Africa Cup of Nations (AFCON) 2017, Special thread

Africa Cup of Nations (AFCON) 2017, Special thread

Tatizo anataka kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja...hata michael jackson tu kuimba na kucheza kunamsumbua...ila still chibu kafanya vyema.
yah ni kweli....mbn mahombi mwenzie katulia frsh...alikua akiruka ruka anakaa kimya...akiimba anaacha kuruka ruka....yn kuimba na kucheza vnapokezana
 
Pole sana Chibu, hiyo Flag INA GUNDU.... Umechemsha sana Hommie
 
yah ni kweli....mbn mahombi mwenzie katulia frsh...alikua akiruka ruka anakaa kimya...akiimba anaacha kuruka ruka....yn kuimba na kucheza vnapokezana
yah ni kweli....mbn mahombi mwenzie katulia frsh...alikua akiruka ruka anakaa kimya...akiimba anaacha kuruka ruka....yn kuimba na kucheza vnapokezana
ila kafanya vyema sana imependeza though...
 
hajajua kucheza na mic bado cjui anajisahau....anarudia makosa yale yale...kuimba uku unaruka ruka lzm sauti ickike vbyaa....ila kajitahd
Alafu kwa halaiki kama ile alitakiwa angalau asalimie kwa kifaransaba agalau watu waamke...alikua kama vile yuko chumban anamuimbia zari....davido na yeye ni kanjanja tu
 
Back
Top Bottom