Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu jamaa anaeimba sasa hivi nani mkuu?Tatizo anataka kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja...hata michael jackson tu kuimba na kucheza kunamsumbua...ila still chibu kafanya vyema.
wewe Fundi umeongea.....sure embu angalia booba anavokamua na sauti inasikika classic na anakamua fresh heavy voicehajajua kucheza na mic bado cjui anajisahau....anarudia makosa yale yale...kuimba uku unaruka ruka lzm sauti ickike vbyaa....ila kajitahd
yah ni kweli....mbn mahombi mwenzie katulia frsh...alikua akiruka ruka anakaa kimya...akiimba anaacha kuruka ruka....yn kuimba na kucheza vnapokezanaTatizo anataka kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja...hata michael jackson tu kuimba na kucheza kunamsumbua...ila still chibu kafanya vyema.
huyu jamaa anaeimba sasa hivi nani mkuu?
hana sauti kabisa yule ni dansa tuhajajua kucheza na mic bado cjui anajisahau....anarudia makosa yale yale...kuimba uku unaruka ruka lzm sauti ickike vbyaa....ila kajitahd
ni wa africa? yaani unaweza utangaze ndoaBooba.
Mwili mkubwa ila sauti ya kichumba.
yah ni kweli....mbn mahombi mwenzie katulia frsh...alikua akiruka ruka anakaa kimya...akiimba anaacha kuruka ruka....yn kuimba na kucheza vnapokezana
ila kafanya vyema sana imependeza though...yah ni kweli....mbn mahombi mwenzie katulia frsh...alikua akiruka ruka anakaa kimya...akiimba anaacha kuruka ruka....yn kuimba na kucheza vnapokezana
Aisee kweliPole sana Chibu, hiyo Flag INA GUNDU.... Umechemsha sana Hommie
sikia wanaume wanavoimba hawatumiii nguvuPole sana Chibu, hiyo Flag INA GUNDU.... Umechemsha sana Hommie
hahaaaa. kwanini mkuu
Vip we ulimuelewa alichokua anaimba..ni ile uzalendo tu lakini hakuna kitu..hahaaaa. kwanini mkuu
mkuu sikiliza ngoma zake nyingine B20 sauti heavy-duty heavyweightBooba.
Mwili mkubwa ila sauti ya kichumba.
Boob nahisi ni mGabon/msenegal huyu msela naona wanamuelewa sana uwanjani....ana swaga za kinyamwezi sana.huyu jamaa anaeimba sasa hivi nani mkuu?
ni wa africa? yaani unaweza utangaze ndoa
[emoji23] Miss Natafuta hajapata tu bado....yeah ni mwafrika ila mfaransa tú based in Paris. mshua msenegal bi mkubwa mfaransani wa africa? yaani unaweza utangaze ndoa
Alafu kwa halaiki kama ile alitakiwa angalau asalimie kwa kifaransaba agalau watu waamke...alikua kama vile yuko chumban anamuimbia zari....davido na yeye ni kanjanja tuhajajua kucheza na mic bado cjui anajisahau....anarudia makosa yale yale...kuimba uku unaruka ruka lzm sauti ickike vbyaa....ila kajitahd
anakubalika sana French speaking country...ka revolutionize rap za ki wutang wutang kazipeleka Paris na akakubalikaBoob nahisi ni mGabon/msenegal huyu msela naona wanamuelewa sana uwanjani....ana swaga za kinyamwezi sana.
ZBC2Wanaonyesha channel gan?,natumi king'amzi cha azam