegal sikumbuki na timu gani ila 2002 nadhani, mpaka penalty zilipigwa siku ile. Ndo ukawa mwanzo wangu wa kuwa mshabiki wa Liverpool na Germany.
Du juzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…