Africa is a resource rich continent but its' people remain miserably poor. Ever asked yourself why? Get the answer here

Africa is a resource rich continent but its' people remain miserably poor. Ever asked yourself why? Get the answer here

Hakuna mwafrika mwenye akili ya kumletea maendeleo mwafrika mwenzake ni nature, hadi tutakapofikia level ya maturity labda.
 
Ndio Extrovert,hii document inaonyesha wazi kwamba Magufuli walimuua kwa kuwa alikwenda kinyume na interests zao.
That Dog died of covid 19,no body killed him,he killed many people here I TZ,tuache uvivu wa kufikili,hizi ni akili za kijinga sana kama waumin wa Mwamposa wanaoamini wakimpelekea pesa ndio matatizo yao yatapata ufumbuzi,harafu Asubuh wanaenda kazini kiwanda Cha wachina kufsnya kazi na kulipwa mshahara,anayewalipa Wala haendi kanisani,ila kawapa ajira,amekuja bongo akaona fulsa akafungua kiwanda Cha kutengeneza stiki za meno,maana bongo miti si ipo mingi!

akawaajiri kibao walokole ambao wanashinda kwa mwamposa kutafuta miujiza
 
It is strange that you strongIy believe the West has nothing to do with the misery Africa finds itself in,but that is snonymous to white washing a grave!!!Yes African leaders have some part to play in Africas' poverty,but you cannot deny the fact that the West is to a greater part responsible for Africas' poverty.I do not need to argue with you too much on that.Please read this 👇classic book for more details on how "Europe underdeveloped Africa."

My question however always is,why should you protect the West for all the evil they have done to us,and why should you deny what they themselves admit have done to us.What do you gain by such actions?? It is simply ridiculous.

Am not protecting any body,am not denying anything,what am saying for sixty ,60yrs now we can not sit and throw our hand and say,you know what western power are responsible for our misery,there is nothing we can do!!,it's true they did,are doing bad things here in Afrika,then what!!,should we retire and say camon men,nothing we can do,these guys are interfering in our affairs!!!why don't we follow China,Korea,Vietnam,Singapore,
Imagine what is going in Ngorongoro,judicial killings which happened during JPM era,Africsns killing Africsns,imagine the state capture in SA,corruption in Kenya,assassination of Tom mboya,Robert ouko,there was no western power hands,in there,
Our problems,are with in,we Africsns are our own threat!!!after almost a century we can not still be blaming whites for our misery as if there is nothing we can do!!,that is denial!!

Yes, slavery, colonisation and all bad things of biblical proportional were done here,to us,so what!are u saying we can not have our Elon musk, bill gates, dangotes, untill the whites stop meddling in our affairs!!!!,mh mh,
Let me read that book,I have read many
 
.... kwa zaidi ya 80% matatizo ya africa chanzo chake ni leadership. Hayo mengine ni hekaya za abunuasi.
Na kwenye leadership issue kubwa ni tatizo la ubinafsi
 
That Dog died of covid 19,no body killed him,he killed many people here I TZ,tuache uvivu wa kufikili,hizi ni akili za kijinga sana kama waumin wa Mwamposa wanaoamini wakimpelekea pesa ndio matatizo yao yatapata ufumbuzi,harafu Asubuh wanaenda kazini kiwanda Cha wachina kufsnya kazi na kulipwa mshahara,anayewalipa Wala haendi kanisani,ila kawapa ajira,amekuja bongo akaona fulsa akafungua kiwanda Cha kutengeneza stiki za meno,maana bongo miti si ipo mingi!!!,akawaajiri kibao walokole ambao wanashinda kwa mwamposa kutafuta miujiza
Hapa umechanganya mambo mawili akili na imani.Hata wachina Wana imani.
 
.... kwa zaidi ya 80% matatizo ya africa chanzo chake ni leadership. Hayo mengine ni hekaya za abunuasi.
Hapo umechanganya madesa abunuasi ni genius...yeye abunuasi ndiye alikuwa mtz wa kwanza kutambua kuwa adui yetu wa africa ni viongozi wetu ...tena kuna hadithi nyingine inaonyesha abunuasi alivyo tusaidia watz kujua kuwa hata ugonjwa wa kipindupindu unatokana na viongozi ...toka jpm alipo chukua nchi kipindupindu kikakoma tz ....itafute ile hadithi ya bunuasi ambayo alienda kwa mfalme na kuomba kibali cha kuua nzi.....kisha isome kwa akili ya jicho la 6 ndipo utakapo tambua kuwa abunuasi ni genius mkubwa sana
 
Hapo umechanganya madesa abunuasi ni genius...yeye abunuasi ndiye alikuwa mtz wa kwanza kutambua kuwa adui yetu wa africa ni viongozi wetu ...tena kuna hadithi nyingine inaonyesha abunuasi alivyo tusaidia watz kujua kuwa hata ugonjwa wa kipindupindu unatokana na viongozi ...toka jpm alipo chukua nchi kipindupindu kikakoma tz ....itafute ile hadithi ya bunuasi ambayo alienda kwa mfalme na kuomba kibali cha kuua nzi.....kisha isome kwa akili ya jicho la 6 ndipo utakapo tambua kuwa abunuasi ni genius mkubwa sana
... shukrani Mkuu kwa ufafanuzi murua kumhusu genius Abunuasi. By the way, kwenye post yangu, the character Abunuasi nimemtumia literally anavyofahamika mtaani. Wewe umeenda kisomi sana.
 
Do you know why the African elite, African wealth and African heads of state are at the service of the West? Do you know why apartheid, colonization, neocolonialism or even Françafrique existed? Do you wonder why the African is poor when his continent is full of so much wealth? Have you ever wondered why the black continent only knows despots who squander without qualms the public funds that they then deposit in the West? Do you know why African nationalists (Lumumba, Sankara, Edouardo Mondlane or Amilcar Cabral) were assassinated?

Do you know why the peoples of Africa are gagged or why do the Western "democrats" support dictatorship and spread the red carpet to welcome with pomp the potentates who govern us?

To all these questions, the Franco-Ivorian Mireille Saki found the answer at the Royal Museum for Central Africa in Tervuren, Belgium. She discovered there an unpublished document long kept secret: the Charter of Imperialism. In this protocol of 28 articles is the macabre plan which maintains the African in misery and which submits Africa in bondage.

“This charter was drawn up in Washington during the slave trade, then discreetly negotiated at the Berlin Conference in 1885 while the Western powers were dividing up Africa; secretly renegotiated in Yalta when the world was divided into two blocks after the Second World War and during the creation of the League of Nations, the ancestor of the UN.

The ills from which Africa suffers are not the result of chance. They have been planned for centuries. The African who we wondered if he had a soul is on a drip by the will of the masters of the world.

Mireille Saki gutted the boa by publishing this exclusive document in her book entitled
THE CHARTER OF IMPERIALISM:
A CHARTER OF SERVITUDE, AFRICA STILL DOMINATED IN CAMERA.

FOLLOW...

THE CHARTER OF IMPERIALISM

GENERAL PROVISION

Item 1
Of the Motto: – MOTTO OF IMPERIALISM: To govern the world and control the wealth of the planet; Our policy is to divide and conquer, dominate, exploit and plunder to fill our banks and make them the most powerful in the world.

Item 2
No Third World country is a sovereign and independent state.

Item 3
All power in Third World countries emanates from us, who exercise it through pressure on the leaders who are only our puppets. No body in the Third World can assume the exercise of it.

Item 4
All Third World countries are divisible and their borders movable according to our will. Respect for territorial integrity does not exist for the Third World.

Item 5
All dictators must put their fortunes in our banks for the security of our interests. This fortune will be used for donations and credits granted by us as assistance and development aid to Third World countries.


II. OF THE POLITICAL REGIME

Item 6
All power and government established by us is legal, legitimate and democratic. But any other power or government that does not emanate from us is illegal, illegitimate and dictatorial, whatever its form and legitimacy.

Item 7
Any power that opposes the slightest resistance to our injunctions thereby loses its legality, its legitimacy and its credibility. He must disappear.

III. TREATIES AND AGREEMENTS

Item 8
We do not negotiate agreements and contracts with Third World countries, we impose what we want on them and they submit to our will.

Item 9
Any agreement concluded with another country or negotiation without our endorsement is null and void.

IV. FUNDAMENTAL RIGHTS

Item 10
Where there are our interests, third world countries have no rights, in southern countries, our interests come before the law and international law.

Section 11
Freedom of expression, freedom of association and human rights only have meaning in the country where the rulers oppose our will.

Item 12
The peoples of the Third World have no opinion or right, they submit to our law and our right.

Item 13
Third world countries have neither culture nor civilization without referring to Western civilization.

Item 14
We are not talking about genocide, massacres, war crimes or crimes against humanity in countries where our interests are guaranteed. Even if the number of victims is very important.

V. PUBLIC FINANCES

Item 15
In third world countries, no one has the right to put in their banks more than a ceiling of money set by us. When the fortune exceeds the ceiling, it is deposited in one of our banks so that the profits return in the form of loans or economic aid for development in cash or in kind.

Item 16
Only countries whose leaders show total submission to us, our puppets and our servants, will be entitled to the aforementioned aid.

Section 17
Our aid must be accompanied by strong recommendations likely to prevent and disrupt any development action by Third World countries.


VI. MILITARY TREATIES

Item 18
Our armies must always be stronger and more powerful than the armies of Third World countries. Limiting and prohibiting weapons of mass destruction does not concern us, but others.

Section 19
Our armies must help each other and unite in war against the army of a weak country to display our supremacy and be feared by third world countries.

Item 20
Any military intervention aims to protect our interests and those of our servants.

Section 21
Any evacuation operation of nationals of Western countries hides our real mission, that of protecting our interests and those of our valets.


VII. INTERNATIONAL AGREEMENTS

Section 22
The UN is our instrument, we must use it against our enemies and third world countries to protect our interests.

Section 23
Our objective is to destabilize and destroy the regimes that are hostile to us and install our puppets under the protection of our soldiers under the cover of the mandates of the UN forces.

Item 24
UN Resolutions are texts that give us the right and the means to strike, kill and destroy countries whose leaders and peoples refuse to submit to our injunctions under the cover of Security Council Resolutions of the UN.

Item 25
Our duty is to maintain Africa and other countries of the world in underdevelopment, misery, division, wars, chaos in order to dominate them, exploit them and plunder them through the United Nations Missions .

Section 26
Our rule of thumb is the physical liquidation of Third World nationalist leaders and leaders.

Section 27
The laws, resolutions, courts and tribunals of the United Nations are our instruments of pressure against the rulers and leaders of countries who defend the interests of their peoples.

Section 28
Leaders of Western powers cannot be prosecuted, arrested or imprisoned by UN courts and tribunals, even if they commit war crimes, genocide or crimes against humanity.

It is edifying this Royal Museum of Central Africa of Tervuren in Brussels in Belgium. It is a living witness to the slave trade ⚫ by white settlers. 😡😡
Wee jamaa unaleta tantalila nyingii. Tatizo la kwanza ni hilo la lugha. Mengine ndio yanafuata.
 
Wee jamaa unaleta tantalila nyingii. Tatizo la kwanza ni hilo la lugha. Mengine ndio yanafuata.
Mtapitwa mengi,Kingereza mbona ni kama Kigogo tu,ulipaswa kukijua pia.Tatizo ni kwamba mnakiona kigumu,ndio maana hamkiwezi.Pole.
 
Mtapitwa mengi,Kingereza mbona ni kama Kigogo tu,ulipaswa kukijua pia.Tatizo ni kwamba mnakiona kigumu,ndio maana hamkiwezi.Pole.
Sasa uoni kwamba tatizo la kwanza kwa africa ni hapo kwenye lugha.
 
We have wrapped onto their systems through democracy, religions and education.

No ways outdoors.. we needed reformation on our admistration apparatus apart from theirs. Why Chinese managed to do so??
 
We have wrapped onto their systems through democracy, religions and education... No ways outdoors.. we needed reformation on our admistration apparatus apart from theirs. Why Chinese managed to do so??
China is a model for the New World Order,so it is their brainchild,msidanganyike.
 
Todays problems in the third world were/are partly caused by west and partly by third world people themselves, each one of them.

If i am to estimate percentage-wise i would say 30% of problems in third world were and are still caused by Westeners and 70% by third world itself.

How did/do we cause 70% of problems?
1. Well, we welcomed Vasco Da Gama and his men. If that was not enough we welcomed treacherous Karl Peters and the like... we signed stupid treaties with these people selling our land.

2. We did not develop enough military prowess to fight the invaders, we were the ones responsible to defend ourselves, NO ONE FROM OUTSIDE WAS. We failed and they enslaved us for hundreds of years!

3. In mid-late 20th century we did the biggest mistake in African history- not learning from our past mistakes!!


How do/did westerners cause 30% of our problems?:
They came to Africa trying to get away from their miseries in Europe, finding us in a such primitive environment with unsophisticated fighting force, appalling poverty and rich land, they took advantage of it and that was one step to their today’s success story that we are truly and deeply envious of.

Again in the mid 20th C after flag independence we repeated the same mistakes, and they did what they always do best, taking advantage of the third world mistakes.

In the 21st C Here we are, confused, some of us knows exactly what’s happening but too cowards to do anything meaningful we end up writing and complaining online.
Many of us not knowing what’s going on keep living our lives believing that this is our fate, its what God planned for us.

We got ourselves in this by allowing them to do what they did to us, WE ARE THE ONES TO GET OURSELVES OUT OF THIS!

And it is possible, it is very possible to be truly free again and developed. It is possible to have our own competent Engeneers, it is possible to have our own nuclear, it is possible to have our own theories, it is possible to live hunger-free, it is possible for Africa to PROSPER!
It is possible.
 
Kila epoch ahead tutakuwa na hadithi hizi hizi za kutoa lawama kwa west na Us ila ukweli ulio wazi ni kwamba sisi waafrika wenyewe ndo chanzo hili hata B.W.Botha alisha sema "mwafrika hawezi kujitawala". Ukitaka kuangalia hili angalia matendo ya viongozi wetu mikataba ya hovyo ya madini walio ingia na mabeberu,Rushwa mifano ilo dhahiri kabisa Escrow, Richmond,EPA nk

Angalia tatizo lingine Tanzania tuna jenga reli ya kisasa kabisa ya SGR cha kushangazaa vichwa used vya treni ndo vinakuja kutumika katika hili pia tuwalaumu wazungu? Nilikuwa nampinga JPM kwa baadhi ya vitu lakini hili asinge kubali ujinga huu wa wazi wazi.

Matumizi yasiyo ya lazima kwa pesa ya umma ni ajabu waziri kuruka na chopa kwa nchi masikini Kama yetu lengo kuhamasisha uwekaji wa anuani za makazi [emoji1787].

Tumebarikiwa natural resources nyingi mfano gesi ya asili Cha kushangaa angalia bei ya gesi kwa wananchi ni kichekesho,kwenye madini ndo kabisa Kuna mambo ya ajabu ya karne.

Tunayo ardhi yenye rutuba angalia sera ya kilimo Kama "kilimo kwanza" iliishia wapi?

Tulikuwa na viwanda vingi Sana mfano Tanganyika parks,Urafiki, General tyre,Mwatex kwa kuvitaja vichache viko wapi? Au mabeberu walihujumu, Mwisho tuna agiza hata vijiti vya kuchokonolea meno china.

Taifa kuendeshwa kwa matamko na utashi wa Mtu binafsi awamu ya kwanza "Ujamaa na kujitegemea",awamu ya pili "Ruksa",awamu ya tatu "ukweli na uwazi",awamu ya nne " ari mpya nguvu mpya na kasi ya ajabu + maisha bora kwa kila mtanzania" awamu ya tano "Hapa kazi tu + Tanzania ya viwanda" awamu ya sita "kazi iendele"

Watu Kama wakina water Rodney waliandika vitabu mfano "How European undermine Africa" lengo lilikuwa kwa waafrika kujifanza ili kujikomboa sio kutumia kama justification ya kutoendelea kwa waafrika maana historia iko wazi kabisa sio mataifa ya Afrika ndo yametawaiwa pekee katika dunia hii.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom