African Football League zamani Africa Super League kuanzia Dar es Salaam Oktoba 20, 2023

African Football League zamani Africa Super League kuanzia Dar es Salaam Oktoba 20, 2023

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Michuano ya African Football League ambayo mwanzo ilipewa jina la Africa Super League kuanza kutimua vumbi lake mwezi wa kumi, na Mchezo wa ufunguzi ni ndani ya Tanzania katika Jiji la Dar es Salaam.

Katika Michuano hiyo Mikubwa inayoanza kwa mara ya kwanza mwaka huu nchi ya Tanzania inawakilishwa na Timu ya Simba pekee na saba nyingine ni kutoka katika mataifa mengine.
 
Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limebadili jina la michuano ya ‘African Super League’ kuwa ‘African Football League.’Aidha, michuano hiyo inatarajiwa kuanza Oktoba 20 mwaka huu ambapo mechi ya ufunguzi itafanyikia Tanzania.
 
Tukipata kitu hapo, halafu baada ya miaka mingi wakajitokeza na kuvumavuma watasema mashindano hayapo kama walivyosema baada ya kubahatisha shirikisho juzi kati.
CAF wenyewe wameona michuano tangu Yanga afike hatua ile wakaona ni kama the whole tournament has been cursed.

Yanga wamekuja na nuksi ambayo CAF imewalazimu wabadili sheria.

Ni kweli walikuwa na mpango mzuri wa kuwapa waliofeli nafasi ya kusawazisha makosa yao, ila hawakutegemea nafasi hiyo ishikwe na loser wa kiwango cha mwisho kabisa ambaye rekodi yake ya afadhali unaiona miaka 30 nyuma.

Walitegemea wakubwa kwa wakubwa wakizidiana mbinu basi play off ya Confederation ndio itakuwa second chance.

Sasa walivyoona access hiyo imeenda kwa timu mbovu imewabidi wabadili sheria.
 
Michuano ya African Football League ambayo mwanzo ilipewa jina la Africa Super League kuanza kutimua vumbi lake mwezi wa kumi, na Mchezo wa ufunguzi ni ndani ya Tanzania katika Jiji la Dar es Salaam.

Katika Michuano hiyo Mikubwa inayoanza kwa mara ya kwanza mwaka huu nchi ya Tanzania inawakilishwa na Timu ya Simba pekee na saba nyingine ni kutoka katika mataifa mengine.
Mbona Yanga hawapo wakati wamechukua mpaka medali?
 
CAF wenyewe wameona michuano tangu Yanga afike hatua ile wakaona ni kama the whole tournament has been cursed.

Yanga wamekuja na nuksi ambayo CAF imewalazimu wabadili sheria.

Ni kweli walikuwa na mpango mzuri wa kuwapa waliofeli nafasi ya kusawazisha makosa yao, ila hawakutegemea nafasi hiyo ishikwe na loser wa kiwango cha mwisho kabisa ambaye rekodi yake ya afadhali unaiona miaka 30 nyuma.

Walitegemea wakubwa kwa wakubwa wakizidiana mbinu basi play off ya Confederation ndio itakuwa second chance.

Sasa walivyoona access hiyo imeenda kwa timu mbovu imewabidi wabadili sheria.
Na bado, msimu ukiisha watabadili tena kanuni wasema timu ya Waafrika weusi inayoweza kucheza ugenini kama nyumbani ni marufuku kushiriki mashindano yanayosimamiwa na CAF.
 
Back
Top Bottom