Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm!

Niga kufa na mafua ya korona ni laana, ww ni motoni moja kwa moja
 
Amen. Tungekuwa na immune nzuri basi malaria, typoid, minyoo, ebola, nk zingekuwa kama kahoma kakawaida tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikifika hali hii ndipo uongeze kufanya mzaha
View attachment 1403264

View attachment 1403269

Huyu ni mdudu gani anayeua watu hivi?

Je, hii haiwezi kuwa ni adhabu Mungu kaichilia kutufundisha kitu fulani kweli??

Health sector ya nchi za kia - Afrika iko duni na hovyo sana....

Wengi wa viongozi wa nchi zetu za ki - Afrika ikiwemo Tanzania wana mizaha sana wakidhani wao wanaishi sayari nyingine, siyo hii ya dunia na kwamba tuna ukuta mrefu sana kuzuia maambukizi.....

Mfano wa hapa Tanzania, adui anabisha hodi mlangoni, lakini Rais wetu badala awe ofisini akiongoza kufikiri na kupanga mikakati ya mapambano, jamaa (Magufuli) ni kama hana habari vile badala yake anaenda PICNIC na kupiga SELFIE na kuzirusha picha hizo mtandaoni.....!!

Daaah, utoto kabisa huo.....

Janga hili likiingia, litavuna maisha ya watu mamilioni. Greda/Bulldozers ndizo zitakuwa zinazika watu, maana kutakuwa hakuna msiba wala matanga....

For sure kabisa, hii inatisha sana. Hata sina hakika tukianza kufa hivi kama tutazikwa tukiwa kwenye majeneza (mbao) maana mafundi majeneza nao si ajabu waweza kuwa ni wafu nao...!!

Mungu tumekosa, tumekutenda dhambi. Tunatubu. Tunakusihi kwa Rehema na Neema ya Yesu Kristo utuepushe na janga hili. Wewe ni Mungu wetu, Baba yetu mwenye nguvu na uweza wote. Tunakuabudu na kukutukuza wewe tu. AMINA...!
 
Hapa ndio naanza kuamini kwanini waafrika tulichukuliwa utumwani aisee waafrika ni wagumu na wanahimili/wamezoea kuishi na magonjwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…