Africa: Why are we poor and beggers?

Africa: Why are we poor and beggers?

For my self i cant open that video either you know about tozo na miamala after, so write short brief about video yako.

Up to all, Afrika tupo kuhifadhi mali kwa matumizi ya watu wengine na yawezekana ni mabeberu, hao jamaa wametupa elimu na dini ili tulemae na tusiweze kutumia akili zetu ili mali zilizopo afrika zisiweze kutumiwa na sisi wenyewe kwa manufaa yetu.

Angalia viongozi woote wa kiafrika wanapokuwa kabla ya kushika usukani wa kuongoza mataifa yao na baadaye wakiwa madarakani wanavyokuwa, kuna sumu mbaya sana ipo afrika na haijulikane imewekwa kwenye pembe gani ya bara hili, siku ikijulikna ilipo na kuondolewa ndipo utashangaa Afrika inakuwa juu kwa nyanja zote.

Chukua ule msemo wa Late Father of Nation Mwl. Julius Kambarage Nyerere Yule jamaa aliyepewa sijui shanga or goroli naye akampa beberu dhahabu jamaa akaondoka anashangilia kama zuzu...
 
The lack of transparency, accountability, safety and the rule of law; the often bloated public sectors and squeezed small businesses; patriarchy masquerading as religion and culture; high unemployment rates and, recently, jihadism destabilising the Sahel region – all these factors are keeping Africans poor.
 
Hiyo ni ngumu sana kwa Nape, Kigangala, Bulembo, Makamba & Co kuelewa.

Mama safiri, fungua nchi , tuletee handouts!
 
Because we're lazy and lack seriousness!! Shortcuts are always our motto!!
 
Bana weee!! si mkubali yaishe??? sasa hivi siyo zamu yenu kutawala Dunia tena ........nyie weusi ndo mmetwala miaka miiingi sana km siyo karne nyingi!!!

Tangu enzi za king Nimrod! mkajaaaa Misri, Ethiopia, mlitamba sana tena sana!!!1 hao unaosema wamejua matumizi ya dhahabu kutoka africa kwenu!! kasome Historia majuu kijana!!

utajiri na Mamlaka duniani unakwenda kwa mzunguko baada ya USA ni zamu ya china/japani inakuja. tutamalizia na India!! ikitoka india inaweza kuwa zamu yenu tena Frica! sawa!!

Ili uhakikishe haya jitahidi tu!! usife mapema zingatia kula vizuri kulala vizuri ndo siri ya maisha marefu zingatia hili km utakuwepo basi utafaidi matunda ya u super power!
 
Back
Top Bottom