The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Korea Kusini imesaini mikataba 50 ya biashara,mikopo na sekta za Rasilimali na Nchi za Afrika ikiwemo Tanzania.
Rais wa Korea amesema anaendesha sera ya ushirikiano wenye faida kwa.pande Mbili huku akisema Nchi yake itaongeza Msaada Kwa Nchi za Afrika Hadi Dola Bilioni 10 ndani ya miaka 5 ijayo.
Aidha amesema atapanua biashara baina ya Afrika na Korea Hadi kufikia Dola Bilioni 14.
---
Takriban makubaliano na mikataba 50 imetiwa saini wakati wa mkutano wa kwanza wa kilele wa Korea Kusini na viongozi kutoka nchi 48 za Afrika, ili kushirikiana katika masuala yanayohusu madini, nishati na utengenezaji wa bidhaa, wizara ya viwanda ya Korea Kusini ilisema Jumatano.
Kampuni ya Korea Kusini ya Hyosung Corp ilitia saini mkataba wa kusambaza transfoma za umeme nchini Msumbiji zenye thamani ya dola milioni 30, wizara ilisema katika taarifa.
Wizara ya viwanda pia ilitia saini makubaliano ya kushirikiana katika madini muhimu na Madagaska na Tanzania, ili kupata vifaa kwa ajili ya viwanda kama vile betri, ilisema taarifa hiyo.
Makubaliano hayo 47 na mataifa 23 ya Afrika yalifanywa wakati wa mkutano huo huku nchi hiyo ya nne kwa ukubwa wa kiuchumi barani Asia, ikinuia kupata soko kubwa la nje, barani Afrika.
"Pamoja na uwezo wake mkubwa, Afrika bado inachangia asilimia 1-2 tu ya biashara na uwekezaji wa Korea Kusini..." Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol aliuambia mkutano huo wa kibiashara, wa viongozi 200 wa kisiasa na viwanda kutoka nchi za Afrika na Korea Kusini, siku ya Jumatano.
"Matumaini yangu ni kwamba ushirikiano wa rasilimali wenye manufaa kwa pande zote utapanuliwa," Yoon alisema.
Yoon aliahidi Jumanne kwamba Korea Kusini itaongeza msaada wa maendeleo kwa Afrika hadi dola bilioni 10 katika kipindi cha miaka sita ijayo, na kusema itatoa dola bilioni 14 katika ufadhili wa mauzo ya nje ili kukuza biashara na uwekezaji kwa makampuni ya Korea Kusini barani Afrika.
VOA.
My Take
South-South Cooperation ni Muhimu zaidi kiuchumi kuliko Ushirika na West,Russia na China.
---
South Korea is hosting at least 30 heads of state, including Tanzania and Ethiopia, at a South Korea-Africa summit this week.
Tanzania said it will borrow $2.5 billion over the next five years from South Korea through concessional loans.
The country also signed two accords on Korean use of its ocean resources and minerals used in clean energy technologies such as nickel, lithium and graphite, presidential spokesperson Zuhura Yunus said on Sunday.
Ethiopia, a fast-growing economy with 126 million people, signed a $1 billion financing deal over four years for infrastructure, science and technology, health and urban development, the state-affiliated Fana media outlet said.
Tanzanian President Samia Suluhu Hassan is also seeking cooperation in sectors including sustainable use of ocean resources, development of natural gas deposits and creative industries, and for Tanzania to supply labour to South Korea, according to Yunus.
Since Friday, South Korean President Yoon Suk Yeol has held meetings with the leaders of Sierra Leone, Tanzania and Ethiopia and was due to meet separately with heads of other states including Zimbabwe, Togo, Rwanda and Mozambique on Monday.
Rais wa Korea amesema anaendesha sera ya ushirikiano wenye faida kwa.pande Mbili huku akisema Nchi yake itaongeza Msaada Kwa Nchi za Afrika Hadi Dola Bilioni 10 ndani ya miaka 5 ijayo.
Aidha amesema atapanua biashara baina ya Afrika na Korea Hadi kufikia Dola Bilioni 14.
---
Takriban makubaliano na mikataba 50 imetiwa saini wakati wa mkutano wa kwanza wa kilele wa Korea Kusini na viongozi kutoka nchi 48 za Afrika, ili kushirikiana katika masuala yanayohusu madini, nishati na utengenezaji wa bidhaa, wizara ya viwanda ya Korea Kusini ilisema Jumatano.
Kampuni ya Korea Kusini ya Hyosung Corp ilitia saini mkataba wa kusambaza transfoma za umeme nchini Msumbiji zenye thamani ya dola milioni 30, wizara ilisema katika taarifa.
Wizara ya viwanda pia ilitia saini makubaliano ya kushirikiana katika madini muhimu na Madagaska na Tanzania, ili kupata vifaa kwa ajili ya viwanda kama vile betri, ilisema taarifa hiyo.
Makubaliano hayo 47 na mataifa 23 ya Afrika yalifanywa wakati wa mkutano huo huku nchi hiyo ya nne kwa ukubwa wa kiuchumi barani Asia, ikinuia kupata soko kubwa la nje, barani Afrika.
"Pamoja na uwezo wake mkubwa, Afrika bado inachangia asilimia 1-2 tu ya biashara na uwekezaji wa Korea Kusini..." Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol aliuambia mkutano huo wa kibiashara, wa viongozi 200 wa kisiasa na viwanda kutoka nchi za Afrika na Korea Kusini, siku ya Jumatano.
"Matumaini yangu ni kwamba ushirikiano wa rasilimali wenye manufaa kwa pande zote utapanuliwa," Yoon alisema.
Yoon aliahidi Jumanne kwamba Korea Kusini itaongeza msaada wa maendeleo kwa Afrika hadi dola bilioni 10 katika kipindi cha miaka sita ijayo, na kusema itatoa dola bilioni 14 katika ufadhili wa mauzo ya nje ili kukuza biashara na uwekezaji kwa makampuni ya Korea Kusini barani Afrika.
VOA.
My Take
South-South Cooperation ni Muhimu zaidi kiuchumi kuliko Ushirika na West,Russia na China.
---
South Korea agrees to lend billions to Tanzania, Ethiopia
Tanzania and Ethiopia said they had signed accords with South Korea for loans of billions of dollars, part of broader deals that will give the Asian nation access to Africa's crucial mineral resources and vast export market.South Korea is hosting at least 30 heads of state, including Tanzania and Ethiopia, at a South Korea-Africa summit this week.
Tanzania said it will borrow $2.5 billion over the next five years from South Korea through concessional loans.
The country also signed two accords on Korean use of its ocean resources and minerals used in clean energy technologies such as nickel, lithium and graphite, presidential spokesperson Zuhura Yunus said on Sunday.
Ethiopia, a fast-growing economy with 126 million people, signed a $1 billion financing deal over four years for infrastructure, science and technology, health and urban development, the state-affiliated Fana media outlet said.
Tanzanian President Samia Suluhu Hassan is also seeking cooperation in sectors including sustainable use of ocean resources, development of natural gas deposits and creative industries, and for Tanzania to supply labour to South Korea, according to Yunus.
Since Friday, South Korean President Yoon Suk Yeol has held meetings with the leaders of Sierra Leone, Tanzania and Ethiopia and was due to meet separately with heads of other states including Zimbabwe, Togo, Rwanda and Mozambique on Monday.