Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
Nikifika miama 30Bado wewe sijui baada ya miaka mingapi tu
Ntaweka ya kizee sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikifika miama 30Bado wewe sijui baada ya miaka mingapi tu
Diamond akiimba nyimbo za kutulia zinakuaga bomba sana,si unakumbuka balaa la Ntampata wapi,Ukimwona...Jamani sichoki kuusikiliza huu wimbo. Dimond hachoshi jamani kutizamwa. Na huyo Omarion jee kaua mbayaaa yani ana mzuka wa kucheza mpaka raha aisee. Beat imetulia mnoo yani ki ufupi inachezeka na kusikilizika. Biggggg upppp Dimond God bless you
Hahah sasa mbona wanaeka tagline ya "eyoo laiiizerrr" kumbe mkono sio wakeBiti kama ile laizer hawezi kutengeneza maisha. Diamond ahamie kwenye mabiti ya ki niger ni makali , biti za laizer nyepesi sana
Hahah!! Poa mkuuNikifika miama 30
Ntaweka ya kizee sasa
mwanzo inakuja signature ya kritzbeats thn mwisho ndo eyo laizeer...nazani kwa namna moja au nyengn laizer kahusika na magic fingers zakeHahah sasa mbona wanaeka tagline ya "eyoo laiiizerrr" kumbe mkono sio wake