African Barrick mnafanyaje hivi?

Tulawaka kaka


Pole Wababa ma HR wa siku hizi wana matatizo ,naomba nikupe mbinu mbadala mpigie umuulize ndugu kwani unataka shilingi ngapi ,usikie jibu lake ,Kama hajakwambia kesho kutwa njoo kazini tutaongea Ila tumia akili yako ya kumuingia wanapenda mshiko sana ..mshahara wa kwanza ukitoka mnagawana ,all the best:A S-coffee:

Mie simo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…