Maoni yako hayo, kwa Sasa tunaongizwa na Jiwe kipenzi Cha Afrika yote.Tanzania siku hizi tumekuwa wapenzi wasikilizaji kama Burundi
Hawa wajinga roho chafu wangependa sana kuiona Kenya ikiporomokaKwa hivyo pia Ethiopia, Senegal, Madagascar, Swaziland na Egypt hawakubaliki Afrika pia kwa vile hawakuipata fursa hii?
Jamaa chuki yako dhidi ya Nyang'au inakupa upofu.
Acha uongo nchi zilizokuwa zimebakia ni Nigeria na Eritrea ,Nigeria wamesaini wiki iliyopita wamebakia Eritrea pekee yake nao wapo mbioni kusaini baada ya uhasama na Ethiopia kumalizikaAfCFTA ni mkataba wa nchi 52 kati ya nchi 55 za Afrika. Zilizosalia ni Tanzania, Benin na Eritrea. Kati ya nchi 52 kwenye mkataba huu zilizo'bid' kuwa makao makuu ni nchi saba, Kenya, Ghana, Ethiopia, Senegal, Madagascar, Swaziland na Egypt. Ghana wamefanikiwa, hongera zao. Nchi za Ghana na Kenya zina uhusiano wa karibu tangu zamani. Nina maswali mawili kwa mleta mada. Ghana wamefanikiwa na nchi sita zilizosalia, Kenya ikiwemo, zikatupiliwa mbali. Ina maana kwamba kwa akili zako nchi zote hizo sita zilizo'bid' lakini zikakosa kufanikiwa 'zimekataliwa'? Pili, inawahusu kivipi kama Tz(hampo kwenye mkataba wa AfCFTA) na makao makuu yenu mliosalia nje ya muungano huu wa Afrika yatakuwa wapi? Tanzania au kwa vibwengo wenzenu Benin na Eritrea?
Nimekuelewa. Miezi miwili iliyopita nchi ambazo zilikuwa zimesalia zilikuwa tatu, Tanzania, Nigeria na Eritrea. Mlifanya uamuzi wa busara, wa kujiunga na mkataba huu hata kama ilikuwa ni dakika za lala salama. Bure mngeendelea kuvimbisha kichwa ingekula kwenu.Acha uongo nchi zilizokuwa zimebakia ni Nigeria na Eritrea ,Nigeria wamesaini wiki iliyopita wamebakia Eritrea pekee yake nao wapo mbioni kusaini baada ya uhasama na Ethiopia kumalizika
Siamini hata chembe moja cha haya maneno yako. Juzi tu hapa ulituambia kwamba tayari mmetenga sehemu kubwa kule Arusha. Eti ndio yatakuwa makao makuu ya AfCFTA.If you mention about Ghana in Afrikan platform, no any fellow will show doubts.
But if you mention about Kenya, everyone will be like, tutolee hii mwizi. Asije akatupa dhahabu fake.
Ahaa haaa.
Sasa sikilizeni. Vile tulivyochukua lile bomba la mafuta. Ndivyo tutakavyo chukua makao makuu ya Muungano wa AfCFTA.
Tumeshatenga eneo tayari kule Jijini Arusha karibu na Nelson Mandela African Institute of Science and Technology, along barabara ya Arusha Ring Road (East Africa By Pass) nasikia imeshaisha sahauni. Vitu vyote seriuos kwa ajili ya Afrika (Pan Afrikan Issue). Nyie chukueni yale mashirika ya kibeberu sijui micro soft, na mengine mengi kutoka ubeberuni. Najua mtakuja na mapovu. kwa sababu you DON'T KNOW THE HISTORY OF AFRIKA.
It is an exercise in futility trying to reason with these guys. The best thing is just to give information on Kenyan exceptionalism to get them boiling with anger.Siamini hata chembe moja cha haya maneno yako. Juzi tu hapa ulituambia kwamba tayari mmetenga sehemu kubwa kule Arusha. Eti ndio yatakuwa makao ma
Kenya Ni Vibaraka wa Wazungu, hata wao wanalifahamu hilo,
Kumbuka ni Kenya pekee ilijitokeza kutetea kauli ya Trump alipoitusi Africa, pamoja na hatua ya Trump kutambua Jerusalem kama makao makuu ya Israel.
[emoji23], acha miraa buda. Nishakwambiaga mm shoga, wewe nishakusoma unasema unakula miraa. Unasingizia pun wakati u were high with miraa. Eti hawajatuma bid alafu wamekataliwa, jinga kweli we jamaa. Pun intended my foot. Acha miraa we fara.Nilishakwambiaga uache ushoga. Hapo nimeamua kutumia akili za mleta mada. Kwa kiingereza wanaita 'pun'. Kama hujaelewa jua kwamba hayakuhusu na unawashwawashwa bure tu.
This is july 2019 fool
Fara ndio nini? Kumbe ni kweli kwamba wewe ni boflo? Tena boflo mshamba? Unatakaje sasa, utaendelea na umbea wa kike au utajadili hoja? Maanake hakuna options nyingine, usinifate PM, mimi napenda papuchi na namuogopa Mungu.[emoji23], acha miraa buda. Nishakwambiaga mm shoga, wewe nishakusoma unasema unakula miraa. Unasingizia pun wakati u were high with miraa. Eti hawajatuma bid alafu wamekataliwa, jinga kweli we jamaa. Pun intended my foot. Acha miraa we fara.
Siamini hata chembe moja cha haya maneno yako. Juzi tu hapa ulituambia kwamba tayari mmetenga sehemu kubwa kule Arusha. Eti ndio yatakuwa makao makuu ya AfCFTA.