Africa footbal league (AFL) imefikia wapi? Mbona mwaka huu haijachezwa

Africa footbal league (AFL) imefikia wapi? Mbona mwaka huu haijachezwa

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Nakumbuka mwaka jana miezi kama hii ndio AFL ilizinduliwa na tukaambiwa hiiyo ndo itakuwa ligi kuu kubwa zaid badal ya CAF Championship CAFCC.

Sas naona kimya as if hakuna lolote lile na sioni dalili za kufanyia kwa ligi hii.

Sasa basi kupitia jukwaa hili naombeni taarifa rasmi ni nini kimetokea.

Noted, Nimeambiwa AFL makao yake makuu ni Rwanda, kigali pia mimi Dr niwata wacc email yangu hiyo
 
Nakumbuka mwaka jana miezi kama hii ndio AFL ilizinduliwa na tukaambiwa hiiyo ndo itakuwa ligi kuu kubwa zaid badal ya CAF Championship CAFCC.

Sas naona kimya as if hakuna lolote lile na sioni dalili za kufanyia kwa ligi hii.

Sasa basi kupitia jukwaa hili naombeni taarifa rasmi ni nini kimetokea.

Noted, Nimeambiwa AFL makao yake makuu ni Rwanda, kigali pia mimi Dr niwata wacc email yangu hiyo
Waulize Makolo mana wao wapo kwenye Chama hiki
👇👇
🌈
 
Nakumbuka mwaka jana miezi kama hii ndio AFL ilizinduliwa na tukaambiwa hiiyo ndo itakuwa ligi kuu kubwa zaid badal ya CAF Championship CAFCC.

Sas naona kimya as if hakuna lolote lile na sioni dalili za kufanyia kwa ligi hii.

Sasa basi kupitia jukwaa hili naombeni taarifa rasmi ni nini kimetokea.

Noted, Nimeambiwa AFL makao yake makuu ni Rwanda, kigali pia mimi Dr niwata wacc email yangu hiyo
Mwaka huu imeahirishwa ,wanataka wamalize msimu huu Ili next year wafute confederation wa introduce hiyo AFL.

So Simba anashiriki mashindano yaliyofutwa
 
Back
Top Bottom