"Africa-Korea Summit" Korea Kusini Yasaini Mikataba 50 na Nchi za Afrika, Yaahidi Kutoa Misaada ya Dola Bilioni 10

"Africa-Korea Summit" Korea Kusini Yasaini Mikataba 50 na Nchi za Afrika, Yaahidi Kutoa Misaada ya Dola Bilioni 10

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
9,436
Reaction score
10,944
Korea Kusini imesaini mikataba 50 ya biashara,mikopo na sekta za Rasilimali na Nchi za Afrika ikiwemo Tanzania.

Rais wa Korea amesema anaendesha sera ya ushirikiano wenye faida kwa.pande Mbili huku akisema Nchi yake itaongeza Msaada Kwa Nchi za Afrika Hadi Dola Bilioni 10 ndani ya miaka 5 ijayo.

Aidha amesema atapanua biashara baina ya Afrika na Korea Hadi kufikia Dola Bilioni 14.
---
Takriban makubaliano na mikataba 50 imetiwa saini wakati wa mkutano wa kwanza wa kilele wa Korea Kusini na viongozi kutoka nchi 48 za Afrika, ili kushirikiana katika masuala yanayohusu madini, nishati na utengenezaji wa bidhaa, wizara ya viwanda ya Korea Kusini ilisema Jumatano.

Kampuni ya Korea Kusini ya Hyosung Corp ilitia saini mkataba wa kusambaza transfoma za umeme nchini Msumbiji zenye thamani ya dola milioni 30, wizara ilisema katika taarifa.

Wizara ya viwanda pia ilitia saini makubaliano ya kushirikiana katika madini muhimu na Madagaska na Tanzania, ili kupata vifaa kwa ajili ya viwanda kama vile betri, ilisema taarifa hiyo.

Makubaliano hayo 47 na mataifa 23 ya Afrika yalifanywa wakati wa mkutano huo huku nchi hiyo ya nne kwa ukubwa wa kiuchumi barani Asia, ikinuia kupata soko kubwa la nje, barani Afrika.

"Pamoja na uwezo wake mkubwa, Afrika bado inachangia asilimia 1-2 tu ya biashara na uwekezaji wa Korea Kusini..." Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol aliuambia mkutano huo wa kibiashara, wa viongozi 200 wa kisiasa na viwanda kutoka nchi za Afrika na Korea Kusini, siku ya Jumatano.

"Matumaini yangu ni kwamba ushirikiano wa rasilimali wenye manufaa kwa pande zote utapanuliwa," Yoon alisema.

Yoon aliahidi Jumanne kwamba Korea Kusini itaongeza msaada wa maendeleo kwa Afrika hadi dola bilioni 10 katika kipindi cha miaka sita ijayo, na kusema itatoa dola bilioni 14 katika ufadhili wa mauzo ya nje ili kukuza biashara na uwekezaji kwa makampuni ya Korea Kusini barani Afrika.

VOA.

My Take
South-South Cooperation ni Muhimu zaidi kiuchumi kuliko Ushirika na West,Russia na China.
---

South Korea agrees to lend billions to Tanzania, Ethiopia​

Tanzania and Ethiopia said they had signed accords with South Korea for loans of billions of dollars, part of broader deals that will give the Asian nation access to Africa's crucial mineral resources and vast export market.

South Korea is hosting at least 30 heads of state, including Tanzania and Ethiopia, at a South Korea-Africa summit this week.

Tanzania said it will borrow $2.5 billion over the next five years from South Korea through concessional loans.

The country also signed two accords on Korean use of its ocean resources and minerals used in clean energy technologies such as nickel, lithium and graphite, presidential spokesperson Zuhura Yunus said on Sunday.

Ethiopia, a fast-growing economy with 126 million people, signed a $1 billion financing deal over four years for infrastructure, science and technology, health and urban development, the state-affiliated Fana media outlet said.

Tanzanian President Samia Suluhu Hassan is also seeking cooperation in sectors including sustainable use of ocean resources, development of natural gas deposits and creative industries, and for Tanzania to supply labour to South Korea, according to Yunus.

Since Friday, South Korean President Yoon Suk Yeol has held meetings with the leaders of Sierra Leone, Tanzania and Ethiopia and was due to meet separately with heads of other states including Zimbabwe, Togo, Rwanda and Mozambique on Monday.
 

Presidents Ruto, Samia eye trade deals with South Korea​

East African leaders expect to close trade deals with South Korea during the first-ever Korea-Africa Summit, in which Seoul joins other major capitals such as Washington, Beijing, Moscow, New Delhi, Rome, London and Brussels to invite African leaders.

Kenya's President William Ruto is expected to arrive on Monday evening.

Some 54 African leaders or their representatives began arriving in Seoul on Saturday. Tanzanian President Samia Suluhu Hassan and Rwanda’s Paul Kagame indicated they had already arrived. Uganda is being represented by Vice President Jessica Alupo.

State House in Nairobi said the visit offers Kenya an opportunity to discuss a bilateral deal with South Korea to help balance their trade and investments.

“The trip will also set the stage for Kenya and South Korea to initiate negotiations for an Economic Partnership Agreement (EPA) between the two countries,” a dispatch said on Sunday.

President Ruto's trip to South Korea is the second, having visited in November 2022. At the time, the two sides agreed to a line of credit worth up to $1 billion for various sectors under what was known as the Framework Arrangement Partnership. However, the actual disbursement depends on the Korean Parliament approving every funding request.

President Ruto himself had called on South Korean lawmakers to pass legislation that will ease trade restrictions on Kenya, and Africa in general.

“The imbalance of trade favours Korea and Parliament can be instrumental in addressing this situation,” he had said after meeting South Korean legslators then. Kenya imported some Ksh50 billion ($383 million) worth of goods but only sold to South Korea about ten percent of that value, 2022 official figures show.

This time, Kenya said agreements worth Ksh40 billion ($306 million) will be concluded “to create opportunities in Kenya’s creative economy sector, and Ksh25 billion ($191 million) for water and irrigation projects.”

“Kenya will engage South Korea in exploring technology opportunities, including developing its semiconductor industry. Additionally, Kenya will join the International Vaccine Institute (IVI) to advance its vaccine manufacturing goals.”

The Summit itself is being held under the theme of ‘The Future We Make Together: Shared Growth, Sustainability, and Solidarity’ and will be chaired by South Korean President Yoon Suk Yeol and Mauritanian counterpart Mohamed El Ghazouanu who is also the African Union chairman.

Koreans have indicated it begins “a new comprehensive strategy to engage more deeply with the Global South” and want to help “foster a mutually beneficial, sustainable, and strategic long-term partnership with Africa.”

Critics, however, have said Korea was arriving late to the party and must catch up by taking a different pattern to other rivals like China.

“The best bet is to push for a collective African free trade agreement (FTA). The Republic of Korea (ROK) has no free trade agreement (FTA) with Africa, which makes African agricultural products uncompetitive. For example, the Korean import duty for mango is 30 percent,” observed Ngovi Kitau, a former Kenyan Ambassador to South Korea. That is higher than even the US, India and Canada.

“Keep in mind that the Korean population is similar to that of Kenya, 50 million. That limits demand for consumables. A Korean EPA is not the same as the European Union, and would be viable only if you can supply intermediate content for manufacturing.”

The Summit, he added, should also come up with a formula for crafting Africa-ROK policy, aligned with Agenda 2063, to upgrade current relations to a Comprehensive Strategic Partnership at par with the United States, China, Japan, EU, EU member states, United Kingdom, Asean (Association of Southeast Asian Nations) and India.
Koreans have said in pamphlets circulated ahead of the Summit that they want to align with AU’s Agenda 2063. But it may be African leaders bargaining power to determine which country gets what.

Both Kenya and Tanzania, for example, are eyeing to benefit from Korea’s Labour Migration Programme. When President Ruto was in Seoul in 2022, they spoke of roping Nairobi into South Korea's Employment Permit System (EPS) Programme, which could see Kenya’s creative producers get contracted in Korea’s film industry, for instance.

Tanzania too is pursuing a similar arrangement and President Samia’s office said on Sunday they had already launched discussions for an EPA. An EPA is supposed to guide on issues of quality, sanitation, taxation and exemptions of exports, as well as decide quotas for imports.

Kenya has an EPA with the UK, as well as the European Union bloc and is negotiating another with the US.
Tanzania sees the EPA as a way to elevate its ties with South Korea as well, to a strategic relationship, and is eyeing investments in the blue economy, development of natural gas, and the creative industry such as film, transport and labour exports.

“A memorandum of understanding (MoU) on strategic minerals signed during the official visit will enhance Tanzania and Korea cooperation on geological survey, mining investment and beneficiation of critical minerals such as nickel, lithium and graphite,” said a dispatch from Ikulu in Tanzania.

Kenya is looking for engagements on agriculture, ICT, health, energy, infrastructure, education, affordable housing and urban transport, a dispatch showed. Meanwhile, Tanzania said it had signed a Framework Agreement to secure a $2.5 billion concessional loan from the Korea Economic Development Cooperation Fund (EDCF). The money is to be disbursed over the next five years.
 
Cha ajabu nchi hizo zina utajiri mara 100 ya thamani ya huo mkopo, mtu mweusi sijui alilaaniwa na nani
 
Korea Kusini imesaini mikataba 50 ya biashara,mikopo na sekta za Rasilimali na Nchi za Afrika ikiwemo Tanzania.

Rais wa Korea amesema anaendesha sera ya ushirikiano wenye faida kwa.pande Mbili huku akisema Nchi yake itaongeza Msaada Kwa Nchi za Afrika Hadi Dola Bilioni 10 ndani ya miaka 5 ijayo.

Aidha amesema atapanua biashara baina ya Afrika na Korea Hadi kufikia Dola Bilioni 14.
---
Takriban makubaliano na mikataba 50 imetiwa saini wakati wa mkutano wa kwanza wa kilele wa Korea Kusini na viongozi kutoka nchi 48 za Afrika, ili kushirikiana katika masuala yanayohusu madini, nishati na utengenezaji wa bidhaa, wizara ya viwanda ya Korea Kusini ilisema Jumatano.

Kampuni ya Korea Kusini ya Hyosung Corp ilitia saini mkataba wa kusambaza transfoma za umeme nchini Msumbiji zenye thamani ya dola milioni 30, wizara ilisema katika taarifa.

Wizara ya viwanda pia ilitia saini makubaliano ya kushirikiana katika madini muhimu na Madagaska na Tanzania, ili kupata vifaa kwa ajili ya viwanda kama vile betri, ilisema taarifa hiyo.

Makubaliano hayo 47 na mataifa 23 ya Afrika yalifanywa wakati wa mkutano huo huku nchi hiyo ya nne kwa ukubwa wa kiuchumi barani Asia, ikinuia kupata soko kubwa la nje, barani Afrika.

"Pamoja na uwezo wake mkubwa, Afrika bado inachangia asilimia 1-2 tu ya biashara na uwekezaji wa Korea Kusini..." Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol aliuambia mkutano huo wa kibiashara, wa viongozi 200 wa kisiasa na viwanda kutoka nchi za Afrika na Korea Kusini, siku ya Jumatano.

"Matumaini yangu ni kwamba ushirikiano wa rasilimali wenye manufaa kwa pande zote utapanuliwa," Yoon alisema.

Yoon aliahidi Jumanne kwamba Korea Kusini itaongeza msaada wa maendeleo kwa Afrika hadi dola bilioni 10 katika kipindi cha miaka sita ijayo, na kusema itatoa dola bilioni 14 katika ufadhili wa mauzo ya nje ili kukuza biashara na uwekezaji kwa makampuni ya Korea Kusini barani Afrika.

VOA

My Take
South-South Cooperation ni Muhimu zaidi kiuchumi kuliko Ushirika na West,Russia na China.
---

South Korea agrees to lend billions to Tanzania, Ethiopia​

Tanzania and Ethiopia said they had signed accords with South Korea for loans of billions of dollars, part of broader deals that will give the Asian nation access to Africa's crucial mineral resources and vast export market.

South Korea is hosting at least 30 heads of state, including Tanzania and Ethiopia, at a South Korea-Africa summit this week.

Tanzania said it will borrow $2.5 billion over the next five years from South Korea through concessional loans.

The country also signed two accords on Korean use of its ocean resources and minerals used in clean energy technologies such as nickel, lithium and graphite, presidential spokesperson Zuhura Yunus said on Sunday.

Ethiopia, a fast-growing economy with 126 million people, signed a $1 billion financing deal over four years for infrastructure, science and technology, health and urban development, the state-affiliated Fana media outlet said.

Tanzanian President Samia Suluhu Hassan is also seeking cooperation in sectors including sustainable use of ocean resources, development of natural gas deposits and creative industries, and for Tanzania to supply labour to South Korea, according to Yunus.

Since Friday, South Korean President Yoon Suk Yeol has held meetings with the leaders of Sierra Leone, Tanzania and Ethiopia and was due to meet separately with heads of other states including Zimbabwe, Togo, Rwanda and Mozambique on Monday.
😁😁😁😁 Ruto na Kagame 👇👇

View: https://twitter.com/ConradKulo/status/1797920082385113173?t=Nc369Okj9_8pUY8GZpPpoQ&s=19
 
Kina samia na ruto pamoja na wenzao wengine walioenda huko korea wanaona poa tu kupewa misaada na mikopo na ka nchi kadogo. Ila ni aibu kubwa afrika kusaidiwa na ka nchi wakati afrika ni giant ina rasimali za nyingi za kutosha kujiletea maendeleo yenyewe. Inasikitisha kwa kweli
 
Back
Top Bottom