African Clubs Association, taasisi isiyo na umuhimu wowote

African Clubs Association, taasisi isiyo na umuhimu wowote

Mola huyo huyo amenipa nguvu yaku kukemea Lugha gani hiyo ya matusi? Kutukana Watanzani ni mbu mbu mbubsio matusi? Nyanya yako ni mbu mbu mbu?
Sijakutukana ni sifa ulizonazo mkuu mbona halijifichi wewe ni mbumbumbu kifkra yani ubongo wako ni mdogo kuchakatua mambo,kwa maana nyingine kipindi ukiwa mdogo Mama yako alikuachia mapema kunyonya,ndo maana akili zako hazijiwezi,
 
Sijakutukana ni sifa ulizonazo mkuu mbona halijifichi wewe ni mbumbumbu kifkra yani ubongo wako ni mdogo kuchakatua mambo,kwa maana nyingine kipindi ukiwa mdogo Mama yako alikuachia mapema kunyonya,ndo maana akili zako hazijiwezi,
Usigeuze kibao. Ni nyanya yako ndio mbu mbu mbu. Unabisha nn wakati umeandika Watanzani ni mbu mbu mbu? Nyanyaako sio mtanzani . Hopeless afrikan
 
Kweli nimeamini sisi watanzania ni mambumbumbu
Yani wewe mleta mada ni mtu wa ovyo sijawahi kuona,acha unazi wa kishamba kweli nimeamini wengi waliyepo jamii forum hawajielewi

Na inashangaza platform kubwa kama hii ina watu kama ya hawa mleta mada,broo ungesoma kidogo ungejielewa maana ulichoandika hapa ni pumba tu
Ukitukanwa unaanza kulia lia wakati lugha za matusi umeanza wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mashabiki wa team ile wasivyojielewa wao kila kitu kwao ni party wanaweza wakaenda airport kuwapokea wageni wa engineer kweli wenye akili hawajaongezeka.
 
Inasaidia nini? Haina impact yoyote ndo maana hata waliochaguliwa ni watu watu tu wa kawaida.

Mwenyekiti atoke Yanga
Makamu mwenyekiti Kaizer Chiefs
Makamu mwenyekiti wa pili Akwa United (Nigeria)

Taasisi gani serious ya mpira inaongozwa na watu wasio na hata kombe moja Africa ili mradi vu-lulu-vululu tu
Kama haina umuhimu mbona unaizungumzia hapa?
 
Inasaidia nini? Haina impact yoyote ndo maana hata waliochaguliwa ni watu watu tu wa kawaida.

Mwenyekiti atoke Yanga
Makamu mwenyekiti Kaizer Chiefs
Makamu mwenyekiti wa pili Akwa United (Nigeria)

Taasisi gani serious ya mpira inaongozwa na watu wasio na hata kombe moja Africa ili mradi vu-lulu-vululu tu
Huu ni zaidi ya wivu.
 
Watanzania kinachotusumbua ni Elimu..CAF walikua wanashindwa kuwasiliana moja kwa moja na Club kwenye AFL ikapelekea Mamelodi kushindwa kutoa taarifa kws wakati..
 
Back
Top Bottom