African Leaders have failed their people in every possible way

African Leaders have failed their people in every possible way

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
photo_2025-01-30_09-50-53.jpg
Hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kusaini agizo la kuiondoa nchi hiyo katika Shirika la Afya Duniani (WHO) siku chache zilizopita imeanza kuleta athari kadhaa hususan barani Afrika kama ilivyotarajiwa.

Licha ya kuwa kuna sheria zinazohitajika kufuatwa kwa taifa linalotaka kundoa ufadhili wake, Utawala wa kiongozi huyo mpya tayari umechukua hatua ya kusitisha usambazaji wa dawa za kuokoa maisha za HIV, Malaria na Kifua kikuu mbali na dawa za watoto wachanga katika mataifa yote yanayosaidiwa na shirika la USAID duniani, kulingana na barua iliopatikana na vyombo vya habari.

Athari hizo zinatokana na Marekani kuwa mchangiaji mkubwa wa kifedha wa WHO na programu mbali mbali zilizopo chini ya shirika hilo na taasisi nyingine kubwa za kiafya duniani.

SOURCE: BBC SWAHILI

-------------------------------------------------

My Take

It has been years since African countries gained their independence but up to date Africa faces a double burden of infectious and non-communicable diseases and the need for effective universal access to medicines cannot be deemphasized. However, access to medicines on the continent is not without issues and challenges.

Some of which are the high burden of infectious diseases and non-infectious diseases, limited pharmaceutical industries and high costs of raw materials, overdependence on countries abroad for medicines, poor supply chain systems, lack of government investment in the pharmaceutical sector, unfavorable manufacturing conditions, limited health workforce, lack of sustainable health financing mechanisms, lack of infrastructures and technical know-how, low investment on research and development, and circulation of fake and counterfeit medicines among others.

Imagine this is the 21st Century and yet we still depend on foreign aid for Malaria medication????
Something doesn't add up because what are our taxes used for then if we cannot afford to invest in our own scientists to produce such medications.

Trump's decisions shouldn't be questioned or blamed, but it should be a wakeup call to African leaders to stop buying war machinery rather than invest in Health sector for the well-being of the citizens.​
 
Back
Top Bottom