Africa history made (Marejeo)

LEO KATIKA HISTORIA

By Malisa GJ,

Mwaka 1952 Baraza kuu la dola ya Wachagga (Chagga Supreme council) liliketi kumchagua Mangi Mkuu. Wagombea walikua watano. Abdieli Shangali wa Machame, Jackson Kitali wa Mbokomu, Petro Marealle wa Vunjo, John Maruma wa Rombo, na Thomas Marealle wa Marangu.

Baada ya mchujo walibaki Abdiel Shangali (kushoto), Petro Marealle (katikati) na Thomas Marealle (kulia). Baada ya kila mgombea kunadi sera zake, kura zilipigwa na Thomas Marealle kutangazwa mshindi.

Dola ya wachagga ilikua na muundo sawa na dola ya Uingereza (United Kingdoms). Kulikua na "nchi" kadhaa zilizounda dola hiyo. Kwa mfano Old Moshi ilikua na serikali yake, Mangi wake na jeshi lake, vivyo hivyo Uru, Kibosho, Machame, Marangu, Keni etc.

Jumla ya "nchi" 10 zilijiendesha independently, kisha zikaunda serikali ya pamoja (Federal government). Mangi Mkuu ndiye aliyekuwa Kiongozi mkuu wa "Federal government" iliyounganisha "nchi" zote 10. Alichaguliwa na Baraza la kuu la uongozi (Supreme council) ambacho kilikua chombo kikuu cha kusimamia utendaji wa serikali. Kiliundwa na Wamangi na Wachili.

Federal government ilisimamia mambo ya pamoja kama vile uchumi, diplomasia na mambo ya nje, huku mambo mengine kama miundombinu, elimu na afya yakiachwa kwa serikali za "nchi" husika.

Federal government ilifanikiwa kuanzisha sarafu yake, kuunda bendera ya shirikisho na kufungua ofisi za ubalozi Uingereza, Zanzibar na Oman. Pia mwaka 1920 ilianzisha gazeti lake lililoitwa KOMKYA, ambalo lilikua gazeti la kwanza la wazawa Afrika mashariki kabla ya Buruuli la Buganda na Imperial la Zanzibar yaliyoanzishwa 1930.

Moja ya sababu iliyomfanya Thomas Marealle kushinda kiti cha Umangi Mkuu ni elimu. Alikua mgombea pekee mwenye shahada ya uzamili (masters degree) wakati huo.

Wakati Tanganyika inapata Uhuru kulikua wachumi wawili tu wazawa ambao ni Thomas Marealle na Fredrick Mchauru. Wote wawili walisoma London School of Economics na kutunukiwa shahada za uchumi. Lakini Marealle alipata ufadhili kwenda Cambridge University (Trinity College) kufanya shahada ya pili ya uchumi.

NB: Picha ya pili, Mangi Marealle akihutubia "Chagga Supreme Council" mara baada ya kutangazwa mshindi.!
 
THE MOORS!!!!

The Moors were a group of North African inhabitants who conquered and ruled Spain for nearly 781 years, from 711 to 1492. They entered the Iberian Peninsula, Spain after crossing the Strait of Gibraltar, passing through Morocco. The African Moors were known for their exceptional architecture and engineering skills, and they built numerous impressive structures such as universities and mosques in Spain, which still stand to this day.

They made significant contributions to various fields, including Mathematics, Medicine, Chemistry, Philosophy, Astronomy, Botany, Masonry, and History. The African Moors were the first to introduce the use of Arabic numerals to Europe, which are still used today. They also made significant advancements in medicine, developing treatments for various illnesses and diseases, and creating medical textbooks that were widely used.

In addition, the African Moors were skilled astronomers and developed advanced techniques for measuring time and determining the position of celestial bodies. They also made significant contributions to botany, introducing new plants to Spain and creating gardens that were admired by many.

The African Moors were also known for their expertise in masonry, and they built numerous impressive structures such as the Alhambra palace in Granada, which is considered one of the most beautiful and impressive buildings in the world. Finally, they also wrote extensively about their history, creating numerous historical texts that are still studied today.

Ancient African Kingdoms

Black History

#Moors #Spain
 
Tuareg berbers peoples! North Africa
They are a semi-nomadic people, and are descended from the indigenous Berber communities of Northern Africa,
The Tuareg are justly famed as the founders of Timbuktu, which began as a small Tuareg village around 1100 A.D.
Ancient African Kingdoms
Black history
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…