African countries by vehicles per capital/ per population (Vehicles per 1000 people). Tanzania 7 and Kenya 70

Hawafi njaa kama ninyi na wana vita, sina hakika kama wanapokea misaada ya chakula, nimeshtuka kuona wana deni dogo sana la Taifa wala hawategemei kuomba misaada ili kulipa mishahara kama ninyi
 
Uje nikufunze vyema

Wafunze wenzako kwanza, kuna baadhi uandishi wao wa Kiswahili hutia kichefuchefu, mara nyingi huwa napitia hoja zenu kwenye jukwaa la siasa na kuwashangaa sana ikikumbukwa hawajui lugha nyingine yoyote ikiwemo hata ya asili kama vile Kinyakyusa au Kisukuma.
Muhimu sana kuwa mjanja wa lugha..... mimi binafsi natiririka lugha tano zikiwemo tatu za asili.
 
Upo sahihi, tatizo tunapo sema DRC watu wanapicha ya Goma, etc kumbe Kinshasa ni Paris ndogo..
 
Hao huwa tunasoma malalamishi yao halafu tunacheka kimya kimya hihihihi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawafi njaa kama ninyi na wana vita, sina hakika kama wanapokea misaada ya chakula, nimeshtuka kuona wana deni dogo sana la Taifa wala hawategemei kuomba misaada ili kulipa mishahara kama ninyi
Ila wao bado ni Ldc na ni one of the poorest countries in the world. Gni per capita yao ni one of the lowest in the world.
 
Ila wao bado ni Ldc na ni one of the poorest countries in the world. Gni per capita yao ni one of the lowest in the world.
80% ya gari zote za DRC zonapita Tanzania, na mamia ya watanzania wajiajiri kwenye kuvusha ITs zao, hivyo haitakaa siku itokee DRC wakatupita kwenye ndinga sababu mtanzania gari ikifika bandarini tayari imefika mwisho wa safari, kwa DRC ikifika bandarini bado kuna maelfu ya kilometers kumfikia mteja
 
Acha ujinga,
Haifikii ata 20%
Eastern drc Ni poooor
 
Aawapi hizi source za kuungaunga huwezi nidanganya hata siku moja! Niletee source kwanza ya hii ripoti! Kwanza mabasi na malori hamtufikii hata kidogo!
 
Huwa napenda uandishi wako, sijaona kwako makosa ya kisarufi kama yafanywavyo na walio wengi.
 
Huwa napenda uandishi wako, sijaona kwako makosa ya kisarufi kama yafanywavyo na walio wengi.

Nimeikuta hii picha sehemu nikacheka sana, hivi mbona mnateseka kiasi hiki...... Ina maana uteuzi ni kama kujitoa mhanga.

 
Huu upupu umeutoa facebook kule kwenye ile page ya wakenya wanajiita Africa full facts wale jamaa hua wanaleta facts za uongo na lengo lao kuu huwa ni kutaka kuifanya kenya ionekane ni moja ya nchi bora hapa Africa, na ukiwapa za uso faster wanakublock, kwa ufupi hiyo page ni full of propaganda
 
Huu upupu umeutoa facebook kule kwenye ile page ya wakenya wanajiita Africa full facts wale jamaa hua wanaleta facts za uongo na lengo lao kuu huwa ni kutaka kuifanya kenya ionekane ni moja ya nchi bora hapa Africa, na ukiwapa za uso faster wanakublock, kwa ufupi hiyo page ni full of propaganda
 
Hao wengine ni mwendo wa kununua magari chakavu.
 
Nimeikuta hii picha sehemu nikacheka sana, hivi mbona mnateseka kiasi hiki...... Ina maana uteuzi ni kama kujitoa mhanga.

CCM inawajaza watu ujinga, watu wanakufa na kupukutika kwa kuwasikiliza wanasiasa ambao wao tayari wameshadungwa chanjo.
Nimeikuta hii picha sehemu nikacheka sana, hivi mbona mnateseka kiasi hiki...... Ina maana uteuzi ni kama kujitoa mhanga.

CCM haijali maisha ya watu. Watu wanateketwa kwa kuwasikiliza wanasiasa uchwara ambao wao wameshadungwa chanjo za kinga
 
Kwani Kenya ni first country? Mpaka iwe na 70 vehicles per capita in comparison to 7 vehicles per capita for Tanzania? wewe ni economist wa wapi ?
 
DRC ni kubwa mzee. Wacha kuwa akili punguani. Sasa DRC haina bandari? Kinshasa wana bandari yao wanayotumia na hawategemei bandari ya Tanzania. Bandari ya Tanzania inaserve eastern Congo pekee sio western. Western wana bandari yao.
 
Kwani Kenya ni first country? Mpaka iwe na 70 vehicles per capita in comparison to 7 vehicles per capita for Tanzania? wewe ni economist wa wapi ?
Wapi nimesema eti Kenya ni first world country? Kubali kwamba mna magari chache per capita compared to Kenya. Hata DRC wana gari nyingi per capita kuwashinda. Hamna magari nyinyi watu. Aibu kubwa sana hii halafu mnataka kushindana na sisi. Nunueni magari kwanza ndio mje battle. Wacheni ujinga.
 
Aawapi hizi source za kuungaunga huwezi nidanganya hata siku moja! Niletee source kwanza ya hii ripoti! Kwanza mabasi na malori hamtufikii hata kidogo!
Ahahaha. Unaniitisha source kwani mimi ndio nimepost habari hii? Mimi nainterpret tu hio data ili watu waielewe. Mambo ya source muulize aliyepost.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…