Basa Ze-great
Member
- Dec 20, 2016
- 41
- 33
Matimu yote hayo![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mie timu zangu ni:misri,algeria,moroco,tunisia,
all maghreb countries!
Hivi lini inaanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matimu yote hayo![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mie timu zangu ni:misri,algeria,moroco,tunisia,
all maghreb countries!
Hivi lini inaanza?
Shida ni hii interval kuhama miaka shufwa kuja witiri, lakini pia miaka hii ndo ilitarajiwa kuwa na mvuto kuliko enz za akina olembe, lualua etc cha ajabu Hanna vipaji, hamna real talents, wachezaji walobaki wana mipira ya darasani sio natural talentNaona kama Michuano hii Siku za karibuni imepoteza Mvuto Sijui shida nini Caf wafanyefanye mambo ile ladha yake irudi.
Nakumbuka ile Fainali 2000 Nigeria Vs Cameroon muda wa Kawaida tokeo 2-2 Nigeria anakuja kufa kwenye Matuta 3-4 Kanu na Ikpepa wanakosa mikwaju yao ile ndo ilikua Fainali Kwa kweli, Daa hata msosi Sikula manake nlikua team Nigeria ila round hii ntawamiss Nigeria
Baada ya Misri ya Shehata kuanza kubeba Kombe ile ya kulifuatilia ikaisha Mpaka Zambia Anakuja kubeba tena chini ya Kina Mweene,Mayuka,Katongo,Sunzu
Ntawapa Shavu Uganda Msimu huu
Shida ni hii interval kuhama miaka shufwa kuja witiri, lakini pia miaka hii ndo ilitarajiwa kuwa na mvuto kuliko enz za akina olembe, lualua etc cha ajabu Hanna vipaji, hamna real talents, wachezaji walobaki wana mipira ya darasani sio natural talent
Zaidi ya diamond unataka nini?Taifa star vp itashiriki?
Mkuu hata Congo pia ina wachezaji wazuri wenye vipajiHapo kwenye black'
Wenye real Talents kwa afrika ni ALGERIA,TUNISIA, EGYPT na NIGERIA kwa mbali..Ghana miaka ya hivi karibuni walikuwa wazuri ghafla wakadrop..lkn hao niliokutajia hapo juu ni mashine ile mbaya usiombe ukutanenao...
EGYPT-ALGERIA' Final
EGYPT bingwa
Mkuu hata Congo pia ina wachezaji wazuri wenye vipaji
Si ndo leo? Saa ngapi?January 14
Yeah... Hawana majina sanalakini timu yao iko well organized ikiundwa na vipaji haswaa.Ofcoz Mkuu Lizarazu! japo sijawafuatilia kwa vizuri..