Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
By Bondpost,
Africa imekuwa na watu wenye fikra tegemezi miaka yote hata hii move ya Waafrika kushabikia China, Russia na North Korea ni sehemu ya muendelezo wa fikra temegemzi.
Africans wamefikia sehemu hawawezi kuwa na fikra zao huru na wakajiongoza wenyewe kisiasa, kijamii, kiteknolojia, nk, despite ya advantage ya population kubwa tuliyonayo pamoja na maternity health kubwa tuliyonayo Waafrika.
KWA NINI HATUHITAJI TUKIMBILIE KWA MRUSI?
Mrusi hana tofauti na Mzungu (including China and the like) yeyote yule. Warusi nao walikuja Africa kuchuma kama walivyokuja Wazungu wengine tu, tofauti yao ni kwamba kwao walichelewa kuwa na maendeleo yaliyowalazimu kuja Africa lakini kwa kipindi hicho bado walitawala wenzao huko Ulaya.
Hivyo yawezekana ni kweli tunaona hawakufanya uharamia wa biashara za utumwa nk, kwa bara laAafrica lakini haiwafanyi wao kuwa watu wema kwetu. Kama waliweza kuwatawala Wazungu wenzao sisi ni nani kwao?
In short, Warusi walianza kuinuka zaidi wakati ilipoanza imperialism (maana imerialism includes also socialism) wao ndio wakatumia dogma zao kuja kuchuma Africa kwa kusambaza socialism. West Europe and East Europe ni ndugu wawili walioamua kutawala dunia kwa kutumia difference zao na wanaelewa wanachokifanya kwa kuwa lazima ziwepo fikra mbadala ili kusiwe na fikra huru.
So wanafikiria kwa niaba yetu hivyo hata wao sio kwamba wana nia njema na Africa. Na ndio maana East kinara akawa Russia na West kinara akapewa United States of America.
Labda ujiulize kwanini Urusi wanataka baadhi ya nchi especially Africa tuige ujamaa wao? Kwanini wapo busy kufanya biashara na africa tu? Kwanini wanatusamehe madeni ambayo walitukopesha tena kwa riba? Kumbe nao walitukopesha kwa riba hata kama ni ndogo? Je, uharamia wa china ndio siasa sahihi kwa africa? Je, kwanini dunia yote inaipigania kutawala Africa kimawazo, kisiasa, kijamii? Je, urusi wanatafuta nini africa? Ongeza na maswali yako.
MTAZAMO WANGU KUHUSU KUHAMA WAKOLONI
Binafsi nadhani kinachoendelea ni ugawaji mpya (re-division) wa Africa na dunia kwa walewale super powers. Wao wanatafuta raw materials na masoko ya bidhaa zao ili wao kwa wao washindane kiuchumi na kijeshi nk.
Sioni sababu kwa nini africa tuendelee kuchagua slave/ colonial masters kila siku. Wao wanachofanya wanagawana mali zetu na kutugeuza masoko yao. Why tusisimame wenyewe wao ndio tuwageuze masoko yetu?
Why tunataka kuhama mkoloni mmoja twende kwa mwingine? Je hii ndio uelekeo sahihi? Sidhani kama tunatatua matatizo ya Africa kwa kumkimbilia Russia ambaye ni slave/colonial master mwingine tu. Its like an old wine in a new cup (wenyewe wazungu wanasema).
The fact that they sin differently it doesn't mean they are not sinners.
In the end wao wanagawana malighafi na wanatugeuza masoko ya bidhaa wanazotengeneza halafu wakishaona kila.mmoja anapata equal share yake bila kelele basi wanakaa pamoja wanatengeneza PACT wanaiita jina fulani kwamba wamesitisha vita au msuguano then wanapiga cheers wanatung'ong'a tu.
Read the book:
The New Confessions of an Economic Hit Man- Book by John Perkins.
Africa imekuwa na watu wenye fikra tegemezi miaka yote hata hii move ya Waafrika kushabikia China, Russia na North Korea ni sehemu ya muendelezo wa fikra temegemzi.
Africans wamefikia sehemu hawawezi kuwa na fikra zao huru na wakajiongoza wenyewe kisiasa, kijamii, kiteknolojia, nk, despite ya advantage ya population kubwa tuliyonayo pamoja na maternity health kubwa tuliyonayo Waafrika.
KWA NINI HATUHITAJI TUKIMBILIE KWA MRUSI?
Mrusi hana tofauti na Mzungu (including China and the like) yeyote yule. Warusi nao walikuja Africa kuchuma kama walivyokuja Wazungu wengine tu, tofauti yao ni kwamba kwao walichelewa kuwa na maendeleo yaliyowalazimu kuja Africa lakini kwa kipindi hicho bado walitawala wenzao huko Ulaya.
Hivyo yawezekana ni kweli tunaona hawakufanya uharamia wa biashara za utumwa nk, kwa bara laAafrica lakini haiwafanyi wao kuwa watu wema kwetu. Kama waliweza kuwatawala Wazungu wenzao sisi ni nani kwao?
In short, Warusi walianza kuinuka zaidi wakati ilipoanza imperialism (maana imerialism includes also socialism) wao ndio wakatumia dogma zao kuja kuchuma Africa kwa kusambaza socialism. West Europe and East Europe ni ndugu wawili walioamua kutawala dunia kwa kutumia difference zao na wanaelewa wanachokifanya kwa kuwa lazima ziwepo fikra mbadala ili kusiwe na fikra huru.
So wanafikiria kwa niaba yetu hivyo hata wao sio kwamba wana nia njema na Africa. Na ndio maana East kinara akawa Russia na West kinara akapewa United States of America.
Labda ujiulize kwanini Urusi wanataka baadhi ya nchi especially Africa tuige ujamaa wao? Kwanini wapo busy kufanya biashara na africa tu? Kwanini wanatusamehe madeni ambayo walitukopesha tena kwa riba? Kumbe nao walitukopesha kwa riba hata kama ni ndogo? Je, uharamia wa china ndio siasa sahihi kwa africa? Je, kwanini dunia yote inaipigania kutawala Africa kimawazo, kisiasa, kijamii? Je, urusi wanatafuta nini africa? Ongeza na maswali yako.
MTAZAMO WANGU KUHUSU KUHAMA WAKOLONI
Binafsi nadhani kinachoendelea ni ugawaji mpya (re-division) wa Africa na dunia kwa walewale super powers. Wao wanatafuta raw materials na masoko ya bidhaa zao ili wao kwa wao washindane kiuchumi na kijeshi nk.
Sioni sababu kwa nini africa tuendelee kuchagua slave/ colonial masters kila siku. Wao wanachofanya wanagawana mali zetu na kutugeuza masoko yao. Why tusisimame wenyewe wao ndio tuwageuze masoko yetu?
Why tunataka kuhama mkoloni mmoja twende kwa mwingine? Je hii ndio uelekeo sahihi? Sidhani kama tunatatua matatizo ya Africa kwa kumkimbilia Russia ambaye ni slave/colonial master mwingine tu. Its like an old wine in a new cup (wenyewe wazungu wanasema).
The fact that they sin differently it doesn't mean they are not sinners.
In the end wao wanagawana malighafi na wanatugeuza masoko ya bidhaa wanazotengeneza halafu wakishaona kila.mmoja anapata equal share yake bila kelele basi wanakaa pamoja wanatengeneza PACT wanaiita jina fulani kwamba wamesitisha vita au msuguano then wanapiga cheers wanatung'ong'a tu.
Read the book:
The New Confessions of an Economic Hit Man- Book by John Perkins.